Rafiki wa mume wangu ananitaka

anily

Member
Mar 22, 2012
22
2
Jaman, hebu nisaidieni ktk hili, mimi nimeolewa na nnampenda sn mume wangu, sijawahi kumsaliti tokea nimekutana naye.

Hivi keribuni amenitambulisha kwa rafiki yk ambaye alionekana mstaarabu kumbe mnafiki. Rafiki yake huyo ameoa ila cha kushangaza ananitaka mimi wakati mi ni mke wa mtu. Amekuwa akinishawishi kwa kw mme wangu ni mtu wa safari na yeye mke wake anafanya kazi mkoani. Mi nimemgomea kabisaa.

Asa nisaidieni, je nimweleze mume wangu, ila naogopa kuharibu mahhusiano yao, na vlvl naogopa siku mume wangu akijua km jamaa ananitokea! Naombeni ushauri!
 
Kwa hayo anayoyafanya huyo sio rafiki tena, wahi kuchukua hatua kabla hujawahiwa!!!.
 
Jaman, hebu nisaidieni ktk hili, mimi nimeolewa na nnampenda sn mume wangu, sijawahi kumsaliti tokea nimekutana naye.

Hivi keribuni amenitambulisha kwa rafiki yk ambaye alionekana mstaarabu kumbe mnafiki. Rafiki yake huyo ameoa ila cha kushangaza ananitaka mimi wakati mi ni mke wa mtu. Amekuwa akinishawishi kwa kw mme wangu ni mtu wa safari na yeye mke wake anafanya kazi mkoani. Mi nimemgomea kabisaa.

Asa nisaidieni, je nimweleze mume wangu, ila naogopa kuharibu mahhusiano yao, na vlvl naogopa siku mume wangu akijua km jamaa ananitokea! Naombeni ushauri!

Usimwambie mumeo kama huyo jamaa aliyekutongoza hakubughudhi sana maana kuna wanaume akikutongoza inakuwa kero.

Kama ikizidi na ukalazimika umwambie mumeo basi jitahidi kutumia indirect method, mfano tu unaweza tu kumwambia mumeo. Hivi mume wangu fulani ulijuana nae vipi? Ni lazima atakuuliza kwa nini? Unamjibu, mimi ninavyomuona kama hajatulia vile yaani macho yake yapo juu juu.

Akikuambia amekutongoza nini? Hapana ila naona kwa jinsi anavyoniangalia ni kama anataka kusema kitu ila anashindwa.

Akija jamaa unamwambia ukiendelea kunisumbua nitamwambia mume wangu maana nimeshakwambia sitaki.

Jambo lingine kama ushauri kwako,
Usimpe nafasi akushike hata kiungo chako kimoja hata kwa kukusifia kisha akajitia anataka kukugusa. Akifanya hivyo kuwa mkali na uonyeshe haupendi ujinga wake huo kabisa.

Pili kama akipiga simu usimchekee kama unongea na mpenzi wako, just be straight, hallow hallow, vipi safi. Eeeh nikusaidie nini au una shida gani? Ajue huna matani na wala haitakaa uitokee umsaliti mumeo kwa ajili yake.

Ni hayo tu.
 
anily!!

Ushauri toka kwa Mzee wa Rula hakika inaweza ikawa bomba kbs!!


Ila kwangu nina cha nyongeza kidogo ktk usemi huu ya kwmb "KIMLACHO MWENZIE HAKIKA KINA NJAA" tafakari kabla ya kumfikisha malalamiko meza kuu!

Halafu ujue huyo ana tamaa tu kwn hata ukimpa atakacho atafanya nini?

Dunia imejaa tamaa fluu!!
Tafakari na chukua hatua anily!!
 
unamaanisha yawezekana alishamdondokea shemeji?

shemeji ni shemeji tu..................hawezi kuzima taa labda umkaribishe kwenye moyo wako.....................
 
Unauliza Majibu? Mwambie, huyo Hana adabu wala usimuonee Huruma.


Jaman, hebu nisaidieni ktk hili, mimi nimeolewa na nnampenda sn mume wangu, sijawahi kumsaliti tokea nimekutana naye.

Hivi keribuni amenitambulisha kwa rafiki yk ambaye alionekana mstaarabu kumbe mnafiki. Rafiki yake huyo ameoa ila cha kushangaza ananitaka mimi wakati mi ni mke wa mtu. Amekuwa akinishawishi kwa kw mme wangu ni mtu wa safari na yeye mke wake anafanya kazi mkoani. Mi nimemgomea kabisaa.

Asa nisaidieni, je nimweleze mume wangu, ila naogopa kuharibu mahhusiano yao, na vlvl naogopa siku mume wangu akijua km jamaa ananitokea! Naombeni ushauri!
 
We unaonekana ushaelekezwa kibra wewe inasubiri kuchinjwa tu! Yaani hapo kuna la kuomba ushauri kweli?
 
Inaonekana na wewe unajiachia sana manake mwanaume simjinga hadi aanze kukutongoza ni kwamba tayari kaona kamwanya cha kufanikiwa maombi yake.Cha kufanya kwanza embu kaa kidini kwanza la sivyo yatakushinda
 
Jaman, hebu nisaidieni ktk hili, mimi nimeolewa na nnampenda sn mume wangu, sijawahi kumsaliti tokea nimekutana naye.

Hivi keribuni amenitambulisha kwa rafiki yk ambaye alionekana mstaarabu kumbe mnafiki. Rafiki yake huyo ameoa ila cha kushangaza ananitaka mimi wakati mi ni mke wa mtu. Amekuwa akinishawishi kwa kw mme wangu ni mtu wa safari na yeye mke wake anafanya kazi mkoani. Mi nimemgomea kabisaa.

Asa nisaidieni, je nimweleze mume wangu, ila naogopa kuharibu mahhusiano yao, na vlvl naogopa siku mume wangu akijua km jamaa ananitokea! Naombeni ushauri!

....anakutaka? ...wewe wajua anakutaka ili iweje? Uwe mpenzi wake 'wa pembeni'....au uwe mkewe?
Yeah, mwambie mumeo ajue...hakuna ubaya wowote, wao ni marafiki watajuana mbele ya safari.
 
hapa kuna walakn, naamin had hapo ulipo ulishatongozwa sana na kuna ambao walifanikiwa na kuna ambao hawakufanikiwa. cdhan kama kuna jipya had uombe ushaur ktk maamuz. cdhan pia kama kuna ulazma wa maelezo zaid kwa vile inaonyesha umempa shem wako nafas na yawezekana mlishayamaliza kikubwa ila unatafuta justification cha kilichotokea.
 
Ukimuambia mumeo atakuwa insecure sana na marafiki zake wote. Mshushue na kumuambia kwa macho makavu. Maneno kama 'ngoja nimuage mume wangu kuwa natoka na wewe basi' yatamuweka mbali. Lakini mponde kwa mumeo kama ulivyoshauriwa hapo juu.
 
Jaman, hebu nisaidieni ktk hili, mimi nimeolewa na nnampenda sn mume wangu, sijawahi kumsaliti tokea nimekutana naye.

Hivi keribuni amenitambulisha kwa rafiki yk ambaye alionekana mstaarabu kumbe mnafiki. Rafiki yake huyo ameoa ila cha kushangaza ananitaka mimi wakati mi ni mke wa mtu. Amekuwa akinishawishi kwa kw mme wangu ni mtu wa safari na yeye mke wake anafanya kazi mkoani. Mi nimemgomea kabisaa.

Asa nisaidieni, je nimweleze mume wangu, ila naogopa kuharibu mahhusiano yao, na vlvl naogopa siku mume wangu akijua km jamaa ananitokea! Naombeni ushauri!

Pole sana...nadhani wewe ni mnafiki zaidi. Nikuulize ni ushauri gani unaotegemea hapa? Kwa taarifa yako tu ni kuwa kama kweli unampenda mume wako ungeshamshirikisha mapema kabisa...nisema umechelewa sana. Pili kama si tabia yako kutoka nje ya ndoa yako basi huyo rafiki ya mume wako amekuona wewe ni cheap tu. Samahahi...nahisi kama umeshatembea na huyo family friend at least in your mind.

Niseme kitendo cha wewe kushiriki ktk maongezi ya kutakana kimapenzi na kuja hapa jukwaani kutuambia kwamba "umemgomea kabisa" si sahihi hata kidogo. If I may ask huwa mnaongeleaga wapi...ni kwa simu au mume wako akiwa yupo safari? Nakushauri utubu haraka sana kwani kama ni kweli unachosema basi njia sahihi unaifahamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom