Wa Katutura
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 321
- 397
Huyu dada hua nimtata sana,sasa hapo kwanini usifafanue mpaka useme maneno hayoo ya ujingaIran siyo nchi ya Kiarabu.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Huyu dada hua nimtata sana,sasa hapo kwanini usifafanue mpaka useme maneno hayoo ya ujingaIran siyo nchi ya Kiarabu.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Alafu alisha semaga yupo Qatar, yaani haeleweki kbs aisee😂😂😂ww jamaa nimeona watu wanalalamika kuwa ni tapeli
watu washakujuaa
Mlienda shule kusomea ujinga? Si mfafanulie wewe. Mnakurupuka bila hata ya kufikiri halafu unataka mimi nifafanue. Ungetaka ufafanuzi kabla ya kuandika utumbo tungekuelewa.Huyu dada hua nimtata sana,sasa hapo kwanini usifafanue mpaka useme maneno hayoo ya ujinga
Nyamagana ni kubwa, sehemu specific ndo muitaje ili twende..ofisi yake ipo mwanza ..Nyamagana pale
Achana na hilo tapeli..Nyamagana ni kubwa, sehemu specific ndo muitaje ili twende..
Mambo vp broUkitaka kusafiri kwenda kusaka maisha huko Fanya yafuatayo
Check HIV and TB status kabla hata ya kuomba passport
Ukijikuta positive tulia bongo usubiri ufe otherwise ukienda watakudeport siku hiyo hiyo,
Tusubiri corona iisheee,
Kama kuna mtu anataka connection anichek ila hakikisha unae passport na ulishacheki afya yako
@pirate soma hapoLuna uwezekano kufanya kazi zaidi ya ajira moja kwa mwezi, je msomi mwenye vyeti kama Dr, CPA analipwaje
vipi connection bado unazo mkuuUkitaka kusafiri kwenda kusaka maisha huko Fanya yafuatayo
Check HIV and TB status kabla hata ya kuomba passport
Ukijikuta positive tulia bongo usubiri ufe otherwise ukienda watakudeport siku hiyo hiyo,
Tusubiri corona iisheee,
Kama kuna mtu anataka connection anichek ila hakikisha unae passport na ulishacheki afya yako
ulifanikiwa kwenda...?As am typing here nimepata kazi Saudia Miaka 2 mkataba, visa, ticket, accommodation,food,health kwao nikawa nasubiri tuu lockdown ziishe waruhusu ndege niondoke! Ila nafsi yangu haikuwa na furaha saana nimakazana kuendelea kutuma cvs kwingine but at hand nina iyo offer.
ulifanikiwaga kwenda....?Bado! Mi nahangaika tu hapa. Ajira za ualimu zimetoka. Lakini mimi nataka niende kufanya kazi Dubai. Urgent wangu kaniambia labda tarehe 15/9/2020 wanaweza kuruhusiwa kuingia DUBAI kwa Visa mpya za ajira (employment visa). Sasa sijui, nashindwa kuomba kazi ya ualimu kwanza. Lakini visit visa wanaingia, natafuta mwenyeji niende hata kwa visit visa. Nikatafute kazi huko huko!
ulifanikiwa kwendaMimi naenda kuwa security mkuu.
Kufanya kazi zaidi ya moja hairuhusiwi.Luna uwezekano kufanya kazi zaidi ya ajira moja kwa mwezi, je msomi mwenye vyeti kama Dr, CPA analipwaje
Habari naomba contacts zako. Niko na passport nahitaji kwenda hukoUkitaka kusafiri kwenda kusaka maisha huko Fanya yafuatayo
Check HIV and TB status kabla hata ya kuomba passport
Ukijikuta positive tulia bongo usubiri ufe otherwise ukienda watakudeport siku hiyo hiyo,
Tusubiri corona iisheee,
Kama kuna mtu anataka connection anichek ila hakikisha unae passport na ulishacheki afya yako
Uko hapafai aise ..watu wataenda kutolewa Figo 🤣🤣🤣🤣Haya kwa wale wanaotaka kufanya kazi Saudi Arabia kampuni ya Bravo imerudi na imetoa ajira kazi kwenu,,ticket na visa juu yao,,wana patikana Lumumba jengo la Rissa ghorofa ya tano
Sasa anamdanganya nani huyo jamaa watu wanafikilia maendeleo yeye anafikilia uongo duh maisha haya ni hivi wakuu tuache kujidanga muda umefika tubadilike kwa ajali ya family zetu uongo ni sehemu ya umasikini.