Adrian Stepp
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 2,764
- 2,581
wasirra anatisha aisee.............. hazoeleki hata iweje
ha hahaha!! pata picha umekurupushwa usingizini af anakusogezeajuo lake ile "we amkah!!" af we huna hili wala lile..
wasirra anatisha aisee.............. hazoeleki hata iweje
Huyu jamaa nasikia kaharibu sana huko meru tutamtosa tu matusi apeleke vijiweni.
................mtajeView attachment 50758
Hahaha asanteFrudo mtoto wa Fifi
hawa ccm wana tabia mbaya sana, kwenye mikutano yao ya kampeni huwa wanabeba raia wa majimbo mengine kuja kuhudhuria mikutano ya majimbo mengine ili kuongeza idadi ona sasa walivyoishiwa mpaka wanamchukua na raia wa Gombe naye ahudhurie mkutano wa kampeni LOL... halafu huyo aliye jukwaani hawezi kuwa anahubiri sera maana swaga zake ni kama vile juma nature anashusha mistari!.
................mtajeView attachment 50758