Presidential Delivery Unit - Kitengo kipya chini ya Rais - chatengewa Bilioni 29!

Sidhani kama wabunge wengi wa ccm wapo bungeni kwa masilahi wa watanzania.
Kikubwa hapa ccm wanakusanya pesa kuandaa uchaguzi wa serikali za mitaa mwakani. Haiingii akilini mwa mtanzania mwenye busara kwamba huu ni wakati wa kuanzisha chombo cha ziada cha kusimamia miradi tena kwa kiasi kikubwa cha pesa kama hiki wakati vyombo vya kusimamia na kufuatilia kila mradi vipo tena vipo kisheria.
Pesa hii ingeelekezwa kwenye miradi mingi yenye manufaa kwa watanzania wanaoendelea kuteseka kwa adha nyingi kama ukosefu wa maji.
 
CCM ni joka lenye njaa kali, linakula hata wanawe na mayai yake lenyewe.
Kikwete je una nia ya dhati ya kumkomboa Mtanzania wa chini au unafanya yote haya kwa maslah ya mwanao kipenzi The Prince?
Je ni wapi unakolipeleka taifa letu?
 
kisha tukija JF kusoma vutu vya maana unakuta ugomvi wa kike btn CHADEMA na CCM

huku watu wanakula pesa kimya kimya

I think JF is also part of the problem. Hakuna substance kabisa kwenye jukwaa hili anymore


Hapa nakuunga mkono

Ever thought kwa nini the most influential social media in Tanzania ina encourage huu upuuzi?

how about kuwa JF might be part of the system?

siamini kuwa mambo haya inabidi tusome magazeti ya nje ndio tuyajue

lakini bosi kabakiza 24 months...sasa kuna cha kudeliver?

kwa nini hatuamibili kuhusu mikataba 17 ya tuliyo sign na wa CHINA?
 
Kumbe muda wote serikali ya CCM inapanga na kutekeleza miradi mbalimbali haikuwa na chombo cha kusimamia miradi hiyo ili kuhakikisha matokeo. Sasa wameamua kuwa ili matokeo ya miradi hiyo yaonekane basi wameamua kuunda chombo kipya ambacho kazi yake itakuwa ni kufuatilia utekelezaji miradi mbalimbali. Sasa najiuliza kama miaka yote hii hawakuwa na vyombo vya kusimamia na kufuatilia miradi hiii walikuwa wanafikiria nini wakati wanaandaa miradi hiyo.

Wenyewe wanaita "Big Results Now"...

Halima Mdee kasema kweli hili ni "chaka la ulaji tu" na kasema yote yanayofanywa na Malaysia siyo lazima na sisi tuige tu kwa 'kucopy na kupaste". Sasa sijui ni wazo la nani hili.

Uchunguzi wangu wa haraka haraka unaonesha kuwa hili ni wazo la wafadhili ambao wanatoa kiasi kikubwa cha fedha; wafadhili wanatoa bilioni 25 na ni vigumu serikali kukataa.

Ilianzia wapi?

Dodoma — TANZANIANS should expect reformed leadership and government in its delivery of development programmes, President Jakaya Kikwete said on Sunday.
The president said this in his closing remarks of a two-day seminar on implementation, monitoring and evaluation framework of National Development Plans and Programmes.
President Kikwete said a team that will evaluate the existing structure will be established and propose an effective delivery unit in the Tanzania context, learning from the Malaysian model.
He has directed all ministries to start setting up and organising their own system of supervision, monitoring and evaluation, as they wait for the national system to be set up by the team.
"The seminar has made a huge difference from the way the government delivers its duties, we have learnt that we need to be focused with clear goals and targets and we already have the Vision 2025.
"We have learnt hat we cannot do everything at the same time," he noted. He said the team will present its report in another government retreat in October, which will kick start the process of adopting and customising the Malaysian Big Fast Results model to suit Tanzanian environment.
"The proposed team will come up with proposals on best way to adopt the Malaysian model so that we can deliver our duties better," he explained. He said 50 years ago, Malaysia was at the same level with Tanzania, but 50 years down the line, Malaysia has made big strides in development.
"The important thing, we have learnt from this is that, we can also make it," he added. President Kikwete expressed gratitude to the Malaysian team that provided the knowledge, noting that they have been generous in sharing the knowledge and experience.
"We have come out of this historic and ground breaking seminar transformed. The public should expect transformed delivery of government responsibilities from now on," he added.
He said the Malaysians took all participants slowly through process of the mechanisms of how to make things happen, analysing issues, and agreeing on how to solve problems, monitoring and evaluation. "It's not rocket science; it's not hard to comprehend. It's simply easy to understand and do. You gave us the ABCs of doing it, I promise we will do it," he stressed.
Reading out the resolutions, the Chief Secretary, Ambassador Ombeni Sefue, said the government commits itself to improve delivery and accountability by emulating the Malaysian model. He said the participants learnt from the experience of Malaysia on framework for implementation monitoring and evaluation of their economic and government transformation programmes to achieve fast results.
He said the way forward a multidisciplinary team drawn from a wide spectrum of stakeholders will be established that will propose and prepare a roadmap for operationalisation of an effective delivery government unit, learning from the Malaysian model.

AllAfrica

Kwa hili hakuna jipya kwa serekali ya ccm inayokufa. Huu ni WIZI!
 
MKJ, hata kama ni wazo la wafadhili, ina maana serikali haiwezi kujitetea hata kidogo.

Hivi mtu atakuja kwako akupe msaada wa vipodozi wakati huna hata unga wa uji?

My dear one, kama unaamini tatizo lako ni kuwa hupendezi huko nje itabidi ukubali vipodozi tu hata kama ukirudi nyumbani unachemshha supu ya kiatu...
 
Sidhani kama wabunge wengi wa ccm wapo bungeni kwa masilahi wa watanzania.
Kikubwa hapa ccm wanakusanya pesa kuandaa uchaguzi wa serikali za mitaa mwakani. Haiingii akilini mwa mtanzania mwenye busara kwamba huu ni wakati wa kuanzisha chombo cha ziada cha kusimamia miradi tena kwa kiasi kikubwa cha pesa kama hiki wakati vyombo vya kusimamia na kufuatilia kila mradi vipo tena vipo kisheria.
Pesa hii ingeelekezwa kwenye miradi mingi yenye manufaa kwa watanzania wanaoendelea kuteseka kwa adha nyingi kama ukosefu wa maji.

kutokana na maelezo yaliyotolewa na mawaziri kunahaja.
 
Mzee Mwanakijiji:

Ni kweli. Haya ni mawazo ya wafadhili. Nimeshuhudia vikao vya kupanga haya mambo. Donors wana-dominate e.g. Agriculture Lab. Watu wetu ni dhaifu. Ninavyojaribu kuelewa haya mambo, wazungu wanajaribu kutengeneza mazingira ya kunufaika na SAGCOT. Kupitia mpango huu, Serikali itatoa ardhi kubwa kwa makampuni ya nje kuwekeza kwenye kilimo. Haifahamiki ni nini kitatokea kwa wananchi wanatumia maeneo hayo kwa sasa. Haifahamiki ni nini kitatokea kwa raslimali ya maji kwa kuwa miradi inayopangwa ni umwagiliaji. Serikali inaingia kichwa kichwa kwenye haya mambo. Hakuna tathmini ya kutosha. If anything, donors ndio wanalazimisha baadhi ya tathmini kufanyika ili kuhalalisha mipango yao. Hatari.

Kimsingi wananchi hatufahamu mambo mengi. Hatushirikishwi. Mambo mengi ni siri. Ila donors wanafahamu kuhusu nchi hii kuliko raia wake na wanaamua ni nini kifanyike kwenye kila sekta. Wana-manipulate viongozi wetu kama wanavyotaka. Nimefanya kazi na donors. Ninafahamu. Kingine kinachochangia hali hii ni kwamba watumishi wa serikali ni dhaifu sana. Wanababaisha sana.
 
Sidhani kama wabunge wengi wa ccm wapo bungeni kwa masilahi wa watanzania.
Kikubwa hapa ccm wanakusanya pesa kuandaa uchaguzi wa serikali za mitaa mwakani. Haiingii akilini mwa mtanzania mwenye busara kwamba huu ni wakati wa kuanzisha chombo cha ziada cha kusimamia miradi tena kwa kiasi kikubwa cha pesa kama hiki wakati vyombo vya kusimamia na kufuatilia kila mradi vipo tena vipo kisheria.
Pesa hii ingeelekezwa kwenye miradi mingi yenye manufaa kwa watanzania wanaoendelea kuteseka kwa adha nyingi kama ukosefu wa maji.

sijui kama umeuelewa vema huu mpango make waziri kasema miladi itakayolengwa ni miladi ya kitaifa na tukisema kitaifa inamaana ni nchi nzima sasa wewe unachojadili kipi mkuu au hukuelewa hotuba ya waziri vzuri.
 
Bado kuna tume ya Mipango, hii tume inapanga nini?

Halafu vyote chini ya Rais tu?

Naona hela ya kampeni hamna kabisa na Epa haiwezzi fanikiwa tena.

Halafu wamainuka karibu wote kutetea, bila aibu Simbachawene anasema 'ni kwa ajili ya miradi kama bomba la gesi lisimaniwe' really? Siku zote lilikuwa halisimamiwi?

Shame on this govnt kwa kweli.
Hii kitu imeniudhi sana.

mkuu umewasahau wazee wa think tank na obr
 
Walikuwa wanakula kwa SPADE
images


Sasa watakula kwa "KIJIKO" HEAVY DUTY WHEEL LOADER

images
 
wabunge wengi wa CCM wapo kimaslai kwa chama chao...na hawajitambui kuwa wanabugi kwani sisi wananchi kama mabosi wao tunawapiga chini 2015....wengi wao hawana upeo wa ku analyse issues kwa interest ya taifa letu

Until we totally change the way we elect our leaders, until we remove private money from public campaigns, lying will be the de facto method of governance in Tanzania.
 
sorry unamzungumzia Bwana FastjeT Hahahaaaaa haya bhana nilishtuka nilipoambiwa kaenda msiba wa Bibi yetu kaacha kwenda kwenye msiba wa Jenerali


wallahi mzee yule atakufa kama bob sambeke.....direct frm holland to dar zenji....afu kigambonino then zenji....afu hiyooooooo kuhani msiba Boston na Texas.......
 
Back
Top Bottom