Kikojozi
JF-Expert Member
- Mar 24, 2009
- 331
- 1
Kaulimbiu ni maneno tu. Kama yana busara tuyafanyie kazi. Kama hayana tuyapuuze tu.
Lakini kaulimbiu peke yake haiwezi kutuletea uhuru wa kweli na maendeleo. Wala kuiondoa CCM madarakani hakuta leta mabadiliko (Si Kenya waliiondoa KANU......). Kutimua mafisadi na kutaifisha mali zao sio solution ( Idd Amin alijaribu hili na matokeo tunayajua).
Uhuru wa kweli na maendeleo yatatoka kwa jasho, juhudi na akili za wananchi wenyewe. Haswa wale wananchi wa kawaida walio vijijini.
Lakini kaulimbiu peke yake haiwezi kutuletea uhuru wa kweli na maendeleo. Wala kuiondoa CCM madarakani hakuta leta mabadiliko (Si Kenya waliiondoa KANU......). Kutimua mafisadi na kutaifisha mali zao sio solution ( Idd Amin alijaribu hili na matokeo tunayajua).
Uhuru wa kweli na maendeleo yatatoka kwa jasho, juhudi na akili za wananchi wenyewe. Haswa wale wananchi wa kawaida walio vijijini.