Profile ya Kanumba... kaiandika mwenyewe

Hivi umeshawahi kwenda China, ukawaona jinsi wasivyo jua "kingreza" na wala haiwashughulishi?? What is Kingreza after all, si ni lugha tu kama lugha zingine ili mradi unamuelewa anamaanisha nini inatosha, labda kama anafungua darasa la "English Literature" ndo iwe ishu kimnyume cha hapa, Go Kanumba Go, tia pamba, songa mbele!
 
Hivi umeshawahi kwenda China, ukawaona jinsi wasivyo jua "kingreza" na wala haiwashughulishi?? What is Kingreza after all, si ni lugha tu kama lugha zingine ili mradi unamuelewa anamaanisha nini inatosha, labda kama anafungua darasa la "English Literature" ndo iwe ishu kimnyume cha hapa, Go Kanumba Go, tia pamba, songa mbele!

Kweli mkuu English is not our motherland language after all
 
Kweli Kanumba hajui kingereza hiyo msikatae,unajua hata katika website yake ameandika Biography kwa kutumia kingereza cha kutafsiri neno moja moja toka kwenye kiswahili kwenda kingereza.

Muundo wa kingereza na kiswahili haufanani na ukiangalia tu utagundua hayo makosa.Masikini hajui kutumia tenses,paragraph,wapi atumie nukta na wapi mkato pamoja na makosa mengi tu.

Msilaumu watu kwa kumkosoa Kanumba.Namshauri Kanumba awape watu wanaojua kingereza warekebishe habari zake kabla ya 'kuziposti' kwenye website yake.Yeye sasa ni kioo cha jamii kwa hivyo watu wanamuangalia kila nachokifanya.

Kwakuwa Kanumba amekuwa kioo cha jamii na mara nyingi anarekodi kwa kutumia kingereza namshauri asome English course pale British council ya miezi mitatu ili aweze kuandika na kuzungumza kingereza fasaha.

Kwa sasa Kanumba hajui kingereza,Huo ndio ukweli halisi.

David
 
Shughuli ipo.nadhani ni changamoto kwa kanumba.He should take it seriously!
 
Steven Charles Kanumba is my name, i was born in a Christian family of 2 girls and i happen to be the last born and the only boy to Mr. & Mrs. Charles Meshark Kanumba.
Mhh nataka tumsaidie kuandika na kurekebisha kwa lugha ya kiswahili:

Wasifu wa Steven Kanumba
Naitwa Steven Charles Kanumba, nilizaliwa tarehe 8 ya mwezi wa kwanza mwaka 1984. Ni mtoto wa mwisho kutoka katika familia ya kikristo ya Bwana na Bibi Charles Meshak Kanumba................................endelea Kanumba

Angalizo mdogo wangu kuna vitu muhimu vya kuweka kwenye wasifu wako usijeweka mwaka wa kutahiriwa kama umetahiriwa, mwaka wa kubalehe, au siku uliyong'oa jino la kwanza n.k.
 
nani kasema english ndo maendeleo au ujanja sana?kwanza ieleweke hii si lugha ya kwanza ya mtanzania je mzungu angeongea kiswahili kibovu tungemdhihaki?hakika tungefurahia! tuacheni ulimbukeni huu wa lugha.
 
Hapa ndipo watanzania tunapopata shida maana umaskini wetu ndo unatuponza,kingereza si lolote si chochote ingewezekana kanumba angeandika kiswahili kabisaa kwenye website yake atakayehitaji tafsiri ya hicho kiswahili awasiliane nae lakini kwa kuutafuta ugali wake inabidi aandike hiyohiyo anayojua ili hata WADHUNGU wasome japo kwa kupindapinda,nenda china au japan uone wala hawahitaji kujua kidhungu,kama unaingia dukani unahitaji nguo unamuonyesha kwa kidole maelewano yanafanyika kwa calculator au pen anakuandikia figure na wewe unamuandikia uliyonayo mpaka mnafikia muafaka unalipa anakupa unachohitaji.POLE KANUMBA
 
Tatizo hapa si Steven Charles Kanumba kutokujua Ki-English, wengi hatujuai, ndio kama walivyosema wengine English is not our mother tongue! Tatizo nilionalo hapa ni kwa nini anang'ang'ania kutumia lugha hiyo! Hao wachina tunaosema hawajui kiingereza kwenye profile zao ambazo zimelenga wasomaji wa kwao hutumia Kichina and it is not a big deal! na zile za kimataifa hutumia wakalimani!. Hata hivyo kwa kuelewa umuhimu wa kiingereza kimataifa, China sasa hivi ndio leading country kwa kupeleka wanafunzi kusoma vyuo vikuu UK, ikifuatiwa na France! ushauri kwa ndugu wane Kanumba hakuna aibu katika kujifunza si uende tu British Council ukasome au kama huwezi/hutaki muone Ras Simba, mbona Joti tulisikia anasoma pale! la kama hutaki kabisa nikukumbushe tu! IF YOU WANT PEOPLE TO UNDERSTAND YOU, THEN TALK THEIR LANGUAGE!
 
Mi naona sawa tu maadam ujumbe umefika. Sisi sio lugha yetu ya kuzaliwa jaribu kuongea na wachina au wakorea usikie!!
 
Mie hata simlaumu, ukizingatia lugha yenyewe ilikuja Tanganyika kwa mashua

Jamani tatizo hapa si yeye kutojua kidhungu, wote humu hatujui vizuri hiyo lugha lakini huwa tunaficha aibu yetu, kama Kanumba angeandika wasifu wake kwa lugha ya taifa nani angesema kitu humu??? Namshauri Kanumba kwa nguvu zote "ACHANA NA KINGEREZA SIO LUGHA YETU NA PIA HUIJUI"
 
baada ya watu kuibamba hii alifungo hiyo website yake faster.....kumkosoa kunamsaidia
 
Steven Charles Kanumba is my name, i was born in a Christian family of 2 girls and i happen to be the last born and the only boy to Mr. & Mrs. Charles Meshark Kanumba.
Mhh nataka tumsaidie kuandika na kurekebisha kwa lugha ya kiswahili:

Wasifu wa Steven Kanumba
Naitwa Steven Charles Kanumba, nilizaliwa tarehe 8 ya mwezi wa kwanza mwaka 1984. Ni mtoto wa mwisho kutoka katika familia ya kikristo ya Bwana na Bibi Charles Meshak Kanumba................................endelea Kanumba

Angalizo mdogo wangu kuna vitu muhimu vya kuweka kwenye wasifu wako usijeweka mwaka wa kutahiriwa kama umetahiriwa, mwaka wa kubalehe, au siku uliyong'oa jino la kwanza n.k.

hapo umenena mkuu.
Mi ninachoshangaa ni umri wake alioutaja hauendani kabisa na sura yake iliyosheheni ''...........''
 
Baada ya kuisoma hiyo Biography nimegundua vitu viwili:
1. Kanumba ni mbinafsi - sikuona haja ya yeye kujikunja na lugha ambayo hajaijua vizuri na kutundika dunia nzima wasome, angeweza kumtafuta rafiki yake anayejua vizuri na akamrekebishia
2. Labda hashauriki - pia inawezekana maana hii ishu ya lugha imemuangusha mara nyingi lakini haelekei kubadilika, mfano kule BBA IV na interviews nyingine anazozifanya
3. Anajiona yupo juu ya kila mtanzania - hili litamuangusha haraka sana, kwa supa staa kudumu kwenye media muda mrefu unatakiwa kuwa na timu ya wataalamu wanaokushauri jinsi ya ku-maintain kukubalika kwako kwa watu, hakumbuki akina Bishanga wako wapi sasa.
 
Steven Charles Kanumba is my name, i was born in a Christian family of 2 girls and i happen to be the last born and the only boy to Mr. & Mrs. Charles Meshark Kanumba.

I was given birth on january 8th 1984. I originate from Shinyanga region in Tanzania. I am Sukuma by Tribe. I completed my Primary Education in Bugoyi Primary School in Shinyanga. After completing my primary education i started my secondary education right away in Mwadui Seminary Secondary School in shinyanga where by i shifted to Dar-es-salaam Christian Seminary Secondary school here in Dar-es-salaam when i was still in form II and complete my O-Level Education there. Thereafter i moved to Jitegemee Sec. School to complete my A. Level Education.
Growing up, acting has always been something that i really liked to do. Apart from that i also liked singing and that made me grave to be an artist while i was still in teens, still in school ie. i started acting in church a lot of people told me i had a talent so i decided to join Kaole Sanaa Group which delt with Acting. After joining Kaole Sanaa Group i met different Teachers from Bagamoyo and other College who helped me to build up my career of Acting for a period of 1 year, after that i got a special Training from University of Dar es salaam Under Doctor Nyoni for about 3 months therefore i was sure to go to work and indulge myself in Soap Operas/Series. i then took acting as my career. Little by little i got to win peoples' attention which made me work even harder and become successful.

After all the hard work that i kept in series i decided to play a part in movies so i took a step forward and associate myself in film industry. i happen to do a lot of movies that did very well in the market and i'm still doing movies up today and it just get better day by day. in addition to this i archieved a lot through my hard work that is prestigious awards, travel across different countries, working with people from different part of the world meeting different people and learn new things and experiencing different life.

I also got to get to work with Nollywood in Nigeria where by i did more than five movies with famous actors from Nolllywood, it was the wonderfull experience. I also got a chance to Visit The United States of America and there is where i got the experience of a lifetime i got visit Hollywood, Warner Bros Pictures, Universal Studios and Disney Land, i learnt a lot i met people who work there so i got to ask alot of Quaestions and gained a lot of knowledge.


Speaking about me as Steven Kanumba i'm a very down to earthguy i like hanging out with my friends and i like to associates myself with people, i love children with all my life, i'm just a simple guy, i'm not outgoing a lot, i love going to movies and just be chilled out and relaxed places. I'm not married for the time being but i am in a commitment in the name of God i hope that one day we will get married.


I would like to end with my most sincerly appreciation, first and foremost i would like to thank God Almighty for giving and Blessing me a beautiful talent cause apart from acting being my Job, it also happen to be something i love doing and when i am at it i do it with passion.


I would also like to thank my whole family but special appreciation goes to the most beautiful woman in the whole world that happened to be my mother (I Love you Mom) would also like to thank Game 1st Quality Tanzania Limited and again special thank to my brother, my executive Producer and my Advicer Mr. Mtitu G. Game and His Wife. I Would like to thank all the Artist, Producers and Directors i have worked with. Also my special Thanks to my sister Sharifa Kalala in USA and Sanura Hussein in Denmark. Most Importantly, i would lastly like to thank all my fans from different part of the world, thank you all very much for supporting me, I LOVE YOU all and God bless you.


................................
Steven Kanumba.

Biography hii ni kwamujibu wa tovuti ya www.kanumba.com

Duh! Ndio maana alikuwa bubu alipotembelea Big Brother...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom