Prof Sospeter Muhongo na ahadi ya megawati 5,000

Kishakarati miundo mbinu. Maana mwenzie alisema umeme umejaa hadi unamwagika tatizo ni miundo mbinu.
 
Kishakarati miundo mbinu? Maana mwenzie alisema umeme umejaa hadi unamwagika tatizo ni miundo mbinu.
 
Two possibilities: he will either change the system or the system will change him. Waliotangulia mfumo uliwabadilisha, ngoja tumsubiri na yeye

Mkuu Kitila umemsahau blaa blaa za prof mhongo? Ni kweli huwa anatimiza ahadi? ngoja awaingize 'mjini' msiomjua!
 
Total hydroelectric potential Tanzania 4,6 GW = 4600 MW. With all due respect Muheshimiwa labda atueleze jinsi he intends to generate five thao megawatts.

You say total hydroelectic potential is 4,6G

Ok factor in..............

Singida/Rift Valley wind potential
Geothermal potential ( The man is a geologist and knows the african rocks)
Coal (kiwila etc)
Natural gas (songo songo and beyond)

You will agree that put to work Tanzania can well exceed 5GW
 
MEGA WATI... MEGA WATI.... Ngeleja mwingine huyu... dawa yao ni 2015....
 
Kuzalisha wanaweza kudizalisha ila hapa tatizo ni kuzisafirisha na kuzisambaza. Hii issue ilishazungumziwa wakati walipodai kuwa China imetoa billion kwa ajili ya kuzaliza umeme. Inasemekana njia za sasa za kusambaza umeme hazina uwezo wa kusambaza kiasi kikubwa kama hicho cha umeme. Kujenga njia za usambazaji inachukua miaka kibao. Either itabidi waongeze uwezo (upgrade) wa zile grid zetu za sasa au wajenge mpya. Wote tunajua hilo zoezi huwa linachukua miaka mingapi kutokana na experience zetu za ujenzi wa zile grid za zamani. Nafikiri ni swa na kujenga barabara mpya. Sasa sijui kama muheshimiwa anaongea tu au kisha fanyia kazi yote mawili (uzalishaji na usambazaji).

Mr. Zero
Huyu mutu Kama ni mshaija ni sawa na Nizar Karamagi. Tangu JK alambishwe kale kadawa na Salva anaelekea ndiyo siko. Huyu ni Geologist hizo Megawatt 5000 ni ndoto ya mchana na Kama ni mtihani anadiwa maksi. Hajui A wala B ya umeme kuanzia kuzalisha mpaka Mwisho. Atazipata wapi na atapitisha wapi. This is another big failure right from the word go! Kwa umri alionao ni another national tragedy. Tunyoe vipara na kuweka tanga imekula kwenu do you know why? Kikwete ameshakuwa na Mawaziri watatu wa Nishati huyo Profesa ni wa nne. Tutarajie na wa tano before 2015. Nishati kuna vijimambos kuanzia TPDC , Tanesco na migodi we acha tu ni mama ya Ufisadi .
 
Nadhani wengi tunashangaa sababu tumezoea kuona insignificant levels of development tu.Kwa mtu ambaye ameamua kupunguza siasa na kuweka utendaji mbele,megawatts 5000 ni achievable target ingawa inaweza kuchukua muda kidogo.

Asilimia karibu 80% ya umeme wa china unatokana na makaa ya mawe..tuna hazina kubwa sana ya makaa kule kiwira na kwingineko,ambako hata coal power engineers wa kichina wameshafanya feasibility study ikaonekana reserve ya coal ni kubwa kiasi tunaweza kuuza umeme mwingi sana huko malawi na zambia,achilia mbali kusambaza mikoa ya karibu na mbeya..tatizo letu watanzania tumeweka ushabiki wa siasa mbele kiasi hatitazami facts tena..

Nakubaliana na wewe mkuu! Kimsingi tatizo la umeme Tz linatokana na ukosefu wa utashi toka viongozi wetu wa kisiasa kutaka kulimaliza, kwa sababu ya "conflicts of interests"!! wengi wao au watu wao wa karibu wana hisa ktk makampuni binafsi yanayoingia mikataba na Tanesco, na ili wapate tenda ni lazima waihujumu Tanesco kwanza!!! Swali ni je, huyu mheshimiwa waziri ana ubavu wa kukuta huu mzizi wa fitna????
 
Mimi nimesoma kuwa Prof alisema hivi:

“Ili watu waendelee n uchumi wa nchi ukue, umeme ni kitu muhimu sana. Uchumi wa nchi yetu kwa sasa tunapaswa kuwa na kiwango cha umeme siyo chini ya megawati 1, na tukitaka kuwa na matunda mazuri ya dira yetu ya maendeleo inabidi tuwe na umeme wa megawati zaidi ya 3,000”


“kwa muda mfupi kutokana na hali ilivyo, tutazalisha umeme wakwa haraka sana sio chini ya megawati 500 tutafanya mchanganyiko kwa kupitia vyanzo vikuu, makaa ya mawe,gesi, umeme na maji.”


Source: MTANZANIA MEI 8, 2012 UK 2. Mawaziri watamba kuchapa kazi.


Je alisema Megawati 5000 au 500 na zaidi ya yote ni wapi huyu profesa alitamka time framework au sisi ndio tunaunda zetu kwa makusudi ya kuogofya wananchi kupokea mabadiliko?


Tuweni macho na watu wanaotishia kuwa hatuwezi kubadilisha hali mbaya tuliyo nayo katika wizara zetu ikiwamo hii ya madini na nishati. Ninachokiona ni kuwa watu kama hawa wanaotutaka tuamini kuwa mabadiko hayawezekani ndio walioshika hatamu za kutuibia kwa kuwa wanasisitiza tulipe majenereta yao na kutotaka Tanesco kufanya kazi kwa ufanisi ili wao waendelee kupata faida wanayopata sasa. Mimi naungana na wengine kuwa tumpe nafasi huyu profesa tusikie kama yuko ytayari kupambana na wezi ndani ya wizara na wale walio nje ya wizara hii. Ni aibu ‘kumtungua’ anayeanza kuonyesha upiganaji kwa sisi kuwaunga mkono mafisadi wanaotusababishia hasara kubwa kila mwezi kwenye shirika la Tanesco na wasiopenda kuingiza ushindani katika ugawaji umeme umeme nchini) halafu eti tunasema kuwa ‘amejitungua’ mwenyewe mapema kisiasa!


Such extensively hyped misleads have no space at JF; such cyclical calculated moves of fraudsters of our economy have been tracked and their days are numbered!
 
"Prof Sospeter Muhongo na ahadi ya megawati 5,000" TRAILER ZA POROJO NDIO ZINAANZA TENA!!??. TAATHIMINI ISHAFANYIKA? NA KAMA IMESHAFANYIKA AMEOINA LINI? KUWA NA RESOURCES NI JAMBO MOJA, NA KUWA NA UWEZO WA MOBILIZE RESOURCES ZENYEWE NI JAMBO LINGINE AMBALO TUMELIKOSA KWA MIAKA HII 50 YA UHURU WA TANGANYIKA. SASA HII NI AHADI YA NADHARIA YA KITAALUMA AU NI UCHAMBUZI WA HALI HALISI YA KIUTEKELEZAJI. HIZI TRAILERS ZA POROJO TUMESHAZISIKIA NYINGI HATUAJAELEWA MSINGI YAKE MFANO KUFUFUA RELI, KUONDOA MFUMKO WA BEI, UDHIBITI WA MALI ASILI ZETU, MAGAMBA KUWAPELEKA MAWAZIRI WALIOACHWA PCCB/MAHAKAMANI (MFANO EPA NA RICHMOND ZILIWASHINDA SASA WHAT IS SO SPECIAL KWA HAWA WA SASA AU HAWANA MTANDAO NDANI YA MAGAMBA) N.K. WAMEKUJA NA INSTITUTIONAL FRAMEWORK MPYA AU NI HIZI ZILIZOPO. HAKUNA JIPYA. KINACHOHITAJIKA HAPA SI KUBADILISHA MTU ILA NI MFUMO. WATANZANIA TUFUMUE HUU MFUMO WA KIFISADI NA WAKULINDANA KWA KATIBA MPYA TUTAKAYOANDAA. TUNATAMBUA KUNA WENYE NIA NZURI NA WANACHOKISEMA KIUTEKELEZAJI LAKINI KITABAKI KUWA NI FIKIRA ZA NJOZI KWA MFUMO NI ULE ULE.
 
Tusianze kumpinga Prof Muhongo,
Lakini kuna madhara MKUBWA sana kuanza kuahidi wakati hujui kilichomo ndani.
Imenikumbusha wakati fulani,tuliletewa Mkuu mmoja baada ya aliyekuwepo kupata uhamisho.
Kikao cha kwanza kufanya na huyu boss mpya, aliomba kupewa/kuambiwa matatizo ya wafanyakazi wa chini.
Aliyopewa ni pamoja na kuchelewa kwa mishahara na kukatwa fedha zao kwa shughuli za ofisi.
Alisema hayo ni mambo madogo na anashangaa ni kwanini mtangulizi hakufanya.
Aliahidi kuyamaliza hayo ndani ya miezi miwili.
Lakini huu ni Mwaka wa nne na hali imekuwa mbaya kwa matatizo hayo kuliko ilivyo kuwa.
My take: Unapoingia kwenye ofisi mpya, usiahidi mambo ya kiutendaji yanayohusu ofisi bali ahidi kupitia,kusoma na kuelewa kwa undani majukumu na uwezo wa ofisi.
Baadae ahidi mambo unayoweza kutekeleza na kwa ufanisi.
 
Hivi mnadhani tatizo ni vyanzo..?
Hata Ngeleja alikuwa anavijua hivyo vyanzo vyote na ndo maana akawa anawaambia kuwa tatizo la umeme litakuwa historia.
Tatizo lililopo ni kugeuza hivyo vyanzo kuwa umeme. Hicho ndicho ambacho watangulizi wake walishindwa kukifanya.

Ili atuthibitishie kuwa yeye ni tofauti na waliomtangulia, anapaswa atueleze namna gani atabadilisha maji ya mto rufiji, makaa ya mawe ya kiwira na mchuchuma, upepo wa singida na same, joto la asililia la huko arusha mpakani na kenya, gesi asilia ya songosongo/mkuranga/mnazi bay kuwa umeme.

Suala la kujua vyanzo vya umeme tulivyonavyo na kiasi chake hata kijana wangu wa darasa la nne anaweza akaelezea kiufasaha kabisa.
 
Hii hapa chini ni excerpts kutoka gazeti la Mwananchi la leo likinukuu a very bold pledge kutoka kwa waziri mpya wa nishati na madini, prof sospeter muhongo.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alisema umeme ni kipaumbele muhimu kwake akisema sasa anashangaa kwa nini nchi haina megawati 1,500 za uhakika.

Alisema atahakikisha Watanzania wanapata umeme wa uhakika na kujitahidi kuwa na megawati zipatazo 5,000ambazo zitasaidia kukuza uchumi na kupunguza makali ya umeme kwa wananchi.


my take:

sote twajua kwamba there has been a lot of hype kuhusu uwezo wa prof muhongo. hii imepelekea watu wengi kuwa na expectations kubwa baada ya yeye kuchukua portfolio hii muhimu sana kiuchumi.

my only (and biggest) concern ni hili la yeye kutoa pledge ya 5,000 MW. this is massive, isn't it?

is this one of those unfortunate political outbursts or the guy really knows what's talking about? does he realise the odds stacked up against him and has therefore factored them into this massive pledge?

if it's a political outburst, then this extensively hyped professor has shot himself on the foot even before climbing an inch up his political career ladder!

Hivi tukiweza kupata umeme toka;

1. Bonde la mto Rufiji (ule mradi toka enzi za wajerumali.)
2. Makaa ya mawe ya Kiwira
3. Uranium ya huko Songea
4. Haya maji ya Mtera na Kidatu,
5. N.k

Hatujapata kweli megawati zaidi ya 5000? Labda Prof, haya ndiyo mawazo yake.
 
Hii hapa chini ni excerpts kutoka gazeti la Mwananchi la leo likinukuu a very bold pledge kutoka kwa waziri mpya wa nishati na madini, prof sospeter muhongo.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alisema umeme ni kipaumbele muhimu kwake akisema sasa anashangaa kwa nini nchi haina megawati 1,500 za uhakika.

Alisema atahakikisha Watanzania wanapata umeme wa uhakika na kujitahidi kuwa na megawati zipatazo 5,000ambazo zitasaidia kukuza uchumi na kupunguza makali ya umeme kwa wananchi.


my take:

sote twajua kwamba there has been a lot of hype kuhusu uwezo wa prof muhongo. hii imepelekea watu wengi kuwa na expectations kubwa baada ya yeye kuchukua portfolio hii muhimu sana kiuchumi.

my only (and biggest) concern ni hili la yeye kutoa pledge ya 5,000 MW. this is massive, isn't it?

is this one of those unfortunate political outbursts or the guy really knows what's talking about? does he realise the odds stacked up against him and has therefore factored them into this massive pledge?

if it's a political outburst, then this extensively hyped professor has shot himself on the foot even before climbing an inch up his political career ladder!

hivi hapa hoja yako ni nini?! Kwamba prof SM hana uwezo wa ku-deliver?! Au kuwa hapa Tanzania hakuna vyanzo vya nishati vinavyoweza kuzalisha MW5000. Umejuaje kama Prof binafsi hawezi?, vyanzo havipo?, mimi nadhani inahitaji akiri kidogo tu kuona kuwa vyanzo vya nishati vipo hata vya kuzalisha MW10000: tazama; makambako na singida pametajwa kuwa ni sehemu zenye upepo wingi zaidi kuliko sehemu nyingine yoyote katika afric south of sahara, Tanzania ina umbali mrefu zaidi wa bahari kuliko nchi zote za east africa, do you mind generating power from the sea?, vipi uwepo wa gesi na makaa ya mawe!, maporomoko je?. Najua utarudi kunijuza kwanini unafikiri ahadi ya prof haitekelezeki ama sivyo nitasema unachuki binafsi na prof.
 
hivi hapa hoja yako ni nini?! Kwamba prof SM hana uwezo wa ku-deliver?! Au kuwa hapa Tanzania hakuna vyanzo vya nishati vinavyoweza kuzalisha MW5000. Umejuaje kama Prof binafsi hawezi?, vyanzo havipo?, mimi nadhani inahitaji akiri kidogo tu kuona kuwa vyanzo vya nishati vipo hata vya kuzalisha MW10000: tazama; makambako na singida pametajwa kuwa ni sehemu zenye upepo wingi zaidi kuliko sehemu nyingine yoyote katika afric south of sahara, Tanzania ina umbali mrefu zaidi wa bahari kuliko nchi zote za east africa, do you mind generating power from the sea?, vipi uwepo wa gesi na makaa ya mawe!, maporomoko je?. Najua utarudi kunijuza kwanini unafikiri ahadi ya prof haitekelezeki ama sivyo nitasema unachuki binafsi na prof.

sina tatizo na potential iliyopo Tanzania. tatizo langu liko kwa watu kutoa pledges rather sweepingly just like our learned prof did.

flash your memory back to 2005 and then 2010......ahadi nyingi za JK hinged on the existing potential. but how much has he since gone about exploiting this potential?

so, my argument is... prof muhongo's bold pledge is a rushed one and misguided. there's a whole bunch of variables (social, political, ecomomical, bureaucratical, hypocritical, etc) out there ambazo ange-take time kidogo kuzi-digest kabla ya kukurupuka na ahadi (he's a professor, right?). siye wengine tumejichokea na ahadi....we have had too many of those already for heaven's sake!

so, questions are eventually bound to be asked of him (and unfortunately his credibility)should he fall short of living up to his pledges.
 
Nahisi hakutakuwa na jipya kama mwanzo tu ahadi zimeshaanza kutolewa wakati badra masoud kasema tanesco hakuna fedha pia miundombinu ni chakavu sasa waziri hajaanza hata kukagua makabrasha ya tanesco ameanza kutupa matumaini.
 
This is possible if we stop 85% of poorest in this country paying for 15% richest electricity bill.
 
[QUOTE

4. Sumaye alisema Netgroup Solution wakichukua TANESCO itakuwa mwisho wa mgao wa umeme

5. Sumaye alisema tukianza kuchimba gesi mgao utabaki historia

6. Lowasa alisema ili kuondoa mgao wa umeme inabidi tuagize mvua kutoka nje ya nchi

7. Lowasa alisema umeme wadharura utaondoa tatizo la umeme wakati tukisubiri mipango ya kudumu.

Naamini prof. siyo wale wale. ukiona wanakuzingua, chapa lapa rudi kushika marker pen.
 
Back
Top Bottom