Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,445
- 4,238
Sasa huyu bingwa wa jalalani anazidi kujipaka masizi usoni
Kwa hiyo anatudhihirishia kwamba yeye ana undugu na Saa100?Hatimaye Prof. kawa multi-sectoral.... kutoka kuwa mwanasheria nasasa ni mwanahistoria.Leo yeye ni wa Singida,na vilevile kaongelea hadi Oman,hakika anaona mbali huyu.
Interesting. Oman inazidi kusogezwa nyumbani.Prof Kabudi amesema yeye asili yake ni mkoa wa Singida ambao kiasili una makabila makubwa mawili yaani Wagogo na Wanyaturu waliotokea Ethiopia
Kabudi amesema kabla ya Uhuru Biashara kuu zililofanyika Singida ni Biashara ya Watumwa na Pembe za Ndovu Ndio sababu Singida na Bagamoyo wanaelewa a sana
Kadhalika Kilimatinde ya Singida ipo Unguja na Pemba na ukienda Oman utawakuta Wanyaturu waliotokea Singida, amesisitiza Profesa
Pia Azimio la Arusha liliandikiwa Singida na Mkuu wa Wilaya wa kwanza mwafrika Wakati wa Mkoloni alitokea Singida
Prof Kabudi amesema kiasili Wanawake wa Singida ni majasiri kuliko Wanaume na Brigedia wa kwanza mwanamke ambaye pia alipigana Vita ya Kagera anatokea Singida
Mlale Unono 😃😃
Vururu vururu tanganyika. Ukistasjabu ya Mussa, utayaona ya KIBUDU.Prof Kabudi amesema yeye asili yake ni mkoa wa Singida ambao kiasili una makabila makubwa mawili yaani Wagogo na Wanyaturu waliotokea Ethiopia
Kabudi amesema kabla ya Uhuru Biashara kuu zililofanyika Singida ni Biashara ya Watumwa na Pembe za Ndovu Ndio sababu Singida na Bagamoyo wanaelewa a sana
Kadhalika Kilimatinde ya Singida ipo Unguja na Pemba na ukienda Oman utawakuta Wanyaturu waliotokea Singida, amesisitiza Profesa
Pia Azimio la Arusha liliandikiwa Singida na Mkuu wa Wilaya wa kwanza mwafrika Wakati wa Mkoloni alitokea Singida
Prof Kabudi amesema kiasili Wanawake wa Singida ni majasiri kuliko Wanaume na Brigedia wa kwanza mwanamke ambaye pia alipigana Vita ya Kagera anatokea Singida
Mlale Unono 😃😃
Kweli, huenda hata wale wajomba kuna mmoja ni wa singidaHatimaye Prof. kawa multi-sectoral.... kutoka kuwa mwanasheria nasasa ni mwanahistoria.Leo yeye ni wa Singida,na vilevile kaongelea hadi .
Wagogo pia wapo Manyoni !Acha kukariri
Manyoni iko mkoa gani?
Tena sanaKwahio Prof katudanganya
Prof yuko sahihi kabisa!Tena sana
Profesa mpumbavu kuwahi kutokea.Prof yuko sahihi kabisa!
Aende hata hivyo hana tija yoyoteKilosa anawatosa ubunge anahamia Singida sasa
Siyo kweli. Mramba alikuwa kwenye Waziri kwa miaka ya Nyerere kama 10, then Mkuu wa Mkoa Mbeya wakati wa Mwinyi. Akarudi wakati wa Mkapa kuwa Waziri tena na miaka hiyo 2 ya kipindi cha KikweteMramba miaka 2 alitenda maajabu Rombo
Barabara gani Mbeya iliwekwa lami kwa sababu ya Sugu? Yaani unaanzisha uwongo tu alimradi ujenge umaarufu wa SuguUsimtetee, wako huko serikalini miaka yote, wanajishibisha wao tuu.
Pale mbeya wakati sugu ni mbunge hadi njia za mtaani ziliwekwa lami.
Kule kwetu enzi za bazil mramba barabara hadi rombo iliwekwa lami.
Singida bado iko nyuma.
Miaka 2 ya Watu kula nyasi ndipo alipofanya yake Rombo na baadae Jela ikamuhusu!Siyo kweli. Mramba alikuwa kwenye Waziri kwa miaka ya Nyerere kama 10, then Mkuu wa Mkoa Mbeya wakati wa Mwinyi. Akarudi wakati wa Mkapa kuwa Waziri tena na miaka hiyo 2 ya kipindi cha Kikwete
Kwahiyo leo anakuja na gia nyingine kwamba yeye naye ni Muhabeshi!!! Huyu mzee kwa sound hajamboProf Kabudi amesema yeye asili yake ni mkoa wa Singida ambao kiasili una makabila makubwa mawili yaani Wagogo na Wanyaturu waliotokea Ethiopia
Ndio hapo mtaalam.GALILEO GALILEI alikua mult talented.why prof kabud asiwe mwana historia? Enz zetu necta 1976 tunapiga experment ya pendulum bob. Maprof weng walikua mult talented tena hawa wa middle east elimu zao ndio zimekwenda mbali sana wakina AVICCENA( ibn Sinna) vitabu vyake ndio vinatumika kutibia.soma kitabu the book of wisdom,ghayatul hakam, Maslama ibn Ahmad al-Majriti (an Andalusian mathematician) nenda soma picatrix uone shughuli ,a maprof wa enzi hizoHayo majina naomba uwe unayaandika kwa kuanza na herufi kubwa, au ikiwezekana, uwe unayaandka kwa herufii kubwa tu.
Huwa kila nikiyaosoma nywele zangu zinasisimka
Mwaka aliokufa Galileo Galilei, ndiyo mwaka aliozaliwa Isaac Newton, Sayansi ikawa imesogea kidogo kutoka Italy kwenda Uingereza
Mwaka 1976 wewe unataitafuta kwenye maabara, "g" ya mahali pale ulipokuwa unasoma?Ndio hapo mtaalam.GALILEO GALILEI alikua mult talented.why prof kabud asiwe mwana historia? Enz zetu necta 1976 tunapiga experment ya pendulum bob. Maprof weng walikua mult talented tena hawa wa middle east elimu zao ndio zimekwenda mbali sana wakina AVICCENA( ibn Sinna) vitabu vyake ndio vinatumika kutibia.soma kitabu the book of wisdom,ghayatul hakam, Maslama ibn Ahmad al-Majriti (an Andalusian mathematician) nenda soma picatrix uone shughuli ,a maprof wa enzi hizo
Kabudi anaufurahia utumwa.Katafuta connection yake na Rais kaipatia kwenye utumwa. Such a meat head. Hatuna scholars wa maana nchi hii. Huwezi kusikia Mmarekani Mweusi anaongelea utumwa unless anauchana na kuulaani.