Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
wewe(buchanan) ni mbaguzi na mdini mkubwa sana, hufai kuishi katika jamii ya watu waliostaarabika...... Ushindwe na ulegee!!!!...aamenhuyu prof issa g. Shivji anajifanya anatetea sana sera za mwalimu, huku akiwa mpinzani mkubwa sana wa muungano ambao nyerere aliupigania hadi mauti yake!
Juzi hapa amekuwa champion wa ku-inspire wazenj wamruhusu karume kuendelea na uongozi baada ya muda wake kwisha bila hata kujali katiba ya jamhuri ya muungano inasemaje! Amekuwa pia mtetezi wa uzanzibari dhidi ya bara au kwa kifupi, ubaguzi!
Soma vitabu vyake utaelewa ninasema nini! Amejifunika mwavuli eti kwamba anatetea mambo ya azimio la arusha, kumbe ni unafiki mtupu!