Wapare kwa kesi mfano haki yenu iko wapi hapo mnaleta ujuaji simtetei madam ila je sheria ya mtihani inasemaje kama wanaruhusiwa kupeana kama four figure mi nakumbuka act kama izo kwenye mtihani wa law of business carriage walikataa kabisa kumpa mtu kila mtu awe na yake
Kwa sababu rahsi kuattach ata kikaratsi mule ndani au kumark kifungu mtu akija anaquotes tu
MUM mtajuta wana masharti labda ni ingekuwa kule kweny siasa udsm
Kwa sababu rahsi kuattach ata kikaratsi mule ndani au kumark kifungu mtu akija anaquotes tu
MUM mtajuta wana masharti labda ni ingekuwa kule kweny siasa udsm