Project funding sources

Nashukuru sana kiongozi, inahitaji moyo sana kufuatilia na kuwafanya watu waelewe concept unayoitaka na kukubaliana na mawazo yako. Dedication, commitment, consistence na hardwork ndio inaleta matokeo sasa...
Mzuzu, kiwanda kinaanza kazi lini mkuu? Pongezi sana.
 
kaanz
[8/30, 14:54] Lubango Seni✍: CROWDRISING ni Taasisi Ambayo ipo duniani ikiwa na Nia na lengo la kusaidia duniani au jamii iliyopo duniani kujikwamua yenyewe kiuchumi, Yaaaani CROWDRISING wenyewe wametoa tu MFUMO Narudia tena MFUMO, ambao wanajamii ambao ni mimi na wewe tunatumia au tunautumia au utautumia wewe pindi utakapojiunga KUJIKWAMUA KIUCHUMI
HISTORIA CROWDRISING ni Taasisi iliyoanzishwa MAY 2016 nchini Canada.

Lengo Kuu la hii Taasisi ni kuisaidia dunia (jamii husika ya mahali husika iweze kujikwamua yenyewe kiuchumi kwa njia ya wanajamii wenyewe kuweza kusaidiana kwa kuinuana kiuchumi kwa njia ya KUCHANGIANA.

Sasa basi mnachangianaje na kunyanyuana kiuchumi / kifedha?

Ili uweze kujiunga na Fursa hii ya CROWDRING ni lazima ujiunge kwa kumpatia / kumchangia / kumtumia moja kwa moja kwenye simu yake (tigo pesa, mpesa, airtel money, ezy pesa, PayPal, Bitcoin, Western Union, Bank za kawaida n.k Kiasi cha shilingi 20000 / = Yule aliyekupa / kushirikisha fursa hii ambaye atakuwa ni Mwanachama wa CROWDRISING Ili akusajili. Fedha hiyo itakuwa ni yake moja kwa moja.

Hivyo
Unatoa / kuchangia 20000 kwa aliyekushirikisha Fursa hii (mama) ..

GRADE 1

Kisha wewe unatakiwa (kushirikisha) watu 5....na kila mmoja atakupatia / kukuchangia na wewe 20000 Tsh. ( za Kwako hizo huwarudishii) ZAKO

5× 20000= 100,000/=

GRADE 2

Kwenye hiyo 100,000 unatakiwa kuchangia 40,000 kwa mtu alomuunganisha alokuunganisha wewe (Bibi/babu) , kwa lugha rahisi ni kwamba una changia hiyo hela kwa Babu/Bibi yako.

So, itakuwa
100,000-40,000= Utabakiwa na Tsh 60,000/=

60000-20,000 (Mtaji ile uliyotoa kwanza )= 40,000/=

40,000 ndo faida kutokana na watu wako wale watano.

2. Hao watano...kila mmoja ataunganisha watano kama ulivyofanya wewe...

Then itakuwa watu wako wa 5 (watoto) Wakishirikisha wa 5 wao= 25 Watu (wajukuu)

Na hao 25 Wakishirikisha wa 5 wao na wao watakuwa na 100,000 /=

Sasa basi kila mjukuu wako mmoja Atakuchangia Tsh 40,000 toka kwenye 100,000 zao kama wewe ulivyomchangia bibi yako 40,000 pale awali = SAWA??

Hivyo basi 40,000 X 25 wajukuu = Jumla ukapokea / changiwa kiasi cha Tsh 1,000,000/=

GRADE 3

Kwenye 1M yako Sasa hivi utamchangia wa juu yako zaidi 100,000=
1,000,000 -100,000= (900,000 hiyo faida yako utakula wewe na familia yako)

Hela inazidi kuongezeka tuuuu...

3) Na hao 25 kila mmoja akiunganisha watano ndani ya timu yako utakuwa na vitukuu 125. Na wao pia watakuchangia 100,000 kila mmoja

Tsh 100,000 X125 wajukuu unapata Milioni 12.5M

Tambua, CROWDRISING Kuna Grade ya 1 hadi Grade 15. Kwenye hiyo grade ya 3 Tayari una Milioni 12.5. Ukifika Grade ya 15 utakuwa na Mamilioni mangapi?

KARIBU CROWDRISING

HEBU TUACHE KUCHANGIANA VITU VINAVYOTAPANYA PESA, HARUSI, KITCHEN PARTY, KIPAIMARA N.K KARIBU UJIUNGE NA CROWDRISING NJOO TUCHANGIANE VITU VYA KUTUNYANYUA KIUCHUMI / KIFEDHA / ADA / UJENZI, MITAJI YA BIASHARA NA MAENDELEO MENGINE.

KUMBUKA
CROWD RISING haishiki fedha yoyote ya Mwanachama wake, KILA MWANACHAMA WA CROWDRISING ANASHIKA FEDHA ZAKE MWENYEWE KWENYE ACCOUNT YAKE MWENYEWE.
[8/30, 17:17] Lubango Seni✍: "ANGALIZO/TAMBUA"
1)Mfumo wa Crowd rising haupo kwa ajili ya kupokea/kutunza pesa bali kumuongoza mchangiaji ni nani anapaswa kumchangia,kiasi gani,na wakati gani.
2)Mfumo huu upo kumuongoza mchangiaji ni nani anapaswa kutumiwa pesa ili apandishwe daraja pindi anapohitajika/anapohitaji kupanda daraja.
3)Mfumo upo kumuongoza mchangiaji ni vikwazo gani atakavyokumbana navyo pindi atakavyochelewa kupanda daraja.
4)Mfumo upo kumuongoza mchangiaji ni kikwazo gani kitakachomsibu pindi atakapokuwa amepokea pesa toka kwa mchangiaji na akachelewa kumpandisha(kum-approve).
Mwana-Crowdrising unatakiwa kujifunza kwa makini na kuelewa namna ya kuwaunga watu kwenye huu mfumo kwa kutumia simu yako(smartphone kama unayo),laptop,au nenda kwenye internety cafe.
Ni muhimu kupata elimu hii ya kumuunga mtu ili nawe unapompata wa kumuunga na huu mfumo iwe rahisi kwako kumfundisha/kumuelekeza.
Karibu ili upate mafunzo haya na pia kwenye Semina mbalimbali uweze kupata mbinu za kupata watu wako watano.
Elimu hii ni bure. Pliz Ni PM kwa melekezo zaidi au njoo jumamosi coco beach saa8 kwenye semina ya wazi kwa wote!!!! Mpigie Mwalimu 0688778484
Mungu akubariki.
kaanzishe thread tofauti mkuu acha kuvuruga thread za watu. Niai watch hii thread kwa makusudi sababu mdau ameongea vitu vya msingi sana sasa wewe unakuja na mambo yako ya DECI hapa
 
Kwa wale watakaohitaji mchanganuo wa mahesabu wa uhakika kwa ajili ya kupeleka benki basi utaupata ndani ya wiki moja mara baada ya kutoa data zote zinazohusiana na mradi wako. Gharama ya kutengeneza mchanganuo ni asilimia 1 ya mtaji wa biashara.

Tuwasiliane kwenye namba yoyote kati ya hizi 0658 977 330 au 0772 977 330
 
Nilikua na interest sana ya kilimo cha mihogo (njia ya kilwa) ndio kilichonifanya nianze kufanya research na nashukuru kukutana na hii post, sikua na uvivu wa kuifatia mwanzo hadi mwisho.

Hongera sana kwa kufanikisha mpaka kufikia hapo na Mungu akutangulie kwa kila jema.

Nataka kujua zaidi soko kwa sasa likoje na mnanunua bei gani?? Na jee naweza kua supplier na procedure zipoje??

Thank you in advance
 
Kwa wale watakaohitaji mchanganuo wa mahesabu wa uhakika kwa ajili ya kupeleka benki basi utaupata ndani ya wiki moja mara baada ya kutoa data zote zinazohusiana na mradi wako. Gharama ya kutengeneza mchanganuo ni asilimia 1 ya mtaji wa biashara.

Tuwasiliane kwenye namba yoyote kati ya hizi 0658 977 330 au 0772 977 330
You must be kidding acha tamaa utaziota sana hizo asilimia moja. Kwa mtu amabye unataka asilimia moja hata tovuti ya biashara huna wala ofisi. Acheni masihara na hela
 
Nashukuru sana kiongozi, inahitaji moyo sana kufuatilia na kuwafanya watu waelewe concept unayoitaka na kukubaliana na mawazo yako. Dedication, commitment, consistence na hardwork ndio inaleta matokeo sasa...
Habari mkuu, naomba nisaidie email yako au mawasiliano yako ya karibu.
 
Hi guys!
Nina proposal ya KILIMO cha Kahindi, mpunga, Alizeti, mtama, matunda, miti na hifadhi ya Ardhi. Je kuna MTU mwenye idea wapi tunapoweza kuzinadi na kusaidia wahanga wa kitz?
 
Heshima mbele wana JF,

Nimekuwa nahangaikia kupata habari au msaada wa mawazo kutoka sehemu mbalimbali nafikiri na hapa jamvini lazima kuna msaada mkubwa wa mchango naweza kupata kwani naamini hapa ni kitovu cha taaluma na ujuzi wa mambo.

Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifikiria na kutafuta njia mablimbali za kuweza kufanya sisi kama vijana wa kitanzania katika mambo ya kiuchumi (nikimaanisha kuwa na biashara kubwa) tunazoweza kuanzisha vijana na kutufanya kuondokana na mawazo ya kuajiriwa hasa kwa vijana wenye elimu ya chuo kikuu. Lakini ninasikitika sana kuona watanzania wengi tunagombea nafasi za kuajiriwa tu na serikali yetu haina msaada wowote wa kuwezesha kuleta mafanikio. Serikali yetu inatafafsiri ujasiriamali ni kumwezesha mtu kupata rizki, mi naamini bila viwanda vidogo vya kati huo ujasiriamali hautakuwa na manufaa yoyote, wazalishaji wanatakiwa wajue soko na processing ikifanyika thamani ya mazao yao inaongezeka kwenye masoko ya kimataifa.

Kwa mtazamo wangu nimekuwa nikiamini watu wenye elimu ya chuo kikuu wanatakiwa kuwa na mtazamo wa kuanzisha ajira kwani wao wamepevuka upeo tofauti na waliokosa elimu hiyo.

Kwa wanaJF wanaojua jinsi ya kupata resources jamani ninaomba msaada wa mawazo.

Nimefanya feasibility study kwa miaka kadhaa sasa na hatimaye nimeaandaa business plan ya kufanya processing ya cassava (mihogo) kutengeneza starch. Mali ghafi hakuna asiyejua inapatikana nchi kwetu popote pale unahitaji kuwahakikishia wakulima soko tu na watakufanyia mambo ya kutosha. Hii itainua uchumi wa wakulima wadogo sana na hasa kwenye maeneo ambayo kilimo cha pamba kimeanguka na mikoa kame kama ya kati isiyo na zao la biashara kwani popote inastawi

Soko lipo juu sana na lengo ku export tayari kuna watu wanahitaji sana kuimport kutoka Tanzania nimejaribu kutangaza na kupata response nzuri sana. Kuna soko kubwa sana nchini (yote inaagizwa toka nje esp SA) kuna soko kubwa sana pale TBL na viwanda vingine vinavyotengeneza madawa, nguo, bia, tambi, biscuits, noodles, almost viwanda vyote vinavyotengeneza vyakula (canned na bottled) vinahitaji starch.

Tatizo kubwa nililonalo ni kwamba natafuta source ya funds kuanzisha kamradi haka ambacho profit margin yake ipo juu sana. Nipo tayari kwa mazungumzo specific ya jinsi ya kufanya ili mradi niweze kutimiza hii ndoto. Mradi huu unaweza kuwa expanded katika muda wa miaka 2 au 3 ukawa na plant nyingine ya kuzalisha ethanol kwa kutumia waste materials baada ya kuprocess cassava na tayari nimeanza kudraft plan yake. Nimejaribu kupita Tanzania investment bank na kuongea nao wakawa na interest ya kusaidia ila nikawa sina colateral wala mdhamini mwenye assets nzuri (mimi mtoto wa mkulima tu hata elimu yangu ni ya kuungaunga tu) ninaweza kuraise kidogo tu. Nimepita na NBC ikawa vilevile tu na mradi unakubalika na tatizo siaminiki tu kwa vile sina historia ya kushika pesa kubwa.

Ninaweza kusimamia hii kazi na ikawa juu kiasi cha kuridhisha na kushindana na biashara kubwa tu hata kuanzisha zingine safi zaidi.

Haya wadau naomba reference kwenye source au tujiunege na kuona nini cha kufanya. Nipo kwa wazi nasikiliza mawazo yenu na ushauri! unaweza kuchangia au kuniPM vyovyote utakavyoona

Ahsanteni sana
Wadau nimefurahi sana kwenye jamvi hili na ushauri mnao toa, binafsi nina Mradi wangu wa poultry farming hasa kuku wa kienyeji naamini soko lipo kubwa maana watu wengi wanaondokana na matumizi ya Bloiler nina Incubator machine ya capacity ya mayai 5280 na mabanda yapo fenced ya kuweza kufuga kuku 1000. ila nahitaji capital ya kupata Hatchery na chakula cha kuku. Nina Nyumba yenye thamani ya Mil 25 ila haina hati. Je nawezaje kupata fund walau ya tsh 15 million. Napatikana Mwanza.
 
Wadau nimefurahi sana kwenye jamvi hili na ushauri mnao toa, binafsi nina Mradi wangu wa poultry farming hasa kuku wa kienyeji naamini soko lipo kubwa maana watu wengi wanaondokana na matumizi ya Bloiler nina Incubator machine ya capacity ya mayai 5280 na mabanda yapo fenced ya kuweza kufuga kuku 1000. ila nahitaji capital ya kupata Hatchery na chakula cha kuku. Nina Nyumba yenye thamani ya Mil 25 ila haina hati. Je nawezaje kupata fund walau ya tsh 15 million. Napatikana Mwanza.
Nafikiri bwana Paul Mashauri mcheki Facebook anaweza kuwa na msaada mkubwa kwako. Ana kampuni inayokopesha mashine kwa hiyo unaweza ukapata hatchery. Kuhusu chakula cha kuku kuna mdau mmoja naye leo nimemuona Facebook anaweza kuwa na wazo jinsi ya kutengeneza chakula kwa gharama nafuu cheki hii post
 
Nafikiri bwana Paul Mashauri mcheki Facebook anaweza kuwa na msaada mkubwa kwako. Ana kampuni inayokopesha mashine kwa hiyo unaweza ukapata hatchery. Kuhusu chakula cha kuku kuna mdau mmoja naye leo nimemuona Facebook anaweza kuwa na wazo jinsi ya kutengeneza chakula kwa gharama nafuu cheki hii post

Nashukuru sana mkuu kwa ushauri huu na nimefanikiwa kumpata Bwn Paul Mashauri
 
Heshima mbele wana JF,

Nimekuwa nahangaikia kupata habari au msaada wa mawazo kutoka sehemu mbalimbali nafikiri na hapa jamvini lazima kuna msaada mkubwa wa mchango naweza kupata kwani naamini hapa ni kitovu cha taaluma na ujuzi wa mambo.

Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifikiria na kutafuta njia mablimbali za kuweza kufanya sisi kama vijana wa kitanzania katika mambo ya kiuchumi (nikimaanisha kuwa na biashara kubwa) tunazoweza kuanzisha vijana na kutufanya kuondokana na mawazo ya kuajiriwa hasa kwa vijana wenye elimu ya chuo kikuu. Lakini ninasikitika sana kuona watanzania wengi tunagombea nafasi za kuajiriwa tu na serikali yetu haina msaada wowote wa kuwezesha kuleta mafanikio. Serikali yetu inatafafsiri ujasiriamali ni kumwezesha mtu kupata rizki, mi naamini bila viwanda vidogo vya kati huo ujasiriamali hautakuwa na manufaa yoyote, wazalishaji wanatakiwa wajue soko na processing ikifanyika thamani ya mazao yao inaongezeka kwenye masoko ya kimataifa.

Kwa mtazamo wangu nimekuwa nikiamini watu wenye elimu ya chuo kikuu wanatakiwa kuwa na mtazamo wa kuanzisha ajira kwani wao wamepevuka upeo tofauti na waliokosa elimu hiyo.

Kwa wanaJF wanaojua jinsi ya kupata resources jamani ninaomba msaada wa mawazo.

Nimefanya feasibility study kwa miaka kadhaa sasa na hatimaye nimeaandaa business plan ya kufanya processing ya cassava (mihogo) kutengeneza starch. Mali ghafi hakuna asiyejua inapatikana nchi kwetu popote pale unahitaji kuwahakikishia wakulima soko tu na watakufanyia mambo ya kutosha. Hii itainua uchumi wa wakulima wadogo sana na hasa kwenye maeneo ambayo kilimo cha pamba kimeanguka na mikoa kame kama ya kati isiyo na zao la biashara kwani popote inastawi

Soko lipo juu sana na lengo ku export tayari kuna watu wanahitaji sana kuimport kutoka Tanzania nimejaribu kutangaza na kupata response nzuri sana. Kuna soko kubwa sana nchini (yote inaagizwa toka nje esp SA) kuna soko kubwa sana pale TBL na viwanda vingine vinavyotengeneza madawa, nguo, bia, tambi, biscuits, noodles, almost viwanda vyote vinavyotengeneza vyakula (canned na bottled) vinahitaji starch.

Tatizo kubwa nililonalo ni kwamba natafuta source ya funds kuanzisha kamradi haka ambacho profit margin yake ipo juu sana. Nipo tayari kwa mazungumzo specific ya jinsi ya kufanya ili mradi niweze kutimiza hii ndoto. Mradi huu unaweza kuwa expanded katika muda wa miaka 2 au 3 ukawa na plant nyingine ya kuzalisha ethanol kwa kutumia waste materials baada ya kuprocess cassava na tayari nimeanza kudraft plan yake. Nimejaribu kupita Tanzania investment bank na kuongea nao wakawa na interest ya kusaidia ila nikawa sina colateral wala mdhamini mwenye assets nzuri (mimi mtoto wa mkulima tu hata elimu yangu ni ya kuungaunga tu) ninaweza kuraise kidogo tu. Nimepita na NBC ikawa vilevile tu na mradi unakubalika na tatizo siaminiki tu kwa vile sina historia ya kushika pesa kubwa.

Ninaweza kusimamia hii kazi na ikawa juu kiasi cha kuridhisha na kushindana na biashara kubwa tu hata kuanzisha zingine safi zaidi.

Haya wadau naomba reference kwenye source au tujiunege na kuona nini cha kufanya. Nipo kwa wazi nasikiliza mawazo yenu na ushauri! unaweza kuchangia au kuniPM vyovyote utakavyoona

Ahsanteni sana
mradi wako huu wa muhogo umefikia wapi?
 
duh nimependa sana mawazo yanayotolewa umu jamvini na watanzania wanaopenda watanzania wenzio waendeleee katika safari ya mafanikio

mimi pia nnaomba ushauri kwani nataka nianzishe taasisi itayojishughulisha na masuala ya kutoa elimu mitaani elimu iyoo ni ya masuala ya afya ili kuweza kuzuia jamii kujikinga na magonjwa mbalimbali ya kuambukiza na yasiyoambukizwa kabla hayajawakumba pia italenga kutoa elimu ya uzazi kwenye jamii kwa jinsia zote
kampuni ndo ipo kwenye hatua za mwisho za usajili na soon napata cheti
changamoto iliyopo ni namna ya kupata funding kwenye project tutakazokua tunazifanya na gharama za uendeshaji taasisi kwa ujumla. taasisi itaanza fanya kazi dodoma ila shida ni source of funding kwa ujumla

ningeomba ushauri wenu hata ikiwezekana msaada mana najua kuna watu tiari wameshafanya ivi vitu sehemu mbalimbali wapo umu na wengine wana uzoefu wa hali ya juuu
ahasanteni....
 
Good idea!
In entrepreneurship, wazo = uwezo Wa kulikamilsha!
Kama wazo is greater than uwezo wakulitekeleza, tunasema wazo lako is just dream ambazo wengi wanayo na wanakufa maskini,
Therefore wazo should be less or equal to uwezo Wa kulitekeleza! ili kupunguza stress za sources of fund, ambozo znaweza kukupelekea kukataa tamaa,
Creditors wanataka wazo linalotekelezeka!
All the Best!
 
Nashukuru bro this shall be very proffessional I promise
mkuu uzi wako niliupitia kipindi cha nyuma na leo nimeukumbuka tena.je ulifanikiwa katika kuendeleza mradi?
je kama ulifanikiwa,unanunua mihogo kutoka kwa wakulima?
 
Back
Top Bottom