Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,317
tungo tata hiyo ati !
Hahahahaha namgea mshahara bana. . . kwani hilo sijaliweka wazi?
tungo tata hiyo ati !
Hahahaha wanalia kwanini?
hahaa, hivi kwa nini lakini nn sr na uzalendo wake wote ule hakutani usome nasi pale kwa mujuhwahuzi/mndolwa?
Hahahahaha namgea mshahara bana. . . kwani hilo sijaliweka wazi?
Acha longolongo bana hebu nirushie kwanza hayo matokeo ya utafiti
Mujwahuzi na Mndolwa wamefanya nini tena?
wananyanyaswa kiunyumba
i mean kwa nini nn sr hakutaka uje usome nasi chini ya ualimu mkuu wa mujwahuzi? au alitaka upandishe ngeli olympio hadi watu wadai unafanya kazi ubalozini ?
Acha longolongo bana hebu nirushie kwanza hayo matokeo ya utafiti
shuleni tulifundishwa kuwa tungo tata zinakuwa na maana zaidi ya moja, haya baada ya mshahara wa kwanza mgee tu
Hahahaa yeah...shule ya msingi Olympio halafu jioni twisheni kwam Mrs. Chomi? Unamkumbuka huyo? Alikuwa na binti yake anaitwa Eunice.....
which black sister was your favorite ? huyu Swahili Time: July 2010 ?
Hiyo mbona yeyote anaweza!! Hata wakuja jana. . .
Dadake na Abuu Maghimbi...sio Salma...yule mwingine mrefu mrefu mweupe hivi....
Ngabu na Companero mkishakutana ni kuturingishia watu wa Mlimani tu, hala hala wengine ni dada, kaka, wachumba, wachuchu za watu!
sio siri yuko juu !
Ngabu na Companero mkishakutana ni kuturingishia watu wa Mlimani tu, hala hala wengine ni dada, kaka, wachumba, wachuchu za watu!
Hmm wewe nawe ni wa Mlimani?
nshomile wa mlimani huyo