DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Mbunge Profesa Ngonyani aka Maji Malefu kafunguka kwa wabunge kuacha kuwatangazia jina baya waganga wa kienyeji baada ya kuwatumia kufanikisha ubunge wao,baada ya hapo uwachukulia vinginevyo.Wakati akisema hivyo sura za wabunge walio wengi walionekana dhahili kujua nini anamaanisha.
Naomba kuwasilisha ujumbe huu ni moja ya ujumbe muhimu sana kwa Taifa na hasa Wabunge wetu ambao wengi wetu wamekuwa wanafiki na kujifanya si washirika wa waganga wa kienyeji.
Nawsilisha.
Naomba kuwasilisha ujumbe huu ni moja ya ujumbe muhimu sana kwa Taifa na hasa Wabunge wetu ambao wengi wetu wamekuwa wanafiki na kujifanya si washirika wa waganga wa kienyeji.
Nawsilisha.