Presidential Delivery Unit - Kitengo kipya chini ya Rais - chatengewa Bilioni 29!

Dr. kwenye zile ndiooooo yako haipo pale??? Kama haipo ule mpango wa kutenga bilioni moja kwa ajili ya wafu wewe unaona ni akili ya kawaida imetumika hapo??? Uliupinga vipi mpango wa kitoto kabisa ule???Kwa faida ya nani mlipitisha zile fedha??? Yaani mnaacha kupitisha fedha ili wananchi walio hai wafaidike, mnatenga fedha kwa ajili ya kuwanufaisha watu hata tusiowajua maana hatujui ni lini nyie viongoz wetu wa kitaifa mtakufa. Hii akili ya ajabu sana.

Unataka kusema Lukuvi akizikwa kwao Isimani hatotulia huko chini??? Mnataka kuongoza taifa hadi mkishakufa???? Yan what was exactly the motive behind that thing, ni kwa faida ya nani hasa???Mnataka kusema sasa kuwa maiti ya kiongozi wa ccm inathamani kubwa sana kuliko wananchi waliohai wanaoishi hilo eneo. Yani waache kuzitumia hekta zote hizo kwa maendeleo yao ili wasubirie Lukuvi afe azikwe hapo.

Sisi watumishi tunaumia sana maana ndio walipa kodi wakubwa nchini. Wafanyabiashara si serikali imeamua wasilipe kodi??? Sasa tutendeeni haki basi mbona hata hicho kidogo kinachopatikana mnakichezea tena????Naumia sana kuona kodi yangu inatumika kwenye kuwatengea eneo la kuwazika. Hivi kaka wewe ukizikwa Kigamboni itakuwaje hasa.

Hivi ni athari gani hasa ingetokea kama hizo 29 bilion zisingeunda hicho chombo mwaka huu, then hizo fedha zote zikasambaza maji Jimboni kwetu???Unataka kusema faida tutayoipata kwa kuanzisha hicho chombo inafar outweigh benefits za sisi wapigakura wenu kupata a basic need kama maji ya kunywa????Hebu vaeni viatu vyetu! Nadhan mnataka kutuambia kuwa hii ni price tunayopaswa kulipa au cost ni cost tunayopaswa kuincur kwa kuchagua kuongozwa badala ya kuongoza. Haina shida!!Ila si busara unapokula na kipofu ukamsika mkono.

Michango yako bungeni itakuwa na maana tu kama ina outputs kwa wananchi wako. Lakin kwa style ile ya kigamboni, kwa kweli ni hata aibu kusema kuwa kiongoz wa eneo lile ni msomi. Nadhan hamtuelezi ukweli ila inaonekana ni ngumu sana kuiongoza hii nchi. Nashauri tufanye one thing at a time ila kwa style hii ya kujifanya vyote twaweza. Itafika miaka 50 mingine tutabak hapa hapa.
Dr F. Ndugulile Dr hapa hajibu kitu......phuulizi Dr unaweza kutujibu wakazi wa Kigamboni ile ndioooooo uliokubali mpango wa kuwazikeni inafaida gani?
 
Last edited by a moderator:
kutokana na maelezo yaliyotolewa na mawaziri kunahaja.

Ebu acheni masihara/unazi.
Hivi kweli haya maneno yanatoka kwa mtu kama wewe uliye na uwezo wa kuandika mistari hii miwili kupitia mtandao na unadiriki kuunga hoja ili.
Ndugu kama hupati chochote kutoka pale Lumumba amini wewe ni m.j.i.n.g.a
 
Dr F. Ndugulile Dr hapa hajibu kitu......phuulizi Dr unaweza kutujibu wakazi wa Kigamboni ile ndioooooo uliokubali mpango wa kuwazikeni inafaida gani?
Hawa watu wanakera sana, wanatufanya sisi wapumbavu wao ndo wajuaji. Sasa maamuzi kama hayo yana faida kwa nani hasa, mana wao wapo hai na hizo hela hawataki kuzitumia kuwanufaishe walio hai. Yaani tuwahudumie kwa mishahara na posho wakiwa hai na hadi wakifa wanataka kuendelea kutunyonya. Akili ya wapi hii??? Anasimama pale mtu anajiita Waziri anatetea utumbo kabisa huu halafu hawa mabwana na mabibi wanaitikia tu ndiooooooooooooooooo.

Mbona Mpina na Filikunjombe wanachangia kama watu huru na hatujaona wakidhurika?? au wanataka kusema wabunge hawa pale bungeni huwa wanalidanganya Bunge??? Wao wanaofanya unafki wa kuwasaliti wapigakura wao wanafaid lipi la ziada kupita Mpina na Filikunjombe???Aibu sana, yani wanafanya mambo kama wanaigiza hivi sijui kwann hawajifunzi kwa wenzetu??Kama hawataki kujifunza, ni nini kinawafanya waende nchi za wenzetu kwa madai ya kujifunza??
 
hii ni moja na masharti ya wafadhili, haya ndio matokeo ya kuwa omba omba.
 
Tatizo lenu huwa hamjiamini kwa hoja zenu toka vichwani mwenu(Independently) mnapenda kumezeshwa hoja, nawashangaa sana, Yaani Mnyika kupinga sio lazima na wewe upinge, waweza kujitegemea kuwaza mambo yenye tija katika nchi acha kuburuzwa kijana, jisimamie,tafuta facts kabla hujapost ushabiki.
Presidential Delivery Unit unajua maana yake? unajua umuhimu wake? kama hujui basi uliza Great Thinkers wakusaidie wewe Great Prepitator ili baadae ujue wapi usimame, unless utaburuzwa hata kwa jambo la hovyo!
Hiyo sio kutengeneza EPA nyingine 29Billion tunapoelekea kwenye uchaguzi?????Kwa nini fedha kama hizi zisipelekwe kwenye miradi ya kumkomboa Mtanzania??

 
Kutokana na hilo wana jamvi, hivi tume ya mipango ina kazi gani? basket fund kama hizo why not kiungiza katika planning mechanism lengo si kukuza miradi ya maendeleo? basi kuwe na restricted derivery and expenditure department ndani ya planning commission hiyo modal itafanaya kazi nje ya hapo it is a nightmare.
 
Tatizo lenu huwa hamjiamini kwa hoja zenu toka vichwani mwenu(Independently) mnapenda kumezeshwa hoja, nawashangaa sana, Yaani Mnyika kupinga sio lazima na wewe upinge, waweza kujitegemea kuwaza mambo yenye tija katika nchi acha kuburuzwa kijana, jisimamie,tafuta facts kabla hujapost ushabiki.Presidential Delivery Unit unajua maana yake? unajua umuhimu wake? kama hujui basi uliza Great Thinkers wakusaidie wewe Great Prepitator ili baadae ujue wapi usimame, unless utaburuzwa hata kwa jambo la hovyo!
Sidhani kama kuna sababu ya msingi ya kumshambulia mtu kwa maneno makali namna hiyo na kama wewe unajua faida za hiyo bureau basi tuelezee tupate kuelewa maana hata mawaziri hawakuwa na majibu yenye kukidhi. Nasema hivi kwa sababu kila kitu lazima kifanywe in the limelight of the existing law. Miradi inaangukia kwenye Procurement Act and it principles. Makatibu wakuu wa wizara husika ndio wenyeviti wa Procurement Management Units. Kunakuwa na evaluation commitee na kila wizara inachagua engineer(s) wa kusimamia miradi husika. Mbali na hapo kuna wadau kwenye miradi husika ambao wanakaa periodically kwenye eneo la tukio ili kuangalia mradi unavyoendelea.Lakini kuna tume ya Mipango ambayo nayo ina wataalamu wa evaluation, monitoring and implementation. Sasa wadau wote wako kisheria na mkataba wa mradi lazima uwe unawataja wadau muhimu na muda wa kukamilika kwa mradi na ikitokea kuna aliyeshindwa kutimiza wajibu ndio maana kunakuwepo na uwajibikaji. Sasa kuunda chombo kingine ndani ya vile vilivyopo kwasababu tu kuhakikisha miradi inakamilika sijui watatungiwa sheria ya kwao na sheria iliyopo ya manunuzi ya umma ziki collide which one will prevail. Haya ndio mambo ya kuelezea ili watu waelewe na isionekane kuna chaka la kula pesa ya walipa kodi.Na nikuhakikishie Mnyika's point was basic lakini kilichomponza ni kwamba yeye ni mpinzania. Laiti hoja yake ingetoka kwa mbunge wa CCM ambaye hajwa branded mpinzani, wabunge wa CMM na serikali yake wangejipa muda wa kutafakari ili waone namna ya kuboresha ufatiliaji wa miradi bila kuongeza wadau wengine na labda wangeifanya tume ya mipango iwe transformed au restructured ili waboreshe zaidi na kuongezea pesa kidogo kuliko kutenga pesa yote hiyo.Lakini bado nalia na wewe tujuze zaidi maana jukwaa hili ni shule
 
Hawa watu wanakera sana, wanatufanya sisi wapumbavu wao ndo wajuaji. Sasa maamuzi kama hayo yana faida kwa nani hasa, mana wao wapo hai na hizo hela hawataki kuzitumia kuwanufaishe walio hai. Yaani tuwahudumie kwa mishahara na posho wakiwa hai na hadi wakifa wanataka kuendelea kutunyonya. Akili ya wapi hii??? Anasimama pale mtu anajiita Waziri anatetea utumbo kabisa huu halafu hawa mabwana na mabibi wanaitikia tu ndiooooooooooooooooo.

Mbona Mpina na Filikunjombe wanachangia kama watu huru na hatujaona wakidhurika?? au wanataka kusema wabunge hawa pale bungeni huwa wanalidanganya Bunge??? Wao wanaofanya unafki wa kuwasaliti wapigakura wao wanafaid lipi la ziada kupita Mpina na Filikunjombe???Aibu sana, yani wanafanya mambo kama wanaigiza hivi sijui kwann hawajifunzi kwa wenzetu??Kama hawataki kujifunza, ni nini kinawafanya waende nchi za wenzetu kwa madai ya kujifunza??
huyo DR ni mchumia tumbo nakuambia.......hata upige kelele vipi mwisho wa siku ni ndiooooooooooooo
 
huyo DR ni mchumia tumbo nakuambia.......hata upige kelele vipi mwisho wa siku ni ndiooooooooooooo
Basi tunakazi ya ziada ya kuondoa haya magamba 2015. Mana hata tuliotegemea watatumia akili za kawaida tu kutukomboa naona wanatumia akili zao kukwepa ukweli na kuulaghai umma wa watanzania.
 
Wana JF nimejaribu kufuatilia ishu hii lkn nasita kuchangia kiundani zaidi kwa sababu haina maelezo zaidi, labda wenzangu mlioielewa mnieleweshe zaidi kwa kunijibu maswali yafuatayo

1: kabla ya hii bajeti hoja ilianza lini na kwa nini ilianzishwa
2: Je kazi zake itakuwa ni kusimamia au kufuatilia tu ( CAG- imenipa funzo fulani)
3: Hisory back ground, mafanikio, matatizo yake ni yapi?kihalisia au kimawazo.
Baada ya hapo nitakuwa katika nafasi nzuri kuchangia!! manake si vzr kuanza kusifia au kuponda wakati hatujui undani wake na Tanzania ya sasa watu hatuamiani, tunahisi kudhurumiwadhurumiwa tu!!lol
 
Hayo ni maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2014 na mwaka 2015 kwa ajili ya kuwahonga maskini watanzania! Ccm ni kundi la walanguzi!
 
Hii ni ile sera ya kuongeza ajira, sasa hivi ajira mpya zitafka kwa iyo kitu.
 
Kuna Takukuru, kuna kamati za bunge, mkaguzi wa ndani, mkaguzi mkuu) polisi, upelelezi usalama wa taifa. Inamaana wote hao hawana uwezo wa kufatilia mradi?
 
Back
Top Bottom