Kipanya square
Member
- Jun 7, 2015
- 77
- 16
Uyo mama ni mkweli na Rais akimshughulikia yeye, kina rugemalila, chenge na wale wote walo kula pesa za escrow, ndo moja ya majipu, leo kwa mara ya kwanza nme muunga mkono Prof.
Mafisadi ni zaidi ya wa escrow...