Prof Lipumba aenda World Bank

It's an undisputable fact kuwa nchi hii has got hundreds of wasomi katika level ya prof Lipumba (or thereabouts) ambao system imewa-push into the background.
Lipumba is just one tip on the icerberg.

Our new constitution must spell out some enforceable mechanism ya kuhakikisha resources za aina hii zinakuwa tapped.
This is what quickly comes into mind....data-base ya wasomi hawa inakuwa managed and maintained na serikali, wanapewa measurable targets, wanapimwa, wanachujwa na kuendelea kuwa motivated.

Wazo lako zuri mkuu ila Tanzania bado haijafikia viwango vya nchi zilizokwishakuendelea. Labda wakati unashauri hivyo hivyo pia ungeliwashauri wawe wanakubali kukosolewa. Kwani wapishi wengi hawawezi kuwa na aina moja ya mapishi. Tanzania wasomi wanaokosoa serikali huonekana maadui na watu wabaya na vile vile wapinzani wa chama tawala.

Wiki iliyopita Waziri wa fedha wa Uingereza alikosolewa na kundi la maprofessa 50 kutoka vyuo mbali mbali nchini humo walipoandika barua Financial Times kuikosoa serikali kuhusiana na mtazamo wao kubana matumizi kwa haraka sana kwani unaathiri uchumi wa nchi yao. Maprofessa hao 50 baadhi yao ni washauri wa wizara mbali mbali nchini humo lakini wamemkosoa waziri wa fedha na bajeti yake. Wiki iliyopita pia maprofessa wapatao kumi wamemshauri Waziri mkuu wa Ujerumani Angela Merkel ajitoe EU wakati waziri mkuu hataki na wala hataki kusikia. Je wako tayari kukosolewa wakajirekebisha kwani watu kama akina Lipumba au Baregu ni wasomi na hawawezi kukaa kimya wakiona mambo yanaharibika.
 
Wazo lako zuri mkuu ila Tanzania bado haijafikia viwango vya nchi zilizokwishakuendelea. Labda wakati unashauri hivyo hivyo pia ungeliwashauri wawe wanakubali kukosolewa. Kwani wapishi wengi hawawezi kuwa na aina moja ya mapishi. Tanzania wasomi wanaokosoa serikali huonekana maadui na watu wabaya na vile vile wapinzani wa chama tawala.

Wiki iliyopita Waziri wa fedha wa Uingereza alikosolewa na kundi la maprofessa 50 kutoka vyuo mbali mbali nchini humo walipoandika barua Financial Times kuikosoa serikali kuhusiana na mtazamo wao kubana matumizi kwa haraka sana kwani unaathiri uchumi wa nchi yao. Maprofessa hao 50 baadhi yao ni washauri wa wizara mbali mbali nchini humo lakini wamemkosoa waziri wa fedha na bajeti yake. Wiki iliyopita pia maprofessa wapatao kumi wamemshauri Waziri mkuu wa Ujerumani Angela Merkel ajitoe EU wakati waziri mkuu hataki na wala hataki kusikia. Je wako tayari kukosolewa wakajirekebisha kwani watu kama akina Lipumba au Baregu ni wasomi na hawawezi kukaa kimya wakiona mambo yanaharibika.

Mdondoaji, nakubaliana na wewe kwa 110%.
However, cha msingi at this stage tuwe positive. Mtoto huwa anaanza kukaa, then kutambaa, kisha kusimama na eventually kutembea.
Nadhani kwa kuanzia tukiwa na ka-instrument fulani ka aina hii ndani ya constitution yetu mpya, itakuwa ni very significant step.

Honestly, kusingekuwa na hii current wind & window ya kuandikwa katiba mpya, wala hata hamu ya kutoa aina hii ya maoni (kwa katiba hii tuliyo nayo na aina hii ya viongozi tulio nao sasa) nisingekuwa nayo!
 
Jamani, mnaijua World Bank vizuri lakini? Mnajua wana opaque agenda gani kuhusu Africa?
 
Ameshatoa ushauri gani hapa Tanzania? Nini ambacho ameshafanyia nchi yake ili tumkumbuke kama mchumi?
Kama huna kumbukumbu nzuri ni kwamba aliwahi kuwa mshauri wa uchumi wa Rais Mwinyi. Japo kuwa mshauri hakukufanyi ushauri wako kufanyiwa kazi. Kule ambako wameufanyia kazi wameona matunda yake na wanamkubali. Rais Kagame aliwahi kumtumia na Rwanda leo hii imeshatuwashi indicator za hazard ikituacha. Tanzania tuna watu wenye vipai wengi sana ila hawatumiwi kwa sababu malengo ya viongozi si masilahi ya Taifa bali masilahi binafsi.
 
mimi sijawahi kuskia rais profesa duniani<br />
<br />

hata mmoja sijawahi kuskia<br />
<br />
<img src="http://angelstarcreations.com/special/dogs_speak/thirsty.jpg" border="0" alt="" />
<br />
<br />



Barack Obama alikua Associate Professor wa sheria. Ny kuna kitu inabidi tulinganishe kdg,lipumba ni mchumi sawa sawa na kikwete,hv unaweza kuwalinganisha hawa watu wawili?kikwete kama si siasa na ujanja ujanja nauhakika hata kazi ya ukatibu kata asingepata!
 
Hongera Professor. Nilikuwa naongea na wachumi UDSM walisema Lipumba ni kichwa sana. Huyu jamaa, japo sikubali na itikadi za chama chake kwa sasa, huwa nahisi anakauzalendo fulani
 
Hongera Professor. Nilikuwa naongea na wachumi UDSM walisema Lipumba ni kichwa sana. Huyu jamaa, japo sikubali na itikadi za chama chake kwa sasa, huwa nahisi anakauzalendo fulani
Lipumba ni kichwa sana. JK angekuwa na akili angemfanya kuwa Treasury secretary wake. Lakini JK yuko radhi amweke kilaza Nkullo kuliko genius Lipumba
 
Ameshatoa ushauri gani hapa Tanzania? Nini ambacho ameshafanyia nchi yake ili tumkumbuke kama mchumi?

uwe unasoma maandiko ya wenzako kabla ya kukurupuka na kuandika upupu wako hapa ***** we! huo ushauri autoe kwa nani wakati CCM haimtumii kama mtaalam? kha!
 
Tunakuamini prof lipumba, watanzania bado tumelala hatujui umuhimu wako nenda kafanye kazi wezetu wanajua umuhimu wako
 
Ameshatoa ushauri gani hapa Tanzania? Nini ambacho ameshafanyia nchi yake ili tumkumbuke kama mchumi?

Alikuwa mshauri wa Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi na ni wakati huo mfumo wa soko huria ulipoanza na kuondoa kabisa foleni ya bidhaa hadimu kama sabuni, sukari, bia nk.
 
Hongera zake, jana nilikuwa nae hapa Dar mchana kwa maongezi mafupi.
Tupeperushie bendera yetu vema huko ughaibuni mzee.

Kwa nini ughaibuni,ina maana sisi hatumwitaji kwa ushauri,,miafrika ovyo kwelikweli
 
Kama ni kichwa hivi kwa nini akiwa CUF anaonekana ni mtumishi wa ndani wa Maalim Seif?
 
Ukitoa itikadi za kisiasa Prof. Lipumba kichwa, kama kuna watu hawakubaliani nae hayo ni masuala ya kibinadam. Lakini mwisho wa siku huyu jamaa ataendelea kuwasaidia World Bank na IMF kwenye masuala ya kiuchumi. Sisi tutaendelea na wachumi wetu kina Mkulo na kuwapa heshima kina Prof. Majimarefu, Makamba, John Komba
 
Prof Ibrahim .H. Lipumba amerejea kutoka igunga ambapo alikuwa anamfanyia kampeni na kumnadi mgombea wa chake cha CUF ambapo amemaliza siku zake za kampeni alizopangiwa na chama na anatarajiwa kuondoka wakati wowote kuanzia Leo kuelekea uswissi ambapo ameitwa na kupewa mkataba wa mwaka mmoja na nusu kama mshauri wa uchumi. watanzani tunakutakia kazi njema.
<br />
<br />
CCM Mbaki na chuki zenu,wenzenu wanamtumia Lipumba hamjui kuwa yeye ni hazina kwa sababu mna nguvu za giza pepo wa kubwa nyie
 
Huyu jamaa ni Kichwa...Rwanda walishawahi kumtua kama mhsauri wa uchumi.... angalia sasa walipo, Tanzania pamoja na madini, mbuga za Wanyama, mito na maziwa hata hatunusi..... kweli tumelaaniwa!!!
 
Lipumba alikuwa mshauri wa uchumi katika awamu ya pili ya mzee ruksa. Mabadiliko mengi yaliyotokea kipindi cha Ruksa kuhusu uchumi kama ni kushindwa au kufanikiwa basi lipumba alikuwa amechangia.

Hongera Pro.Lipumba ;
Kumbe ndo wewe ulokuwa unamshauri mambo ya uchumi Mzee Ruksa?

Safi sana, peperusha bendera ya taifa ili wasomi wetu wanaokosa ajira nchini wapate ulaji huko (maana hapa kwetu ajira nyingi zinapatikana kwa rushwa, undugunization, na kujuana)..
 
Back
Top Bottom