Yaani hapa ndio nawashangaa wana ccm ,Mama wa hela za mboga kasema ukweli badala ya kujiuliza kwanini kasema hivyo ,anapondwa yeye ,hela zilizobebwa sijui kwa sandarusi ni za kina nani ??
apo kuna ukweli gani wew nyumbu hawa kuanzia kina sefue , osea bandari kitila na wew unaona ni vijinyama au umevaa miwani ya mbao