Puff Daddy(P.Diddy) ndiye aliemuua Tupac Shakur

Kivumah huyo mtu anataka kukuza jina coz Pd is a big time Celebrity and things are getting better as time goes by.... I love Tupac... loved him ile mbaya when he was alive.... Kipindi Tupac yupo juu in conjuction with Notorious Pd hakua na that big a name or that big influence compared to sasa... Hivo my stand ni kua jamaa anataka kukuza jina.... Kama hivi mie nilikua simfahamu sasa nisha mfahamu....
Pal... i love Tupac, and i love hiphop... but i think there could be a serious possibility coz rap ya wakati ule ilikua kama ya wana wapotevu, just like alivyouwawa yule dogo wa N2N solders (arusha) or Steve2K (Dar)

Ni ile social/mob psychology iliyowafanya rappers wa wakati ule especially wale wa death row vs. kundi la puffy kudhani kwamba hardcore ni bunduki rather than muscles... so his involvement is a possibility

Just take a time to revisit dogg pound lyrics, tupac himself, bad boy lyrics na hata videos.... they just took hiphop rivarly too far

Umesahau when we were young we did things that we dont even what to remember? coz if anyone uncover them , them we would be scarred forever?

having said that, i am not judging or agreeing sean killed or participated in Tupacs murder, but it could be a possibility
 
Pal... i love Tupac, and i love hiphop... but i think there could be a serious possibility coz rap ya wakati ule ilikua kama ya wana wapotevu, just like alivyouwawa yule dogo wa N2N solders (arusha) or Steve2K (Dar)

Ni ile social/mob psychology iliyowafanya rappers wa wakati ule especially wale wa death row vs. kundi la puffy kudhani kwamba hardcore ni bunduki rather than muscles... so his involvement is a possibility

Just take a time to revisit dogg pound lyrics, tupac himself, bad boy lyrics na hata videos.... they just took hiphop rivarly too far

Umesahau when we were young we did things that we dont even what to remember? coz if anyone uncover them , them we would be scarred forever?

having said that, i am not judging or agreeing sean killed or participated in Tupacs murder, but it could be a possibility
Point of correction mkuu MTM yule mwanahiphop wa Arusha alikuwa hatokei N2N,alikuwa anatokea Xplastaz! Huyu ndiye legendary wa hipohop Arusha nzima anaitwa Nelson a.k.a Ruff Nelly(r.i.p).huwa nikimsikiliza 2pac pamoja na elimu yake plus life style yake huwa nakubali mambo mengine kipaji kinashushwa tu.jamaa ukitafakari kila mstari wake unabaki hoi.mfano kwenye wimbo wa dear mama pale anapomzungumzia baba yake kuwa "he passed away and i never cry because my hunger not make me feel for stranger!" anazungumzia ukweli unaouma! Most of time ninakiri 2pac alikuwa nabii wa vijana wa mitaani
 
Point of correction mkuu MTM yule mwanahiphop wa Arusha alikuwa hatokei N2N,alikuwa anatokea Xplastaz! Huyu ndiye legendary wa hipohop Arusha nzima anaitwa Nelson a.k.a Ruff Nelly(r.i.p).huwa nikimsikiliza 2pac pamoja na elimu yake plus life style yake huwa nakubali mambo mengine kipaji kinashushwa tu.jamaa ukitafakari kila mstari wake unabaki hoi.mfano kwenye wimbo wa dear mama pale anapomzungumzia baba yake kuwa "he passed away and i never cry because my hunger not make me feel for stranger!" anazungumzia ukweli unaouma! Most of time ninakiri 2pac alikuwa nabii wa vijana wa mitaani

Sikiliza hapa....

2Pac - Dear Mama - YouTube
 
2pac was a member of BLOODS,their rival gangbang was CRIPS..it's a possibility that PAC was gunned down by the CRIPS,...those days u had to be careful with the color of gear,.u could end up being shot..red and blue,.LA vs CPT...2pac was probably shot by XZHIBIT he does alot of crip walkin'...RIP. boss playa pac and biggie too...hiphop is dead
 
Huyu mtu, hata Mi nilihisi anahusika kwa kiasi fulani, ingawa wengine walimtaja mpaka Suge Knight, na nafikiri ndio maana Mase alikaa naye mbali kwa kujitoa kidogo kwenye music, ili asije akapatwa na matatizo hata ya kuuawa kwa kuongozana na mtu wa aina hii, miaka ya 2000's mwanzoni, rapper Shyne kutoka Bad Boys alifungwa jela miaka 10, baada ya kupiga risasi, ili kumtetea P.Diddy asiuawe, nafikiri tukio hili lilitokea muda mfupi baada ya Snoop Dogg, kunusurika kuuawa, P.Diddy na Snoop Dogg walishanusurika kuuawa baada ya kila mmoja kumtumia mwenzie wauaji but now P.Diddy, Snoop Dogg na East Coast, Bad Boys na West Coast kwa ujumla, walishasameheana na wana maelewano mazuri, ndio maana kuna muziki mmoja wa P.Diddy, watu wa West Coast kama Snoop Dogg na Mike Tyson walionekana. Mike Tyson ni mshikaji mkubwa sana wa West Coast, West Side, na 2pac, Tupac, alipigwa risasi muda mfupi baada ya kutoka kwenye pambano la Tyson na Bruno la 96, inasemekana ilikuwa ni dakika 45 baada ya pambano, gari aliponda iliposimama kwenye mataa, siku hiyo hakuwa amevaa bullet proof, shuhuda mmoja aliyekuwa karibu sana na eneo, aliuawa baada ya siku 3, wakati 2pac alifariki baada ya siku 9, akiwa hajitambui kabisa na akipumulia mashine, 2pac na Big walikuwa marafiki but kutokuaminiana na wivu, kuliwafanya wachukiane, kutokuaminiana, wivu, majivuno, chuki, unafiki, makundi, kuliwacost uhai wao.
 
I believe huyo mtu kweli alikufa, wanaodai eti hajafa, ni kutokana na matumizi ya jina Makaveli, alilopenda sana kujiita, eti si ajabu anataka kuwazingua watu kama huyo Makaveli, cause huyo Makaveli alikuwa ni jasusi fulani aliyejifanya kuwa amekufa halafu baadaye akajitokeza hadharani, wengine wanasema eti hata wale mademu waliokuwa wanajirusha nao walitoweka, so ni kwamba wamebana nao sehemu na cha mwisho ni kwamba eti 2pac hana kaburi, hakuna kaburi la 2pac, mi sidhani kama ni kweli, ila sipati picha kama leo angekuwepo angekuwa tajiri kiasi gani kama tu hiyo miaka ya tisini alikuwa anamiliki almasi, kuna gari yake ilikuwa ina mapambo ya almasi ndani, au unakumbuka lile limkufu lake la dhahabu tupu, alikuwa ni mchapa kazi sana na tajiri akiyekuwa anakuja kwa kasi ya ajabu, embu check Dunia kwa ujumla, uwe mchina, mzungu, mhindi, mwafrika, mwarabu n.k, ukizungumzia music wa pop, wa kwanza kumtaja ni Michael Jackson, rap 2pac, reggae Bob Marley, angalau sasa umaarufu wa akina Arnold na Rambo umepungua, kwasababu wamezeeka na hivyo hawaigizi sana kama zamani, marapa wa leo wanagombana kwa sababu kila mmoja anataka aonekana ndiye 2pac mpya.
 
Iam happy watu wangu kama DMX, Mase, hawajapatwa na matatizo makubwa kwenye hii game.
 
Pal... i love Tupac, and i love hiphop... but i think there could be a serious possibility coz rap ya wakati ule ilikua kama ya wana wapotevu, just like alivyouwawa yule dogo wa N2N solders (arusha) or Steve2K (Dar)

Ni ile social/mob psychology iliyowafanya rappers wa wakati ule especially wale wa death row vs. kundi la puffy kudhani kwamba hardcore ni bunduki rather than muscles... so his involvement is a possibility

Just take a time to revisit dogg pound lyrics, tupac himself, bad boy lyrics na hata videos.... they just took hiphop rivarly too far

Umesahau when we were young we did things that we dont even what to remember? coz if anyone uncover them , them we would be scarred forever?

having said that, i am not judging or agreeing sean killed or participated in Tupacs murder, but it could be a possibility

P.Diddy alikuwa ni mtu muhimu sana sana kwa Biggie, ndiye aliyefanikisha mafanikio na umaarufu wa Biggie kwenye game, ndio maana toka zamani walikuwa wanaonekana pamoja kila mahali, ulipokuwa biggie, diddy pia alikuwepo, huwezi kuzungumzia maisha ya biggie bila kumtaja diddy hata siku moja, diddy alimtoa biggie street na kumuingiza kwenye game seriously.
 
P.Diddy alikuwa ni mtu muhimu sana sana kwa Biggie, ndiye aliyefanikisha mafanikio na umaarufu wa Biggie kwenye game, ndio maana toka zamani walikuwa wanaonekana pamoja kila mahali, ulipokuwa biggie, diddy pia alikuwepo, huwezi kuzungumzia maisha ya biggie bila kumtaja diddy hata siku moja, diddy alimtoa biggie street na kumuingiza kwenye game seriously.
na p.diddy alipata utajiri mkubwa kutumia kipaji cha biggie,..diddy asingekuwa alipo leo kama zisingekuwa album mbili za biggie za ready to die na life after death...ironically puffy alianza kupata jina kwenye rap game baada ya biggie kufariki
 
Point of correction mkuu MTM yule mwanahiphop wa Arusha alikuwa hatokei N2N,alikuwa anatokea Xplastaz! Huyu ndiye legendary wa hipohop Arusha nzima anaitwa Nelson a.k.a Ruff Nelly(r.i.p).huwa nikimsikiliza 2pac pamoja na elimu yake plus life style yake huwa nakubali mambo mengine kipaji kinashushwa tu.jamaa ukitafakari kila mstari wake unabaki hoi.mfano kwenye wimbo wa dear mama pale anapomzungumzia baba yake kuwa "he passed away and i never cry because my hunger not make me feel for stranger!" anazungumzia ukweli unaouma! Most of time ninakiri 2pac alikuwa nabii wa vijana wa mitaani

duh umenikumbusha ruff nelly dah alikuwa kichwa kweli. r.i.p
 
Kwenye DEAR MAMA 2PAC ANASEMA" ma dady passed away and i never cry because my hunger not make me feel for stranger".....Kweli kivumacho akidumu B.I.G Alkuwa anatumia kivuli cha 2 PAC kupata umaarufu...R.I.P 2 PAC Dunia haitakusahau ur our LEGEND
 
SYSTEM YA us iliwatumia EAST COAST KINA SEAN COMBS A.KA.PUFF DADY A.KA. P DIDY ALIBADILI NICKNAME KUTOKA PUFF DADY KUWA P. DIDY CZ ALISEMA AMEFANYA MAOVU MENGI KUPITIA NICKNAME YA PUFF DADY
 
Da tupac ndo neno la mjini ye ndo mambo yote nawezasem rapgame hakumuua yeye na biggie smalls Bali mafans na media kati ya west na east coast ndo walihusika 2PAC and biggie best rappers of their time R.i.p
 
Back
Top Bottom