Kwani matumizi ya open space hayaangukii katika masuala ya Public Good ambayo yanampa uwezo Rais kurevoke whatever right alizopewa mtu binafsi. Na kama siyo hivyo ni kwanini hatuna sheria ya kurevoke haki zote za watu binafsi katika viwanja ambavyo vilipangwa kwa matumizi ya umma na kubadilishwa. Wote tunajua kuwa hakuna mtu anayepata kiwanja kilichowahi kuwa kwa matumizi ya umma bila ya kuhonga, iwe madiwani ama mabwana ardhi wilayani ama hata makao makuu. Sasa kama suala ni uwezekano wa serikali kulipishwa fidia kutokana na uzembe wa watumishi wake na tamaa za hao waliomilikishwa, kuna ugumu gani wa kutunga sheria kuwezesha waziri kuwachukulia hatua na kurudisha maeneo haya kwa matumizi ya umma?
Very difficult to fight that war, the system is rotten from the core, therefore, to fight from the margins is ineffective!
Prof. Tibaijuka, nakuonea huruma sana. Ulishasema kama Rais akishaamua jambo hakuna kuliingilia according to KATIBA. Sasa Mama utaweza????????????Mbona maeneo mengi ni ya Waheshimiwa!!!!!!!!!!!!!! Utaweza???????????????????? Au ni nguvu ya soda tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!