Babyloni
Senior Member
- Dec 17, 2020
- 194
- 522
Taifa letu limejaliwa kuwa na wabobezi wengi katika nyanja mbali mbali kama siasa, uchumi n.k.
Nikiri kuwa siasa za nchi hii zinawaharibu wataalamu wetu wengi kwa ambao tumebahatika kumfahamu prof Kabudi kabla ya kuingia katika siasa za CCM watakubaliana na mimi kuwa huyu prof ni smart sana na anaweza kulisaidia taifa letu katika mambo kadha wa kadha ya kisheria.
Ombi langu kwako prof Kabudi na wana taaluma wengine tumieni taaluma zenu kulisaidia taifa letu kwa ujumla na sio kwa manufaa ya kikundi cha watu
Nikiri kuwa siasa za nchi hii zinawaharibu wataalamu wetu wengi kwa ambao tumebahatika kumfahamu prof Kabudi kabla ya kuingia katika siasa za CCM watakubaliana na mimi kuwa huyu prof ni smart sana na anaweza kulisaidia taifa letu katika mambo kadha wa kadha ya kisheria.
Ombi langu kwako prof Kabudi na wana taaluma wengine tumieni taaluma zenu kulisaidia taifa letu kwa ujumla na sio kwa manufaa ya kikundi cha watu