Nilipokuwa nikimuona Nabii Clear Malisa pale Chomoza nilijua ndiye yule wa Mwanza ambaye nimesikia taarifa zake nyingi nyingine si nzuri.
Nilikuwa nikishangaa sana nikiunganisha tuhuma za yule wa Mwanza kila nilipokuwa naangalia kipindi cha chomoza hasa kutokana na uwezo alionao Clear Malisa na jinsi Mungu alivyomjalia kufunua biblia katika mafungu mengi anayotafsiri.
Leo nimebahatika kumuona huyu wa Mwanza kituo cha luninga cha star TV nikagundua ni wawili tofauti ila majina ya ubini yanafanana pamoja na taaluma yao( wote manabii)
Naomba kujua,je hawa ni ndugu?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Nilikuwa nikishangaa sana nikiunganisha tuhuma za yule wa Mwanza kila nilipokuwa naangalia kipindi cha chomoza hasa kutokana na uwezo alionao Clear Malisa na jinsi Mungu alivyomjalia kufunua biblia katika mafungu mengi anayotafsiri.
Leo nimebahatika kumuona huyu wa Mwanza kituo cha luninga cha star TV nikagundua ni wawili tofauti ila majina ya ubini yanafanana pamoja na taaluma yao( wote manabii)
Naomba kujua,je hawa ni ndugu?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app