Rafiki wa kiume

Smile

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
15,347
11,610


mimi ni mwanamke nina miaka 30 NIKO LONELY SANA JAMANI I WISH NIWE NA RAFIKI WA KUINJOY JAMANI.AWE SIRIAS JAMANI ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole


10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf
LEO NAFUNGA APPLICATION MAJIBU HAPAHAPA JF ASANTENI
 
mimi ni mwanamke nina miaka 30 ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf

Hahahah...ebu ngoja;
1. jumamosi zote?
2. poa
3. poa
4. hinatokeaga tu..so poa
5. Mh!
6. 50/50 ama? (kwa kuzingatia wewe ndo umetoa ratiba ya wiki na mwenendo mzima wa mahusiano)
7. mtazamo huo tu
8. poa
9. poa
10. Unajua Pale Chuo Kikuu UD, kuna Shule ya msingi Mlimani...kuwa specifi kiasi
11. poa
12. Mh! apo sahau...i gec u r looking for loosers!
POLE and ALLL THE BEST!
 
mimi ni mwanamke nina miaka 30 ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf

mnh!!! sawa sawa mbeijing!!!!!
 
bebii,

Utavunjwa sana moyo! Naona ndiyo kwanza unaanza kujua maana ya kuishi!
 
Kwa sifa hizo hapo juu nenda kanisani utampata...ila ushiriki mambo ya vijana kwaya nk..au fanya shughuli yoyote itakayo kufanya uonekane kwa urahisi na vijana...usiukaze uso wako saaana(cheza na kioo sana)...once u peak someone uwe unamwangalia mara kwa mara..lazima akutokee..
 
mimi ni mwanamke nina miaka 30 ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf
Kama hutajali fafanua hiyo na. 4! Vinginevyo kila la kheri kwa kuthubutu.
 
mimi ni mwanamke nina miaka 30 ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf

Good luck :)

 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom