Huyu jmaa ana akili sana!Nina series kibao katika PC yangu nikiboreka huwa naangalia ni nicheke
Kinachonifurahisha wao hawaongei ni vitendo tuHuyu jmaa ana akili sana!
Yani saa nyingine tom na jery wqnafanyiana vituko alafu unawaza hapa aliwaza nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Covid 19 inamaliza mansponsor mjini
Chuck jones za hovyo sanaaYeah napenda but zile shorts za Fred Quimby na Hanna & Babera.
Tom & Jerry za Chuck Jones hazichekeshi. Too boring.
Wapi Hanna & Barbera!!But Tom & Jerry najua zilikuwa za mwamba Fred Quimby kumbe mchoraji ni huyu mzee?
Aisee vipi huko? Mane mzima? Salah je?RIP my CHILDHOOD HERO...
Wrote from Anfield...!!!
haizuii kusema kuwa jamaa alikuwa genious, Kuna baadhi ya stories zinareflect kabisa haya ya uswahilini kwetuHii ni kwa watoto wa mboga saba,sie wa Buza kwa Lulenge hao wakina Tom and Jeri tumewajulia kwenye stori tu shuleni.R.I.P
kuna fasihi kali sana ndani yake hadi leo kuna scene najifunza jamboHizi katuni sio za watoto tu hata mimi huwa naingia kabisa youtube kuziangaliaga
Niko nao karatini nasimamia WORK FROM HOME EXERCISES..!!!Aisee vipi huko? Mane mzima? Salah je?
Creator wa Tom n Jerry navyojua ni William Hanna and Joseph Babera