Ahaaa ahaaaa ahaaa mzee hapo ukiishatupiwa mguu wa kuku ujue ni DO or DIE.ukifika Gereza la Sona unakutana na mtu anaitwa Lechero.
Kisha kabla hujakaa sawa kuna mbabe anakuja kukutupia mguu wa kuku mbele yako.
Unajuwa inamaanisha nini hapo?
Mkuu umemsahau GRECHEN huyu mwanamke alikuwa ni nomaprison nyoko...
Prison iko juu vibaya mno.
Kwanza kuna vichwa ambavyo kila kukicha ulitamani kujua kitakachoendelea.
haimtegemei sana Michael coz kuna watu kama Lincolin, Sucre, Mahone, na Theodoro Bagwell pia nao walikuwa ni muhimu sana ktk series hii.
All in all kama kuna mtu atabisha basi ntampeleka room namba 88 kwa mr Avocado kisha pazia linafungwa...
ukifika Gereza la Sona unakutana na mtu anaitwa Lechero.
Kisha kabla hujakaa sawa kuna mbabe anakuja kukutupia mguu wa kuku mbele yako.
Unajuwa inamaanisha nini hapo?
24 ni balaa jack bauer ,Tony Almeida,chloe,charles logan,palmer mdogo yaani acha tu.hii series inakufanya usogeze kikombe cha kahawa mdomoni lakini unashindwa kunywa.
Eti wadau wa series,nimekua nikibishana na wenzangu kuhusu hili jambo. Je,kati ya 24 na prison break ipi ni series bomba? Kati ya michael scofield na jack bauer nan balaa?
. Je,kati ya 24 na prison break ipi ni series bomba? ?