Rafiki wa kiume

kama no sita imekushinda ni poa tu naiondoa ingine?
 
Still waiting for the answer..............................................semper fidelis
Hahaha....Semper fi ehhh?!I like!Well nimepata mtu wa kunitafsiria ila kujibu naomba iwe kwa kikwetu.Nakubali kwa moyo mkunjufu ila unaweza kujikunja wakati wowote...nakukubali kwa moyo nusu ili usipokuwepo ule “utupu ndani ya moyo “ usinisumbue...na nnakupokea kwa mkono mmoja ili ukileta mchezo iwe rahisi kukutupa.
 
Kwa hiyo sisi weupe hatuna chetu hapa. Naona kama ni ubaguzi wa rangi tu hapa,,hata kwenye urafiki unabagua rangi!! All the best!
 
mimi ni mwanamke nina miaka 30 niko lonely sana jamani i wish niwe na rafiki wa kuinjoy jamani.awe sirias jamani ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf

toka ulipo tolewa seal hadi 30yrs bado hujampata rafiki wa kukufaaa? Kama hivyo sio buree una kasoro tena kubwa tuu!
 
mimi ni mwanamke nina miaka 30 niko lonely sana jamani i wish niwe na rafiki wa kuinjoy jamani.awe sirias jamani ninatafuta rafiki wa kiume sio mpenzi wa mambo yafuatayo
1-jmosi tunaenda mlimani city kucheki movie
2-jpili kuogelea beach yeyote na kwenda church asubuhi
3-kushauriana mambo ya maisha
4-asilieleze mambo ya kungonoka
5-asiwe na mpenzi awe single kiukweli kama mimi
6-cost tutashare
7-awe na ka mvuto mrefu black mimi siko mzuri wala mbaya
8-awe na akili ya maisha
9-awe mstaarabu mpole
10- mimi elimu yangu ni ya chuo kikuu
11-awe available wkend zaid cause nafanya kazi
12 -napenda sana soka awe mpenzi wa arsenal na simba
thanx wana jf

na huko kazini kwako umekosa hao rafiki wa kiume?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom