naomba msaada mwenye kujua sipati picha tatizo lilianza nilipobadili line ya simu nikiwasha inaandika netwek saccses lakin picha inagoma msaada wenu tafazali
kwangu iko pouwa
bado nimekwa jamaani
umetumwa na dstv sio ? Wewe utawapata wajinga sikutumii chochote. Wewe nia yako ni kuwakamata watu huna lolote. Waambie waliokutuma kuwa hapa ni nyumbani kwa fikrapevu
hapo unafanyaje njuwa ?
niupgrade kwa usb au.
kupata hiyo v6 nafanyaje ?