Nakwambia hawana lolote hao maprofesa wa kibongo. Kazi kunywa pombe na kula kiti moto Udasa bar na bar zingine huko uraiani. Hawafanyi tafiti zozote zile za maana na zenye manufaa kwa taifa na wananchi wake. Yaani hao maprofesa ni zero, nada, zilch!!!!
If you bring anything here without a source,i consider it as a dream or a gossip mkuu!
Toa habari,mwaga source ya habari then tugonge thanks kibao hapo juu otherwise hata mimi naweza kusema kesho mukandara anajiunga chadema au cuf mtaniamini???
Msomi ame publish nini ?
Ulichosema hapo juu kinajumuisha maprofesa hawa ambao huku nyuma ulikiri kuwakubali: Kaijage na Kimambo?
Na hawa je:
Academic Staff - Department of Economics
?
huyu msomi mwenye uwezo wa kumwaga cheche jiandaeni kumpokea kwa kishndo kuja kwa wana Chadema
Kapotea njia
Halafu huyu jamaa yupo kama chizi pamoja na uprof wake
Na kanifundisha DS pale Mlimani
Ni halali kwake kwenda huko ila akubaliane kuoa au kozesha ili awe na kasifa cha undugu ndiyo ataendelea vyema
Chagua....
b : to make public announcement of 2
a : to disseminate to the public b : to produce or release for distribution; specifically : print 2c c : to issue the work of (an authorintransitive verb
1
: to put out an edition
2
: to have one's work accepted for publication
huyu msomi mwenye uwezo wa kumwaga cheche jiandaeni kumpokea kwa kishndo kuja kwa wana Chadema
Msomi ame publish nini ?
=======
Source please. Nani kasema Kikwete hanywi pombe? Au ulimaanisha "hanyi" pombe?!
Au pombe ukizinywea sehemu nyingine isiyo bar zinabadilika na kutokuwa pombe?
Msomi ame publish nini ?
Angalizo: Azaveli bado ni Dakta sio Profesa na pia hafungamani na chama chochote cha siasa.