Na huo Umdenyi wako ndo umenifanya niamue kwenda kwa Msukuma...maana siku moja unaweza ukapotelea mjini nisikuone tena.Asa huko kuku PM ndo nin? Si wajua tunaotokea mndenyi mambo mengine mageni...... Usukumani wanasema Mashikolo maghenyi! Kuwa siriazi bana!
Kwahiyo utanilipia?!aah kumbe green mi sijui bwana hela ninayo usjali so jmosi sio?
aah kumbe green mi sijui bwana hela ninayo usjali so jmosi sio?
Na huo Umdenyi wako ndo umenifanya niamue kwenda kwa Msukuma...maana siku moja unaweza ukapotelea mjini nisikuone tena.
KuPM ni ku........ ahhhh nimesahau.Hahahahaaaa!! ujajibu swali langu niambie bas ku PM ndo nin Bebii asijentosa tena ... Alaf lazima tufanye Send off!
KuPM ni ku........ ahhhh nimesahau.
Sina mvuto....
kumbuka jana nilikukaribisha kwa ukaribisho wa upendo, mimi nina miaka 75, ni mweusi mrefu, sina demu, sitaki mambo ya kungonoka, na kwa ufupi hiyo avatar yangu ndo picha yangu. Vipi uko tayari?mimi ni mwanamke nina miaka 30 NIKO LONELY SANA JAMANI I WISH NIWE NA RAFIKI WA KUINJOY JAMANI.AWE SIRIAS JAMANI ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi3-kushauriana mambo ya maisha4-asilieleze mambo ya kungonoka5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi6-cost tutashare 7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya8-awe na akili ya maisha9-awe mstaarabu mpole10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba thanx wana jf
halafu usisahau kumwambia mkewe kuwa mlikuwa mnavuliana nguo na kubaki uchi lakini hamkudo na mumeweIt is ver interesting having a man ambaye mnashare hobby na mnatoka bila kudo! I used to ila almost wote wamekula kona. Mmoja aliniuliza ' Dear unadhani mm si rijali?? Yaani twende beach uvae beach wear nakuangalia tu, then we swim, turudi home unachange nguo mbele yangu nakutamaza tu noop me naenda' Was fun looking him akiwa hot n still hakuna kudo, kaoa sasa ila heshima bado ipo na nadhani was best thing hatukujuana! He will be my best friend forevr
mh mna mambo wana jf so mmenitosa siooooooooooo poa ngoja niende fb au badoo nikatafute waarabu
mimi ni mwanamke nina miaka 30 NIKO LONELY SANA JAMANI I WISH NIWE NA RAFIKI WA KUINJOY JAMANI.AWE SIRIAS JAMANI ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf
Umetushindwa sisi waswahili wa Vodacom Waarabu wa robo shilingi utawaweza ?mh mna mambo wana jf so mmenitosa siooooooooooo poa ngoja niende fb au badoo nikatafute waarabu
mimi ni mwanamke nina miaka 30 NIKO LONELY SANA JAMANI I WISH NIWE NA RAFIKI WA KUINJOY JAMANI.AWE SIRIAS JAMANI ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf
Namba ten yake ndipo ameharibu kila kitu!Naona wewe lengo lako ni kufurahisha tu hili jukwaaa! Ok, umefanikiwa kiasi fulani