Prof. Muhongo aita waandishi wa habari leo

Status
Not open for further replies.
Tangu umeingia Wizara ya Nishati na Madini kero za mgao au kukatika mara kwa mara kwa umeme kumepungua sana.

Najua umechafuliwa kwasababu ulikuwa na malengo mazuri ya kuimarisha sekta ya nishati hususan umeme.

Nani asiyejua kwamba kuwepo kwa mgao wa umeme ulikuwa ni mpango wa watu wachache ambao walikuwa wakipiga dili zao?

Nani asiyejua kwamba harakati zilizokuwa zikiendeshwa dhidi yako hazikutokana na utendaji wako mbovu au kashfa yoyote ya ufisadi bali ni kwa sehemu kubwa ilitokana na kuwazibia mirija ya ulaji?

Nani asiyejua kwamba issue ya ESCROW wewe uliikuta tayari na kwamba hukuwa na mamlaka yoyote juu ya jambo hilo?Ila kwasababu imetokea wizarani kwako,maadui wako wakatumia mwanya huo kukumaliza.

Acha tumpate Waziri mpya wa Nishati na Madini lakini Watanzania tusianze kulalamika pale mgao wa umeme utakaporudi tena kwa nguvu mkubwa,Maana wote mliunga mkono Prof Muhongo kutimuliwa.

Watanzania na waafrika kwa ujumla ni wakati wa kubadirika kuamua kama wazungu wanavyoishi la sivyo suala la Maendeleo litakuwa ndoto. Kwa mzungu ukiharibu hawaangalii umefanya mema gani ila unawajibika kwa madoa yako basi . Kuharibu ni kuharibu haijalishi umefanya mangapi . Mnashuhudia makocha wa mpira wakati mwingine wanapigwa chini Hadi washabiki wanatamani kujitundika ila dhana inabaki pale pale
 
Watanzania na waafrika kwa ujumla ni wakati wa kubadirika kuamua kama wazungu wanavyoishi la sivyo suala la Maendeleo litakuwa ndoto. Kwa mzungu ukiharibu hawaangalii umefanya mema gani ila unawajibika kwa madoa yako basi . Kuharibu ni kuharibu haijalishi umefanya mangapi . Mnashuhudia makocha wa mpira wakati mwingine wanapigwa chini Hadi washabiki wanatamani kujitundika ila dhana inabaki pale pale

Tena wao wameenda mbali zaidi hawasubiri kusukumwa
 
Tangu umeingia Wizara ya Nishati na Madini kero za mgao au kukatika mara kwa mara kwa umeme kumepungua sana.

Najua umechafuliwa kwasababu ulikuwa na malengo mazuri ya kuimarisha sekta ya nishati hususan umeme.

Nani asiyejua kwamba kuwepo kwa mgao wa umeme ulikuwa ni mpango wa watu wachache ambao walikuwa wakipiga dili zao?

Nani asiyejua kwamba harakati zilizokuwa zikiendeshwa dhidi yako hazikutokana na utendaji wako mbovu au kashfa yoyote ya ufisadi bali ni kwa sehemu kubwa ilitokana na kuwazibia mirija ya ulaji?

Nani asiyejua kwamba issue ya ESCROW wewe uliikuta tayari na kwamba hukuwa na mamlaka yoyote juu ya jambo hilo?Ila kwasababu imetokea wizarani kwako,maadui wako wakatumia mwanya huo kukumaliza.

Acha tumpate Waziri mpya wa Nishati na Madini lakini Watanzania tusianze kulalamika pale mgao wa umeme utakaporudi tena kwa nguvu mkubwa,Maana wote mliunga mkono Prof Muhongo kutimuliwa.

Utamkumbuka wew aliyekupa huo mgawo wa escrow fisadi mkibwa wew
 
tangu umeingia wizara ya nishati na madini kero za mgao au kukatika mara kwa mara kwa umeme kumepungua sana.

Najua umechafuliwa kwasababu ulikuwa na malengo mazuri ya kuimarisha sekta ya nishati hususan umeme.

Nani asiyejua kwamba kuwepo kwa mgao wa umeme ulikuwa ni mpango wa watu wachache ambao walikuwa wakipiga dili zao?

Nani asiyejua kwamba harakati zilizokuwa zikiendeshwa dhidi yako hazikutokana na utendaji wako mbovu au kashfa yoyote ya ufisadi bali ni kwa sehemu kubwa ilitokana na kuwazibia mirija ya ulaji?

Nani asiyejua kwamba issue ya escrow wewe uliikuta tayari na kwamba hukuwa na mamlaka yoyote juu ya jambo hilo?ila kwasababu imetokea wizarani kwako,maadui wako wakatumia mwanya huo kukumaliza.

Acha tumpate waziri mpya wa nishati na madini lakini watanzania tusianze kulalamika pale mgao wa umeme utakaporudi tena kwa nguvu mkubwa,maana wote mliunga mkono prof muhongo kutimuliwa.

acha umbulula kafanya mazuri uku akitupiga pambafu majivuno yote ama saidia utapel wa wa ma b yetu nyonga kabisa
 
Tangu umeingia Wizara ya Nishati na Madini kero za mgao au kukatika mara kwa mara kwa umeme kumepungua sana.

Najua umechafuliwa kwasababu ulikuwa na malengo mazuri ya kuimarisha sekta ya nishati hususan umeme.

Nani asiyejua kwamba kuwepo kwa mgao wa umeme ulikuwa ni mpango wa watu wachache ambao walikuwa wakipiga dili zao?

Nani asiyejua kwamba harakati zilizokuwa zikiendeshwa dhidi yako hazikutokana na utendaji wako mbovu au kashfa yoyote ya ufisadi bali ni kwa sehemu kubwa ilitokana na kuwazibia mirija ya ulaji?

Nani asiyejua kwamba issue ya ESCROW wewe uliikuta tayari na kwamba hukuwa na mamlaka yoyote juu ya jambo hilo?Ila kwasababu imetokea wizarani kwako,maadui wako wakatumia mwanya huo kukumaliza.

Acha tumpate Waziri mpya wa Nishati na Madini lakini Watanzania tusianze kulalamika pale mgao wa umeme utakaporudi tena kwa nguvu mkubwa,Maana wote mliunga mkono Prof Muhongo kutimuliwa.

Mkuu naona ulikuwa unaandika obituary ya Muhongo in advance!!
 
R.I.P muhongo watu wa mtwara tutakukumbuka sana na tunazidi kukuombea mabaya na Mungu akupe adhabu inayostahili maishani mwako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom