Ngoja nitafute mkalimani...will get back to you shortly .
sawa nitakupata wapi uwe mjanja lakini?
Hahaha....Semper fi ehhh?!I like!Well nimepata mtu wa kunitafsiria ila kujibu naomba iwe kwa kikwetu.Nakubali kwa moyo mkunjufu ila unaweza kujikunja wakati wowote...nakukubali kwa moyo nusu ili usipokuwepo ule utupu ndani ya moyo usinisumbue...na nnakupokea kwa mkono mmoja ili ukileta mchezo iwe rahisi kukutupa.Still waiting for the answer..............................................semper fidelis
Sasa kumbe hata wakike unataka...mbona hukusema mwanzo?!sawa nitakupata wapi uwe mjanja lakini?
Ubaguzi sasa. Mwisho wa page 3 niliomba sijajibiwa...Sasa kumbe hata wakike unataka...mbona hukusema mwanzo?!
Sasa kama ni rafiki tu mvuto wake unahusu vipi?!
Hahaha kakujibu sehemu...kasema uwe tu MJANJA.Ubaguzi sasa. Mwisho wa page 3 niliomba sijajibiwa...
hapo ndipo anaponiacha hoi huyu lizzy, huyu dada ana lake jambo mvuto na urafik wap na wapi tena awe single...lolSasa kama ni rafiki tu mvuto wake unahusu vipi?!
Sasa kama ni rafiki tu mvuto wake unahusu vipi?!
Mhh embu naomba elimu kidogo...
mimi ni mwanamke nina miaka 30 niko lonely sana jamani i wish niwe na rafiki wa kuinjoy jamani.awe sirias jamani ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf
mimi ni mwanamke nina miaka 30 niko lonely sana jamani i wish niwe na rafiki wa kuinjoy jamani.awe sirias jamani ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf