Huyu mama mmh, hausiki vipi na ufisadi
Anahusika, huoni tu kauli yake. Lakini kuna nyama, mifupa na usaha. Yeye ni sehemu ya wale Zito alio waita makuwadi wa ufisadi. Mtandao ni JS, R, MK, Standard na wengine wengi wa aina hiyo. Prof yupo group moja na akina Kiti na wenzake.