Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Ccm wanafanya reference kwa chadema kila wanachotaka kufanya.
Nchi ina vyama vya siasa 18 vyenye usajili wa kudumu lakini ccm macho yao wameyaelekeza chadema.
Mathalani cuf nao waliahidi elimu ya bure lakini hawasemwi, bila shaka ni sababu ya ndoa na ccm.
Mleta mada umejaa ushabiki wa kitoto na propaganda kwakuwa ni dhahiri unafahamu mfumo wa kupanga bajeti ya nchi yetu mikoa haipangi bajeti ya matumizi kwa kuzingatia kiasi walicho contribute kwenye pato la taifa. Serikali kuu ndiyo inapanga itumieje kodi zetu, lakini umeamua kupotosha watu.
Nchi ina vyama vya siasa 18 vyenye usajili wa kudumu lakini ccm macho yao wameyaelekeza chadema.
Mathalani cuf nao waliahidi elimu ya bure lakini hawasemwi, bila shaka ni sababu ya ndoa na ccm.
Mleta mada umejaa ushabiki wa kitoto na propaganda kwakuwa ni dhahiri unafahamu mfumo wa kupanga bajeti ya nchi yetu mikoa haipangi bajeti ya matumizi kwa kuzingatia kiasi walicho contribute kwenye pato la taifa. Serikali kuu ndiyo inapanga itumieje kodi zetu, lakini umeamua kupotosha watu.