Propaganda za uongo: Elimu bure, CHADEMA ikishinda

Mwalimu NYerere alitoa elimu bure, matokeo yake baada ya miaka 20 nchi ilitembelea magoti. CHADEMA (Mh Slaa) japo ya kujua hilo bado ilisisitiza kutoa Elimu bure kwa watanzania wote ili ishinde uchaguzi 2010, lakini ikaanguka. Hii ni kutokana na ueleo mkubwa wa watanzania na kuelewa kuwa hizo ni PROPAGANDA ZA UONGO.
wait a minute.......mwalimu alitoa elimu bure , alipigana vita ya kagera, alitoa msaada wa mali na hali kukomboa nchi nyingine na baba wa hawa mafisadi wa leo wa ccm wakamhujumu na kuuwa kila kiwanda.

Suala la uelewa wananchi na sera ya Dr. Slaa-tunahitaji maelezo.Kwani vilivyofanyika kwa vitendo na CCM ni vibaya sana,sasa sijui kwanini waamini kitu walichokiona ubaya halafu wasiamini walichoahidiwa na mtu asiye shemu ya ubaya?
Wiki iliyopita nilipoandika Thread "CHADEMA NI CHAMA CHA PROPAGANDA" wengi walidai nilete ushahidi au vyanzo vya taarifa hizo. Sikufanya hivyo kwa kuogopa Mod kuifuta habari hiyo. Leo nimeamua kuandika ushahidi wa Propaganda hizo za uongo tukianzia kwenye kipengele cha ELIMU BURE KWA WATANZANIA WOTE.

Ili twende hatua kwa hatua naona vyema tuanzie na mkoa wa Kilimanjaro ambako ndio Ngome ya CHADEMA ilikojikita. Naomba waziri kivuli wa fedha wa CHADEMA aeleze kinaga ubaga ni vipi kwa kutumia kodi ya mkoa wa Kilimanjaro itamudu kutoa elimu bure kwa wananchi wa mkoa huo kabla hatujazungumzia Tanzania nzima.
Umechemsha Kilimanjaro si Ngome ya CDM.Ila kuna maeneo CDM ina nguvu .Na unahitaji kuthibitisha hili.
Mkoa wa Kilimanjaro unaongoza Tanzania nzima kwa kuwa na shule za Sekondari nyingi kuliko mikoa yote ya Tanzania. Una sekondari 288 wakati hata Dar es salaam ina sekondari 252 tu (Chanzo: www.moe.go.tz/NectaResuls). Wakazi wa kilimanjaro ni 1441000 ukilinganisha na Dar es salaam ambao ni takriban 2,809,000 (Chanzo: Tanzania: Regions, Major Cities & Urban Localities - Statistics & Maps on City Population). Pato la kodi la mkoa wa Kilimanjaro (Rombo, Hai, Mwanga, Same, Mosho mjini na Moshi vijijini) ni 14,236.4 Milioni (Tzsh) wakati lile la Dar es salaam ni 441,000.5 Milioni (Tzsh) (Chanzo: Tanzania Revenue Authority - Kigoma).
Naona umeamua weka link ya Kigoma sijui ndio hila hizo ama?
Kwa taarifa yako Kilimanjaro Vipindi vya Mkapa na hata mwanzoni Kikwete akiingia Kilimanjaro ilikuwa inacheza kuanzia no.1 hadi 5.Vyanzo vikubwa vikiwa border ya Holili, utalii ,misitu ya west, na mazao kama viazi,vitunguu, nyanya, carrots etc..
Usisahau pia kuwa Sukari ya TPC ,Gypsum ichimbwayo upare na dhahabu, pamoj ana madin mengine ambayo serikali ya ccm haijua hata kama yanachimbwa ni maeneo CDM wanaweza rudisha hivyo vyanzo kataka njia sahihi na maisha yakenda vizuri.
Data TRA walizoweka ni selective sana na ni za miaka ya nyuma.
http://www.tra.go.tz/index.php?option=com_content&task=view&id=282&Itemid=64
Kwanza mkoa mdogo na uliopigwa vita kama kilimanjaro kuwa na shule zote hizo ukilinganisha na idadi ya watu inaonysha jinsi gani wakitumi shule zao vizuri.Muda si mrefu wanabadili mkoa kuwa Macau.
Kabla sijaandika zaidi naomba huyu waziri kivuli wa fedha wa CHADEMA akisaidiana na wapambe wake hapa JF wanieleze ni vipi watazigawanya hizo 14,236.4 milioni Tzsh katika huduma za matibabu (hospitali, zahanati na elimu ya afya), Polisi, utawala mkoa na wilayani, pembejeo, na Elimu (mishahara ya walimu, ukarabati na stationaries).

Mkishindwa kufanya hivyo maana yake ELIMU BURE KWA WATANZANIA WOTE NI PROPAGANDA YA UONGO. Vinginevyo mlitaka kutumia pesa ya walipa kodi wa mikoa mingine kuendeleza mkoa wenu maana kiuchumi haiwezekani Kilimanjaro yenye wakazi 1441000 iwe na shule kupita Dar es salaam yenye wakazi 2,809,000.

Nasubiri majibu yenu kabla sijaendelea na sekta nyingine.
Kwanza ujue kuwa Sera ya majimbo inapinga dhana potofu yako.Kuwa watatumia hela za mikoa mingine kuendeleza mingine.majimbo yanakuwa na gavana anayekuwa na utawala unaojitegemea kabisa bila kupingana na serikali kuu.Majukumu ya jimbo yanajulikana kam aleo watu wajuavyo ya mikoa na ya serikali kuu pia hujulikana pakiwa na tofauti ya umiliki hela.

CDM wana insist kuwa watacontrol mapato ambayo leo CCM wanapeleka kuficha nje na kuwaachia wawekezaji, wataongeza kipato pia kwa kutumia vitu vilivyolazwa na kukosa ubunifu kwa CCM.

Hiyo figure (14,236.4 milioni) ya zamani ambayo imekuja kutokana na wizi wa CCM, vita ya kuuangusha huu mkoa ktk kila nyanja.Hiii si figure iliyopaswa iangaliwe kama vile matokeo mengi ya kura yasivyo asilia.Ila nakupa majibu.
Na suala la deficit ni kawaida kwa nchi nyingi duniani ndio maana hata Nyerere na hata Kikwete leo anakopa.Jimbo linalopungukiwa na hela linaweza kopa serikali kuu na kuhitajika lipa baadaye.Hofu ni kwa mikoa ya wavivu,wataishi sana kwa federal governement rescue packages.hawa ndio watakula vya wenzao.

Mwisho nakuambia kuwa hiyo figure ya TRA ni kodi TRA waliyopata na si vinginevyo.Hakuna makusanyo ya Manispaa,vijiji na kata.Nahdani umeanza ona ni wapi kichwa yako haikuwa sawasawa kama si makini sana.Idara ya misitu inakusanya mapato toka katika misitu,KINAPA wanakusanya toka kataka mlima na mbuga iliyopo chini ya mlima.Hata ni mapato ambayo sio kodi ya kwenda TRA.Tanesco,Posta, national House etc.Hawa wote wanapokea mapato kwa niaba ya serikali na haya yote si kodi ya kwenda TRA,kwani katika risit zao utaona VAT na kodi nyingine vikiwa zimevunjwa.Ila mwisho wa siku hela zinakwenda hazina.

Manispaa na taasisi nyingine ndizo zimeweka Lami mji mzima.Ndio wanaomikili shule,zahanati, ma hospital, na hata za makanisa kodi za kipuuzi zikipunguzwa au kuondolewa watachaji kiasi kidogo cha ada ambacho serikali ya ngazi husika itaweza lipia.
Kuthibitisha kuwa CCM ni vimeo, kuna mikoa imekuwa ikitoa dhahabu, alamsi na makaa ya mawe, na sasa gesi ila hadi leo miji yao vumbi kama vile barabara za maporini.Tatizo hapa si kipato,ila misuse na misallocation.
 
Naona sasa kuna haja ya kuwachunguza baadhi ya watu,naona kuna wengine sio raia wa nchi hii kabisa,we mleta mada unatokea nchi gani?
=== Wewe inabidi uchunguzwe, kwani slaa si ndiye anapita kama bendera fuata upepo anawafanya waTZ hawana akili eti kila kitu atawapa bure, yaani ndio agenda aliyoitumia kwenye Upadiri YAKAMSHINDA WAKAMTIMUA, NA HAKUNA KIPINI SLAA ATAKACHOANGUKA KAMA2015. HATAAMINI!
Kule babati mpaka leo wanaishi nyumba za nyasi huku SLAA ANAPETA NA MAHELKOPTA,,, JE AKIPEWA NCHI HATA UDSM ATAWATEMBELEA KWA NDEGE,,, HAWAFAI KABISS CHADEMA, WANAJITAFUTIA MATUMBO YAO TUUUUUUUUUUUUU!
 
Huhitaji kwenda shule kuelewa hiyo hoja ya elimu bure!! Elimu bure inawezekana, fanya homework yako vizuri tutakuelewa kama utatuletea facts siyo kuturudisha nyuma wakati tuko karne ya 21.

Kuna tatizo la vijana wetu kupata uelewa na kutumika vibaya kwa masilahi ya chama tawala kwenye mitandao ;Dhana ya mchumia tumbo ndo tatizo.Hivi uchambuzi wa mleta thread hii unaonyesha utupu wa fikra wa shule aliyonayo.nafikiri ndo kuungaunga, maana uchambuzi huu ni aibu kwa elimu kama janga.yeye huyonayepinga inaonyesha upeo wake ndo st.kayumba university.Twende kwenye uhalisia, mi binafsi nimesoma tagu shule ya msingi mpka chuo kikuu, bila mzazi wangu kutoa hata senti.si nauli si chakula njiani, si ada na si mazi chuo.je mwl. nyerere alikuwa na uchumi mkubwa kufanya hivyo?na je fedha hizo alikuwa nazipta wapi?Kimsingi huyu mdaukichwa box , gazt la mazalendo kabisa.Tujikumbushe kwenye uchumi wa mtanzania, ambaye hawezi kupata hata mlo mmoja unategemea anaweza kumudu gharama za elimu?Ki takwimu karibu 75% ya watanzania wanapata mlo mmoja tu na wanaishi kwa dola moja ya kimarekani, je kwa kipato hicho wanauwezo wa kumudu gharama za elimu?kwa hiyo mdau anakubali kutengeneza matabaka ya kielimu katika jamii.tujikumbushe ni jamii gani inaweza kuendelea bila elimu?tujikumbushe nchi amabzo zinapiga hatua kama singapore, malaysia, taiwan. indonesia, korea, wamefikaje hapo?waliwekeza kielimu bila kubagua kusaidia jamii ipate elimu kwa gharama za serikali , na pia haikuwa bora elimu bali elimu bora.Tunatakiwa kujenga jamii yenye elimu ndo uwezeshwaji ambao serikali kufanya hivyo kwa kutoa bure ili kuwadai nao wachangie kushiriki uzalishaji ili kujenga nchi.hapa inakuwa jamii haitakuwa na matabaka kielimu, kiiitikadi, kiutamaduni , na inakuwa rahisi kuwapatia ajira kirahisi.Leo ajira kwa tabaka la walionacho.Huyu jamaa mleta thread hii mtupu kiuchambuzi.Bila elimu jamii kubwa kama jinsia ya kike itabaki nyuma milele, jamii kubwa masikini, itabaki nyuma milele, jamii ya vijijini itabakia nyuma milele sababu kipato chao ni kidogo.Serikali lazima itafute vyanzo vya kufanya mradi huu bila kujali kuwa si watoto wao.Ni lazima tanzania iwe yetu sote, jamii yote ifaidike na rasilimali za nchii hii,kwa sasa kumekuwa na tabaka linalofaidi, ndo mambo wanapata elimu nzuri, ajira nzuri maisha mazuri.Ni vyema viongozi wa nchi wajali watanzania, bado kuna vyanzo vingi mno vinavyowezesha kupata fedha hiyo.je nchi nilizozitaja awali, kama malaysia walipta wapi fedha hizo?huyu mdau haoni opprtunity cost ya nchi kusomesha jamii yake kwa ujumla kwa elimu bora ni tija kubwa kwa usitawi wa taifa baadaye?na pia uchambuzi wa pato la kimkoa.ni uchambuzi dhaifu.w:phone:ala si kigezo cha kufanya serikali isiwekeze kwenye elimu ya bure.Kila mkoa kuna rasilimali na maendelo kimkoa huchangiwa na mapato kutoka mikoa mingine.je mikoa kama singida, lindi ambayo inakikpato kidogo , je sual la afya, maji, elimu, serikali haiwasaidii?mdau ni mtupu sana kiuchambuzi, nahisi si mtanzania anayelitakia taifa maendeleo, elimu ni maendeleo, lazima serikali iwekeze , hatuwezi kubaki na matabaka kielimu tutajenga sumu mbaya kwenye jamii kuleta mapambano.
 

Kuna tatizo la vijana wetu kupata uelewa na kutumika vibaya kwa masilahi ya chama tawala kwenye mitandao ;Dhana ya mchumia tumbo ndo tatizo.Hivi uchambuzi wa mleta thread hii unaonyesha utupu wa fikra wa shule aliyonayo.nafikiri ndo kuungaunga, maana uchambuzi huu ni aibu kwa elimu kama janga.yeye huyonayepinga inaonyesha upeo wake ndo st.kayumba university.Twende kwenye uhalisia, mi binafsi nimesoma tagu shule ya msingi mpka chuo kikuu, bila mzazi wangu kutoa hata senti.si nauli si chakula njiani, si ada na si mazi chuo.je mwl. nyerere alikuwa na uchumi mkubwa kufanya hivyo?na je fedha hizo alikuwa nazipta wapi?Kimsingi huyu mdaukichwa box , gazt la mazalendo kabisa.Tujikumbushe kwenye uchumi wa mtanzania, ambaye hawezi kupata hata mlo mmoja unategemea anaweza kumudu gharama za elimu?Ki takwimu karibu 75% ya watanzania wanapata mlo mmoja tu na wanaishi kwa dola moja ya kimarekani, je kwa kipato hicho wanauwezo wa kumudu gharama za elimu?kwa hiyo mdau anakubali kutengeneza matabaka ya kielimu katika jamii.tujikumbushe ni jamii gani inaweza kuendelea bila elimu?tujikumbushe nchi amabzo zinapiga hatua kama singapore, malaysia, taiwan. indonesia, korea, wamefikaje hapo?waliwekeza kielimu bila kubagua kusaidia jamii ipate elimu kwa gharama za serikali , na pia haikuwa bora elimu bali elimu bora.Tunatakiwa kujenga jamii yenye elimu ndo uwezeshwaji ambao serikali kufanya hivyo kwa kutoa bure ili kuwadai nao wachangie kushiriki uzalishaji ili kujenga nchi.hapa inakuwa jamii haitakuwa na matabaka kielimu, kiiitikadi, kiutamaduni , na inakuwa rahisi kuwapatia ajira kirahisi.Leo ajira kwa tabaka la walionacho.Huyu jamaa mleta thread hii mtupu kiuchambuzi.Bila elimu jamii kubwa kama jinsia ya kike itabaki nyuma milele, jamii kubwa masikini, itabaki nyuma milele, jamii ya vijijini itabakia nyuma milele sababu kipato chao ni kidogo.Serikali lazima itafute vyanzo vya kufanya mradi huu bila kujali kuwa si watoto wao.Ni lazima tanzania iwe yetu sote, jamii yote ifaidike na rasilimali za nchii hii,kwa sasa kumekuwa na tabaka linalofaidi, ndo mambo wanapata elimu nzuri, ajira nzuri maisha mazuri.Ni vyema viongozi wa nchi wajali watanzania, bado kuna vyanzo vingi mno vinavyowezesha kupata fedha hiyo.je nchi nilizozitaja awali, kama malaysia walipta wapi fedha hizo?huyu mdau haoni opprtunity cost ya nchi kusomesha jamii yake kwa ujumla kwa elimu bora ni tija kubwa kwa usitawi wa taifa baadaye?na pia uchambuzi wa pato la kimkoa.ni uchambuzi dhaifu.w:phone:ala si kigezo cha kufanya serikali isiwekeze kwenye elimu ya bure.Kila mkoa kuna rasilimali na maendelo kimkoa huchangiwa na mapato kutoka mikoa mingine.je mikoa kama singida, lindi ambayo inakikpato kidogo , je sual la afya, maji, elimu, serikali haiwasaidii?mdau ni mtupu sana kiuchambuzi, nahisi si mtanzania anayelitakia taifa maendeleo, elimu ni maendeleo, lazima serikali iwekeze , hatuwezi kubaki na matabaka kielimu tutajenga sumu mbaya kwenye jamii kuleta mapambano.
Well said mkuu!! Kama amekusikia na akusikie, hataki atakuja kujua ukweli huko mbeleni.
 
Mwalimu NYerere alitoa elimu bure, matokeo yake baada ya miaka 20 nchi ilitembelea magoti. CHADEMA (Mh Slaa) japo ya kujua hilo bado ilisisitiza kutoa Elimu bure kwa watanzania wote ili ishinde uchaguzi 2010, lakini ikaanguka. Hii ni kutokana na ueleo mkubwa wa watanzania na kuelewa kuwa hizo ni PROPAGANDA ZA UONGO.

Wiki iliyopita nilipoandika Thread "CHADEMA NI CHAMA CHA PROPAGANDA" wengi walidai nilete ushahidi au vyanzo vya taarifa hizo. Sikufanya hivyo kwa kuogopa Mod kuifuta habari hiyo. Leo nimeamua kuandika ushahidi wa Propaganda hizo za uongo tukianzia kwenye kipengele cha ELIMU BURE KWA WATANZANIA WOTE.

Ili twende hatua kwa hatua naona vyema tuanzie na mkoa wa Kilimanjaro ambako ndio Ngome ya CHADEMA ilikojikita. Naomba waziri kivuli wa fedha wa CHADEMA aeleze kinaga ubaga ni vipi kwa kutumia kodi ya mkoa wa Kilimanjaro itamudu kutoa elimu bure kwa wananchi wa mkoa huo kabla hatujazungumzia Tanzania nzima.

Mkoa wa Kilimanjaro unaongoza Tanzania nzima kwa kuwa na shule za Sekondari nyingi kuliko mikoa yote ya Tanzania. Una sekondari 288 wakati hata Dar es salaam ina sekondari 252 tu (Chanzo: www.moe.go.tz/NectaResuls). Wakazi wa kilimanjaro ni 1441000 ukilinganisha na Dar es salaam ambao ni takriban 2,809,000 (Chanzo: Tanzania: Regions, Major Cities & Urban Localities - Statistics & Maps on City Population). Pato la kodi la mkoa wa Kilimanjaro (Rombo, Hai, Mwanga, Same, Mosho mjini na Moshi vijijini) ni 14,236.4 Milioni (Tzsh) wakati lile la Dar es salaam ni 441,000.5 Milioni (Tzsh) (Chanzo: Tanzania Revenue Authority - Kigoma).

Kabla sijaandika zaidi naomba huyu waziri kivuli wa fedha wa CHADEMA akisaidiana na wapambe wake hapa JF wanieleze ni vipi watazigawanya hizo 14,236.4 milioni Tzsh katika huduma za matibabu (hospitali, zahanati na elimu ya afya), Polisi, utawala mkoa na wilayani, pembejeo, na Elimu (mishahara ya walimu, ukarabati na stationaries).

Mkishindwa kufanya hivyo maana yake ELIMU BURE KWA WATANZANIA WOTE NI PROPAGANDA YA UONGO. Vinginevyo mlitaka kutumia pesa ya walipa kodi wa mikoa mingine kuendeleza mkoa wenu maana kiuchumi haiwezekani Kilimanjaro yenye wakazi 1441000 iwe na shule kupita Dar es salaam yenye wakazi 2,809,000.

Nasubiri majibu yenu kabla sijaendelea na sekta nyingine.
mbona hujaweka dhahabu au mbona hujasabstute kwamba magari ya vigogo yakiuzwa inaweza simamia elimu hujui kuwa kuna nchi ukiwa waziri unakopeshwa gari nasikali hilo ndilo la kazi na familia ? hapa unakuta kwa waziri kuna magari mangapi? hujui kuwa shule zinazotoa elimu kwa watanzania ni za umma kwa nini zile za private zisirudishwe kuhudumia umma kwa gharama ndogo we kula mayai na chips tu kaka omba mungu usikae manzese
 
Very suprising:- unahoji ahadi za mtu ambaye hujampa nchi, unaacha kuhoji yaliyohaidiwa mwaka 2005 maisha bora kwa kila mtanzania, 2010 ukampa tena kama zuzu, tena inabidi upewe kipaumbele cha kuhudhuria hii elimu ya bure pindi itakapo kuwepo. Maana inaonekana hujawahi kabisa pata elimu kwa hii mada yako ilivyo. Kwanza wewe unaonekana ni mtu unayempenda mtu si nchi maana leo hii ungekuwa ni mzalendo kweli ungekuwa na kichefu chefu cha ahadi za ccm, upo madaarakani mmiaka 50 inatosha kuondolewa maana nchi unayo unaahiddi nini na wakati 50 yrs umeshashindwa?
 
Back
Top Bottom