Project funding sources

Hebu mPM Mkuu Malila........atakupa malezo mazuri (experience ya vitu kama hivyo), kwani ni mjasiriamali mkubwa sana tu...........ngojanimtafute aje hapa amwage shule.......

Ni mradi mzuri, je unaweza kuweka hapa hiyo business plan yako.....au waweza kuniPM ili kujua twaweza kujoin vipi nguvu..........
 
Salam,
Ata mimi nipo katika kuanzisha mradi huohuo,na kuna wachina wanajenga viwanda vya cassava starch production dunia nzima na sasa wanajenga kimoja cha 150 tonnes per day Eddo state Nigeria.

Wamenitumia full proposal ambayo ina bei na ata matumizi ya kiwanda kwa mwaka na mapato yake.

kuna uncle wangu amenipa mabenki ambayo yapo tayari kufund icho kiwanda nimetembelea Mkuranga kule kuna umoja wa walima miogo (mohogo Saccos) hawa na Uongozi wa Wilaya(serikali) wapo tayari kuwa wabia.so tayari kumbe kuna groud ya kuifanya project ipatiwe funds.

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe pia amekubali kusaidia na kutoa land ya kiwanda soko la unga wa muhogo ata apa Tanzania lipo kubwa tu, jua ya kuwa tomato paste,chill,cone za baresa na sausege azitengenezwi bila muhogo.

Let us meet and team up, tufanye pamoja mimi source ya funds ninazo.

But at this time nna other 4 projects nazifanya so hii ya kasava ningependa kuifanya na mtu
please let us meet
 
Jamani....hata mimi ni mjasiriamali katika fani ya kilimo....kwa sasa nina projevcts mbili za mpunga na vitunguu....proposals zake zimetulia na ni bankable....lakini tatizo kama kawaida ni security...hivyo kama kuna mdau tunaweza kuunganisha nguvu..hasa ktk suala la kutafuta fund sources na mengineyo......anakaribishwa.....nitashukuru
zamani
 
Jamani....hata mimi ni mjasiriamali katika fani ya kilimo....kwa sasa nina projevcts mbili za mpunga na vitunguu....proposals zake zimetulia na ni bankable....lakini tatizo kama kawaida ni security...hivyo kama kuna mdau tunaweza kuunganisha nguvu..hasa ktk suala la kutafuta fund sources na mengineyo......anakaribishwa.....nitashukuru
zamani

Proposal yako ni ya aina gani ya vituguu. Kuna vituguu vyeupe ndivyo vina bei nzuri soko la nje na hapa nchini pia. Vituguu hivi vinapendwa kwa sababu wakati wa kukata havitoi majimaji machungu yanayoumiza macho. Vinalimwa sana mikoa ya baridi ya Arusha na Kilimanjaro sielewi kwa maeneo ya joto kama vinastawi vizuri
 
Mkuu
watu wa Oxfarm wanatoa funds kwa projects kama yako. wameshafadhili na kuendeleza miradi kadhaa afrika hivyo usisite kuwatafuta.

mimi nina knowledge ya fairtrade ambapo kama ukitaka tuition na contacts usiogope kuwasiliana.
 
Hebu mPM Mkuu Malila........atakupa malezo mazuri (experience ya vitu kama hivyo), kwani ni mjasiriamali mkubwa sana tu...........ngojanimtafute aje hapa amwage shule.......

Ni mradi mzuri, je unaweza kuweka hapa hiyo business plan yako.....au waweza kuniPM ili kujua twaweza kujoin vipi nguvu..........

Cheki mail yako kwa draft mkuu!
 
Salam,
Ata mimi nipo katika kuanzisha mradi huohuo,na kuna wachina wanajenga viwanda vya cassava starch production dunia nzima na sasa wanajenga kimoja cha 150 tonnes per day Eddo state Nigeria.

Wamenitumia full proposal ambayo ina bei na ata matumizi ya kiwanda kwa mwaka na mapato yake.

kuna uncle wangu amenipa mabenki ambayo yapo tayari kufund icho kiwanda nimetembelea Mkuranga kule kuna umoja wa walima miogo (mohogo Saccos) hawa na Uongozi wa Wilaya(serikali) wapo tayari kuwa wabia.so tayari kumbe kuna groud ya kuifanya project ipatiwe funds.

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe pia amekubali kusaidia na kutoa land ya kiwanda soko la unga wa muhogo ata apa Tanzania lipo kubwa tu, jua ya kuwa tomato paste,chill,cone za baresa na sausege azitengenezwi bila muhogo.

Let us meet and team up, tufanye pamoja mimi source ya funds ninazo.

But at this time nna other 4 projects nazifanya so hii ya kasava ningependa kuifanya na mtu

please let us meet

cheki pm mkuu!
 
Benki kuu ina huduma ya Export Guarantee Scheme na kuna orodha ya mabenki ambayo yanashiriki kwenye mpango huu. Nadhani miradi yote ambayo wadau mmeitaja hapa mwaweza kupata hiyo guarantee.
 
Benki kuu ina huduma ya Export Guarantee Scheme na kuna orodha ya mabenki ambayo yanashiriki kwenye mpango huu. Nadhani miradi yote ambayo wadau mmeitaja hapa mwaweza kupata hiyo guarantee.

Mkuu Edo hiyo nafikiri ni ya kisiasa zaidi. Niliongea na maafisa wa NBC wakasema hiyo wenzio wanatumia kupatia maslahi yao kati ya miradi waliyopitasha haifiki hata 10% ilipewa guarantee. Akienda Mzindakaya atapata wengine mmh nq maamuzi yanaweza kuchukua hata miaka 2 hayajatolewa tena unaweza kupewa guarantee ya 40% tu. So unakuwa na wakat mgumu zaidi mkuu
 
I have been impressed by the idea of strenghten entrepreneurial tendency especially for graduates, as an intellectual i have also a project in the position to be funded. iko powa hiyo idea yako. Mimi ni entrepreneurial chemist nipo tayari kukusaidia so that we can move our country forward na kwa wale wengine wote wenye idea kama hizo please let contact with me via safariwafungo@yahoo.com
 
WanaJF mwenye mchango zaidi naomba asaidie kupanua mawazo yangu na wenzangu wanaojaribu kujiinua na hatimaye kuinua uchumi wetu jamani!

Nashukuru kwa wote ambao tayari wamechangia na wengine tumewasiliana zaidi na kushauriana.
 
WanaJF mwenye mchango zaidi naomba asaidie kupanua mawazo yangu na wenzangu wanaojaribu kujiinua na hatimaye kuinua uchumi wetu jamani!

Nashukuru kwa wote ambao tayari wamechangia na wengine tumewasiliana zaidi na kushauriana.

Mzuzu mimi pia ni mjasiriamali waweza kunipm and c how we can move forward together.I'm more than available for your idea which sounds fine nadhani.
 
It's a good project if funded.
Myself I have a plan to invest in social work. Proposal is ready seeking for fund.
I prefer to start it in Dodoma,the fast growing town.
 
Mzuzu,
Mkuu wangu nashukuru sana kwa jitihada zako ambazo sii rahisi kuzipata toka kwa vijana wetu wa Kitanzania. Hakika soko la mhogo lipo ila kuweza kupata mashirika ambayo yapo tayari kumwaga mtaji inakuwa kazi ngumu kidogo isipokuwa mimi nafahamu Foundation moja ambayo hujishughulisha zaidi ya kilimo hasa nchi maskini...Ila wao wamejikita ktk kilimo cha Kahawa kwa sababu mwanzilishi wa foundation hii ana own mashirika makubwa ya kahawa ikiwa ni pamoja na shirika la uuzaji na migahawa lijulikanalo kwa jina la Tim Hotons.

Jaribu kuwasiliana nao ila kama ingekuwa ni kahawa ningekwambia fanya kazi moja kubwa..kuwaunganisha wakulima wote wa Kahawa ktk eneno lako muunde chombo kimoja ambacho kitawakilisha mawazo ya wakulima wadogo wadogo halafu kwa kutumia jina la chombo hicho ndio wasiliana na viongozi wa Foundation hiyo..
Hata hivyo, jaribu huwezi jua, pia inawweza kuwasaidia wanabodi wengine ambao watakuwa interested. Inaitwa Hanns R. Neumann Stiftung Foundation.
 
Back
Top Bottom