meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
chadema waliomba(jana) lema apewe mdhamana lakini logistics zimekataa mpaka baada ya siku 14.chadema waliomba kibali cha mkutano kwa siku ya leo.lakini cdm wamekiuka hilo na kuamua kukesha eneo la nmc.kitendo hiki ni kinyume na taratibu za kimahakama.wakazi wa arusha walioko nmc wanapewa wito wa kuondoka au kutokwenda nmc.wananchi wanapewa wito wa kuendelea na shughuli zao na wasikubali kurubuniwa na watu kutoka nje ya mkoa.mahakama haifanyi kazi kwa kushinikizwa.kwa ufupi hii ndio taarifa kwa umma wa watu wa arusha iliyotolewa kupiti triple A fm arusha.