Wimbo wangu ijumaa hii
Banana Zoro …Pressure
minapenda FORCE ...pressure ahh siiitak kabisa...labda kdg napenda AREA then ntakuwa natafuta force due to pressure n area ili niwe ktk situation salama katika kila jambo!!!
minapenda FORCE ...pressure ahh siiitak kabisa...labda kdg napenda AREA then ntakuwa natafuta force due to pressure n area ili niwe ktk situation salama katika kila jambo!!!
Hivi FORCE+PRESSURE unapata nini? Hivi Newton 3rd Law of Motion inasemaje tena Rose??minapenda FORCE ...pressure ahh siiitak kabisa...labda kdg napenda AREA then ntakuwa natafuta force due to pressure n area ili niwe ktk situation salama katika kila jambo!!!
Susy acha tu ungejua pressure ninayoizungumzia hapa natamani laiti ungekuwa unajua ninachokifikiria kichwani mwanguThe Finest!! kwann unaogopa pressure??
mimi naona kwa maisha ya mtanzania, uchumi, siasa na mapenzi!! lazima tu kuna mahali itakupata kati ya hivi!!
Gaga naona umeishaenda kwa babu umepiga kikombe kimoja tayariPressure siku hizi hakuna kikombe kimoja tu cha babu kila kitu muswano. ila huu wimbo ulitushika vibaya mpaka leo bado naupenda sana
minapenda FORCE ...pressure ahh siiitak kabisa...labda kdg napenda AREA then ntakuwa natafuta force due to pressure n area ili niwe ktk situation salama katika kila jambo!!!
The Finest! Biblia inasema hivi "nitwikeni mimi mizigo yenu yote na fadhaa zenu kwa maana nira yangu ni nyepesi" tena mithali 3:5 inasema hivi "mtumaini Bwana kwa moyo wako wote,wala usizitegemee akili zako mwenyewe, katika njia zako zote mkiri yeye naye atayanyoosha mapito yako"
peke yako unaweza ukachanganyikiwa!!
minapenda FORCE ...pressure ahh siiitak kabisa...labda kdg napenda AREA then ntakuwa natafuta force due to pressure n area ili niwe ktk situation salama katika kila jambo!!!
minapenda FORCE ...pressure ahh siiitak kabisa...labda kdg napenda AREA then ntakuwa natafuta force due to pressure n area ili niwe ktk situation salama katika kila jambo!!!