Maseke ya Meme
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 695
- 914
Hes
Jamani....hata mimi ni mjasiriamali katika fani ya kilimo....kwa sasa nina projevcts mbili za mpunga na vitunguu....proposals zake zimetulia na ni bankable....lakini tatizo kama kawaida ni security...hivyo kama kuna mdau tunaweza kuunganisha nguvu..hasa ktk suala la kutafuta fund sources na mengineyo......anakaribishwa.....nitashukuru
zamani
Hebu mPM Mkuu Malila........atakupa malezo mazuri (experience ya vitu kama hivyo), kwani ni mjasiriamali mkubwa sana tu...........ngojanimtafute aje hapa amwage shule.......
Ni mradi mzuri, je unaweza kuweka hapa hiyo business plan yako.....au waweza kuniPM ili kujua twaweza kujoin vipi nguvu..........
Salam,
Ata mimi nipo katika kuanzisha mradi huohuo,na kuna wachina wanajenga viwanda vya cassava starch production dunia nzima na sasa wanajenga kimoja cha 150 tonnes per day Eddo state Nigeria.
Wamenitumia full proposal ambayo ina bei na ata matumizi ya kiwanda kwa mwaka na mapato yake.
kuna uncle wangu amenipa mabenki ambayo yapo tayari kufund icho kiwanda nimetembelea Mkuranga kule kuna umoja wa walima miogo (mohogo Saccos) hawa na Uongozi wa Wilaya(serikali) wapo tayari kuwa wabia.so tayari kumbe kuna groud ya kuifanya project ipatiwe funds.
Mkuu wa wilaya ya Kisarawe pia amekubali kusaidia na kutoa land ya kiwanda soko la unga wa muhogo ata apa Tanzania lipo kubwa tu, jua ya kuwa tomato paste,chill,cone za baresa na sausege azitengenezwi bila muhogo.
Let us meet and team up, tufanye pamoja mimi source ya funds ninazo.
But at this time nna other 4 projects nazifanya so hii ya kasava ningependa kuifanya na mtu
please let us meet
Benki kuu ina huduma ya Export Guarantee Scheme na kuna orodha ya mabenki ambayo yanashiriki kwenye mpango huu. Nadhani miradi yote ambayo wadau mmeitaja hapa mwaweza kupata hiyo guarantee.
WanaJF mwenye mchango zaidi naomba asaidie kupanua mawazo yangu na wenzangu wanaojaribu kujiinua na hatimaye kuinua uchumi wetu jamani!
Nashukuru kwa wote ambao tayari wamechangia na wengine tumewasiliana zaidi na kushauriana.
Mzuzu mimi pia ni mjasiriamali waweza kunipm and c how we can move forward together.I'm more than available for your idea which sounds fine nadhani.