sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Wala sina tatizo lolote binti wa dukani kuwa na mahusiano ya kimapenzi maana nae ni mtu mzima tayari mwenye kila sifa ya kupata haki yake ya kimahusiano.
wala sina tatizo hata ikitokea rafiki yangu huyo anatoka na binti, ilimradi tu biashara iendelee.
Tatizo linakuja kwamba huyu jamaa simuelewi, mtu mwenye 34 kashapitia mengi na ana uzoefu mkubwa wa maisha kuzidi hao watoto wa 2000, ni vp mwanaume mwenye 34 alielamba chumvi ya kutosha anashindwa kumkalisha chini binti wa juzi juzi hapo.
Binafsi nina 32, binti familia yao tunaheshimiana sana, naanzaje kukaa nae kwamba kuna rafiki yangu mwenye 34 anakupenda, duh!
alafu nikimwambia anaweza akakubali kishingo uoande kwa ule uoga wa bosi, kudhani akikataa nitakasirika nimfukuze kazi.
Kiufupi nimeona si sawa jamaa kwenda kumdalalia kwa binti, mwanaume wa miaka 34 anatakiwa ajikusanye amwambie mwenyewe...
wala sina tatizo hata ikitokea rafiki yangu huyo anatoka na binti, ilimradi tu biashara iendelee.
Tatizo linakuja kwamba huyu jamaa simuelewi, mtu mwenye 34 kashapitia mengi na ana uzoefu mkubwa wa maisha kuzidi hao watoto wa 2000, ni vp mwanaume mwenye 34 alielamba chumvi ya kutosha anashindwa kumkalisha chini binti wa juzi juzi hapo.
Binafsi nina 32, binti familia yao tunaheshimiana sana, naanzaje kukaa nae kwamba kuna rafiki yangu mwenye 34 anakupenda, duh!
alafu nikimwambia anaweza akakubali kishingo uoande kwa ule uoga wa bosi, kudhani akikataa nitakasirika nimfukuze kazi.
Kiufupi nimeona si sawa jamaa kwenda kumdalalia kwa binti, mwanaume wa miaka 34 anatakiwa ajikusanye amwambie mwenyewe...