Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,759
Hello GT, naombeni msaada wenu, nimepima blood pressure Iko 71/51, na nasikia wenge la ajabu kama nataka kudondoka vile, mpaka saa ingine sioni, naombeni mwenye kujua dawa ya kuipandisha, naomba msaada wenu waungwana wangu.