Ariella A.K
Senior Member
- Dec 23, 2011
- 198
- 60
Ckuelewi huo ushauri unaoomba ni wa nn? Umesema anakushawishi. Je umeshashawishika? Jibu 1 tu,mpe makavu atangulie mbele. Cyo kila mwanaume utamwambia rafiki yako amenitongoza akaeleweza unavyotaka ww. Anaweza kujifanya ameelewa but hujui lililo moyoni mwake,like,....atakuwa ameshagongwa hy,anataka ku-justify alichokwisha kifanya n.k. Fuata waliyosema wadau juu hapo...