President ngabu n, tolea ufafanuzi swala hili

prezaida utafiti wangu unaonesha wabeba maboksi kibao tumepata marakatasi kati ya 2007-2011 na hivyo tumeweza walau hata kurudi nyumbani baada ya miaka mingi ya kuishi ukimbizini; lazima kuna kitu kimetoka hii miaka mitatu kilichofanya wanugu walainike.

Akimaliza tunataka Ngabu atupatie sifa za jumla za Wabongo, kutokana na maeneo wanayoishi, tupo kwenye upembuzi yakinifu :lol:

@New York, Miami, Houston, Boston, Philly,
 
Akimaliza tunataka Ngabu atupatie sifa za jumla za Wabongo, kutokana na maeneo wanayoishi, tupo kwenye upembuzi yakinifu :lol:

@New York, Miami, Houston, Boston, Philly,

Boston wabongo mambo yao supa, si unajua tena jiji la 'kinshomile' hilo !
 
Obama, afu kenya majirani zetu.

prezaida utafiti wangu unaonesha wabeba maboksi kibao tumepata marakatasi kati ya 2007-2011 na hivyo tumeweza walau hata kurudi nyumbani baada ya miaka mingi ya kuishi ukimbizini; lazima kuna kitu kimetokea hii miaka mitatu kilichofanya wanugu walainike.
 
Mh. Rais na wananchi wako wa kike vipi?

Nyie wachuchu mimi nashauri hivi; kama mtu ana subira basi amsubiri mbeba maboksi wake hadi apate gamba lake la bluu. Mbeba maboksi wako akishapata gamba lake analidivorce li XXXL lake anaendelea na wewe.

Ujue kuwa baada ya kupata kijani ile ya miaka 10, kama bado uko ndoani basi unakuwa eligible kuomba uraia. Kwa hiyo kusubiri miaka 2 sio ishu sana kama wewe na mwenzako mna malengo ya kuwa pamoja mbeleni.

Kama huna mbeba maboksi inaweza ikakuwia vigumu kidogo kupata makaratasi. Hapo sasa inabidi na wewe uanze kusaka kibabu cha kizungu kilicho kipweke lol. Sishauri udili na wanaume wa kinugu. Utaishia kujuta tu.
 
Sasa mbona umetoa sifa za wanawake tu, wanaume wa kinugu jee?

Au unatubania sisters tusipate makaratasi?

Hao hawafai Gaijin unless unataka drama na kina Shaniqua na Juanquita!

Nyie mimi nashauri mtafute wabeba maboksi wenu wenye malengo ya kweli. Hapo wewe na mbeba maboksi wako mnakubaliana kuwa yeye atafute li tunye tunye alioe halafu apate makaratasi. Akishapata na uraia basi analitaliki hilo li XXXL mnaendelea na maisha yenu.

Jua kuwa ni rahisi zaidi kwa wakaka kupata ma XXXL kuliko wadada kujipatia vibabu vya kizungu.
 
prezaida utafiti wangu unaonesha wabeba maboksi kibao tumepata marakatasi kati ya 2007-2011 na hivyo tumeweza walau hata kurudi nyumbani baada ya miaka mingi ya kuishi ukimbizini; lazima kuna kitu kimetokea hii miaka mitatu kilichofanya wanugu walainike.

Yaani nyie mmepata kuanzia 2007? Mlizubaa wapi nyie?
 
Nyie wachuchu mimi nashauri hivi; kama mtu ana subira basi amsubiri mbeba maboksi wake hadi apate gamba lake la bluu. Mbeba maboksi wako akishapata gamba lake analidivorce li XXXL lake anaendelea na wewe.

Ujue kuwa baada ya kupata kijani ile ya miaka 10, kama bado uko ndoani basi unakuwa eligible kuomba uraia. Kwa hiyo kusubiri miaka 2 sio ishu sana kama wewe na mwenzako mna malengo ya kuwa pamoja mbeleni.

Kama huna mbeba maboksi inaweza ikakuwia vigumu kidogo kupata makaratasi. Hapo sasa inabidi na wewe uanze kusaka kibabu cha kizungu kilicho kipweke lol. Sishauri udili na wanaume wa kinugu. Utaishia kujuta tu.

Hahahaha. . .
Kwanza mbeba box inatakiwa tuwe tunafahamiana kabla au huko huko mtoni?
Pili. . wakati mbeba box anapata 'excessive heat' toka kwa XXXL lake mdada anajiweka vipi busy asiumie kwa wivu?
 
Yaani nyie mmepata kuanzia 2007? Mlizubaa wapi nyie?

huo ni utafiti, ziara za wabongo kurudi kwao walau kuwaona ndugu, jamaa na marafiki baada ya miaka 5+ ugenini zimeongezeka kati ya 2007-2010, kabla ya hapo ni wachache sana walikuwa wanakanyaga ardhi ya bongo japo walikuwa wanatamani kufanya hivyo !
 
Hahahaha. . .
Kwanza mbeba box inatakiwa tuwe tunafahamiana kabla au huko huko mtoni?
Pili. . wakati mbeba box anapata 'excessive heat' toka kwa XXXL lake mdada anajiweka vipi busy asiumie kwa wivu?

naomba mwongozo kuhusu rais kudanganya wananchi - kiukweli wabeba maboksi wanapenda ku-'import' (agiza) wachuchu kutoka nyumbani japo wengi wao huwa wanajanjaruka wakifika yuesi; fanya utafiti uone ni wabeba maboksi wangapi wanaoana wenyewe kwa wenyewe wakikutana marikani.
 
Hao hawafai Gaijin unless unataka drama na kina Shaniqua na Juanquita!

Nyie mimi nashauri mtafute wabeba maboksi wenu wenye malengo ya kweli. Hapo wewe na mbeba maboksi wako mnakubaliana kuwa yeye atafute li tunye tunye alioe halafu apate makaratasi. Akishapata na uraia basi analitaliki hilo li XXXL mnaendelea na maisha yenu.

Jua kuwa ni rahisi zaidi kwa wakaka kupata ma XXXL kuliko wadada kujipatia vibabu vya kizungu.

Aaaah basi si tupate vijana wa Kizungu tu. Mbona wamejaa tele?

Sasa kama tutafute mbeba box, labda kwa hawa 'nshomile' .....ila wamekalia ki-up tight
 
Hahahaha. . .
Kwanza mbeba box inatakiwa tuwe tunafahamiana kabla au huko huko mtoni?

Hii haina formula. Mnaweza mkawa mnafahamiana kabla au mmefahamiana huko huko majuu au mnaweza mkawa mmefahamiana hapa hapa JF.

Pili. . wakati mbeba box anapata 'excessive heat' toka kwa XXXL lake mdada anajiweka vipi busy asiumie kwa wivu?

That is only if you can handle it...if you can't handle it then I guess there will be some problems. But I've met some people who are able to handle it so I guess it is doable.
 
naomba mwongozo kuhusu rais kudanganya wananchi - kiukweli wabeba maboksi wanapenda ku-'import' (agiza) wachuchu kutoka nyumbani japo wengi wao huwa wanajanjaruka wakifika yuesi; fanya utafiti uone ni wabeba maboksi wangapi wanaoana wenyewe kwa wenyewe wakikutana marikani.

Kwahiyo nikikosa wa kuni'import' ndio basi tena nisahau gamba bila mzee wa kizungu? Kwanini unadhani sio rahisi wanaokutana huko huko kuona? Mi nilidhani wanaokuja wenyewe ndio wanafurahiwa zaidi maana hamna gharama za kumvuta huko.
 
si kuna walatina wa asilia ya marikani hasa huko albakaki na el paso, acha kubania taarifa au unaona wamewafunika wachuchu wabeba maboksi?

Ma XXXL wa kizungu ni safe bet kaka. Hao wengine hawaaminiki. Take it from me.
 
Back
Top Bottom