Hivi umeshawahi kwenda China, ukawaona jinsi wasivyo jua "kingreza" na wala haiwashughulishi?? What is Kingreza after all, si ni lugha tu kama lugha zingine ili mradi unamuelewa anamaanisha nini inatosha, labda kama anafungua darasa la "English Literature" ndo iwe ishu kimnyume cha hapa, Go Kanumba Go, tia pamba, songa mbele!