Prof. Baregu aeleza kwanini hakutumia Biblia kuapa

Na ndio maana mwisho wa yote huaibika kwa laana! Unajua vile ni vitabu vitakatifu, kuapa kwa kuvinyanyua juu tena ukitamka "Ee Mwenyezi Mungu unisaidie" wakati mara baada ya kuvishusha chini unasahau na unatenda mambo kana kwamba hata yule aliyekuteua yuko likizo, matokeo yake ni AIBU kwa MADHAMBI unayokuwa umeyatenda! Tena nyingi ya nafasi za kuapa ni za Siasa, ambayo maana yake hasa ni "SI HASA". Sasa ya nini kutumia vitabu vya Mungu huku ukijua kuwa unachoenda kukifanya ni tofauti na kinyume na mapenzi ya Mungu? Ndio maana Baregu anajua hata kinachoenda kutendeka kwenye hiyo Tume ni USANII mtupu, Ndivyo Sivyo, na utapeli na hadaa kwa Umma. Kunyanyua vitabu vitakatifu ktk mizaha kama hii ni kukaribisha GHADHABU ya Mwenyezi Mungu!
 
J.K. Nyerere aliwahi kusema mkristu tutamuapisha kwa biblia, muisilamu kwa kuran, na asiye na dini tutatafuta utaratibu wa kumuapisha. Je, Baregu alitoa taarifa mapema pale magogoni ili atafutiwe utaratibu?
 
he believes in one God? how about those gods he is talking about, does he also believe in them? au anataka watu wasi abandorn wapotee yeye anabelieve in 1 God!!
 
Lakini ile kushika vitabu vya dini watu wanachukulia mzaha mzaha sana , wangejua uzito wake kwa kweli wasingekuwa wanashika pale.
 
Huyu dingi anashangaza sana ni wazi kwamba CHADEMA walishinda kwa sababu wana MUNGU na CCM wana FEDHA iweje tu baada ya Uchaguzi baregu anamkataa Mungu aliyeipa CDM ushindi Arumeru? Falsafa yake ya kipagani abaki nayo humo humo ila akija Arusha ambako watu wengi wanamheshimu Mungu hatapata support ya upagani wake. kam siyo mnafiki na wakutaka kumfurahisha Devil basi angekuja na kitabu cha hiyo dini yake ili tujue anachokiamini. Lazima at some point binadamu walikuwa wanaamini kitu, iwe miti, mawe n.k. kama ana ujasiri angeleta hata jiwe au kipande cha mti basi tujue anaamini nini?. kwa hili prof. anaonekana kuyumba simpi support hata kidogo na CDM katu msiendekeze hii imani ikataeni kwani ni KWA SABABU YA KUMTUMAINI MUNGU MMEFIKA HAPO MLIPOFIKA. Mkikosea kumfuatisha Baregu mtatetereka within no time. Lets keep our faith on God tuache ujinga.
 
Prof.Baregu is very intelligent.

Kama tunasema kwenye Katiba kuwa SERIKALI HAINA DINI kwanini mtu aape kwa kutumia BIBLIA au KURUANI?

Naona jamaa ametumia hekima kubwa sana kutoapa kwa kutumia Vitabu vya dini. Hiki ndicho kilichoanza kutusumbua kwa sasa. Mara oh siji wakristo ni wengi kwenye serikali kuliko waislamu mara oh,Waislamu ni wengi sana kwenye Tume ya Katiba kuliko Wakristo!! Udini udini udini kila kitu sasa ni mtazamo wa kidini. Afadhali watu kweli wasiape kwa Vitabu vyao vya DINI maana vinaleta harufu ya udini.

Kuna haja ya kuanzisha utaratibu wa Watu kuapa kwa KATIBA YA NCHI ambayo ndiyo wanaapa kuilinda!
 
Hata Kikwere pia ni lugha tu unaweza ukaeleweka ukitumia kuchangia; sio hii ya wageni ambayo hata wenyewe watashindwa kuelewa unamaanisha nini hapa!

Mkuu umenivunja mbavu! Nimecheka sana. Ulichosema ni kweli kabisa. Me nilirudia mara mbili kilichoandikwa na jamaa lakini sikuambua. Lugha za wenyewe tuwaachie wenyewe!
 
I admire a lot this great Prof..he's pretty smart. Why are we so obsessed by western denomination? remember we are Africans, just think of Indians, why they don't cling to western beliefs? Simply ask Africans who happened to visit Europe and live there for sometime. You'll get to know how those guys out there treat religion be Christianity, muslim and the rest. I think you'll be amazed by asking a lot of questions like, why are we so radical in these inherited faiths while those who brought them to us don't even bother?

There's a friend of mine residing in Norway one day he was narrating to me that when you go to church there even once you won't dare to do it again if you are spiritualy alive because you'll be totally disappointed. There in church on sundays worshipers are served with chocolates, drinks, talking nice and enthiustiatic storries and so forth. Pastors are not allowed to scare people that if they offend once dead will be sent to hell and punished. It's a criminal offence for a reverend to speak that in public. In simple words people there has meagre belief on God because they've got money and everything which they don't see any need of praying for help from God like how the Africans do due to poverty. They says they work hard and get money from their own toil, so they don't see any help from God.

Now these people of the very nature comes to us and behaving differently from what they do back in Europe. You know we need to be curious sometimes and we'll get to know many things not known to us. One might see the Prof as crazy if do not think big to understand what's it all about.
 
religion is not an issue; what we need is a bright person to lead us in getting a reasonable constitution
 
Ni unafiki na uzandiki kwa viongozi wengi wa serikali, kuapa kwa kutumia BIBLIA au QURAN, halafu baadae tunashuhudia haohao ndio vinara wa ubadhilifu wa aina yoyote ile. Hapa simaanishi napinga matumizi BIBLIA na QURAN kwenye viapo vya vya uongozi, Big up Prof. Baregu.
 
Kuapa kwa biblia au msaafu wa ki islam ni "imani" ya mtu na akikiuka adhabu yake ataipata mbinguni,sasa kama kunamtu kaapa kwa "kitabu chake" basi asisema wenzake ni wanafki kwani atakuwa anatoa hukumu ktk "imani za watu" jambo ambolo sio sahii ktk imani labda ktk siasa "political arena"...
 
na muunga mkono Prof Baregu naweza sema nchi nyingi zilizo na misimamo ya dini ndio zinaongoza kwa maasi lakini kwa mfano nchi kama china hakuna dini hawana mawazo ya kugombana wana heshimia kila mmoja tuende kwenye nchi zilizo na dini kama USA ni aibu kila wakati wanawaza kwenda kupigana, kua kwao si jambo la kutisha utu ndio basi kabisa kuoana kwa jinsi zinazofanana nikama kawa. uarabuni ndio usiseme kama mtu anaamini akujitoa mahanga unafiaka ahera si niaibu.
 
Sidhani kama umeelewa kilichoizungumzwa na prof. Baregu. Kasema anaamini mungu yupo ila siyo uislam wala ukristo. Umemtaka alete kile anachokiamini, je kati ya waliapa wamewahileta kipande cha wanachoamini zaidi ya bibilia na qoran ambavyoa ni mwongozo tu wa imani. Je wanaamini hivyo au mungu. Mwacheni mzee na imani yake. Na ili ujue kuwa mungu yupo kila mahali na kila kabila uliza wao mungu kwa lugha zao anaitwaje. Je hayo majinau ya mungu kwenye makabila yaliletwa na waeneza ukristo na uislamu
 
Back
Top Bottom