Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Wanabodi,
Naomba kuanza na pongezi kama ishara ya appreciation kwa vile Tanzania ni kama hatuna flag carrier hivyo ni ukweli usiopingika kuwa Shirika la Ndege la Precision ndio linatubeba Tanzania kama taifa hadi nje ya mipaka yetu hivyo linastahili pongezi za dhati!.
Jina la Precision lina maana ya precise, ambapo siku za nyuma ni kweli walikuwa very precise, kwa sasa linaanza kubaki ni jina tuu, hakuna tena ile precise na sana sana ni mauswahili yanaanza!.
Kuna wakati nilisafiri kwa ndege za shirika hili zikiwa ndizo pekee zinazokwenda huko. Reporting time ni saa 1:00 asubuhi ndege inaruka saa 3:30.
Nilifika saa 2:30 ikiwa nimechelewa kwa saa nzima kabla ya take off, walinigomea kucheck in eti nimechelewa sana na wameshafunga check in counter!. Niliwagomea kuwa kwenye ticket tuneandikiwa kabisa, check in counter inafungwa 40 min before take off, saa hizi ni 60min before, how can they close?!. Nililalamika mpaka basi kwa vile kwa ndege za local, saa moja kabla ya take off bado ni reasonable, waligoma kata kata!.
Kwa vile safari yangu ilikuwa ni dharura sana, nilifanya nilichokifanya ila nili board bila boarding pass!. Nilipitaje hizo security clearance zote bila boarding pass, God Knows!.
Ndani ya ndege likatolewa tangazo kuna abiria mmoja amezidi hivyo ndege haiwezi kuruka mpaka kila mtu aonyeshe boarding pass yake tena!.
Within no time nikadakwa!. Nikaombwa kistaarabu nishuke kumpisha mwenye siti yake. Niligoma kata kata na kuonyesha tiketi na kueleza niligomewa check in kwa kisingizio nimechelewa!. Mimi ndio nilikuwa abiria wa mwisho nikaambiwa dirisha lineishafungwa, huyo abiria wa mwisho katoka wapi?. Na kwavile tiketi yangu was OK, this means seat yangu ingekuwa empty!. Nikawagomea kata kata kuwa sishuki!. Na nikaeleza tena kwa sauti ya hasira kuwa nimefika 60 min before nikakuta wamefunga counter kwasababu wamefanya over booking!.
Wakaita airport security nishushwe nikawagomea labda nguvu itumike!.
Ndege ilianza kuchelewa Capt akaamuru nifanyiwe security clearance, huyo abiria akapewa jump seat tukaruka!. Japo tuliruka huku nyuma muziki wake ulikuwa mkubwa kwa jinsi airport yetu ilivyo porous!. Waka issue arrest hivyo kufika tuu, nilifikia mikononi mwa polisi kwa hoja nirudishwe na the same flight kwenda kujibu mashitaka Dar.
Baada ya kueleza kilicho nipeleka nilikubaliwa kujidhamini kwa return tiket yangu ambayo ilikuwa nirudi kesho yake!.
Kilichofuata ni history... ila the bottom line, Precision Air ili kuwa kweli ni precise!. That was then!.
Now, jana jioni nilikuwa tena abiria wa Precision nikitokea KIA kuja Dar. Ndege hiyo ilikuwa internation flight ikitojea Entebbe hivyo ndani abiria wa mataifa mbalimbali.
Abiria wote tukiwa tumeboard tunaona ndege haiwashwi!. Baada ya kusubirishwa sana bila kuambiwa chochote ndipo tukaelezwa kuna abiria anasubiriwa!. Ndege iliwashwa ikabaki ikiunguruma kwa dakika 15 nyingine huyo abiria akisubiriwa!.
Hatimaye alifika na tukaanza safari. Angalau Capt. alituomba radhi kwa uchelewaji na kuahidi to make it up for the lost time kwa cruising speed na kweli tulifika almost on time japo tulichelewa kidogo!.
Nijuavyo mimi abiria wa ndege anayesubiriwa ni yule tuu aliyekwisha check in!. Hii ndio ile ndege niliokataliwa kucheck in 1-hour before kwa kuambiwa nimechelewa lakini leo abiria wote wanamesha board halafu wanamsubiria abiria fulani aliyechelewa reporting time hadi boarding time!.
Hii inamaa kumbe siku hizi counter haifungwi tena kwa wachelewaji!. Au kuna uwezekano huyo abiria aliyekuwa anasubiriwa was "somebody"!. Akina siye tukichekewa tunazuiliwa, akina wao wanasubiriwa!. What a double standards?!.
Japo walitutangazia good news za kuanzisha safari za Lusaka na Lubumbashi 3 times per week!. Jee kuna umuhimu kwa zile routes kama za Mwanza na Kilimanjaro ambazo zina abiria wengi hivyo wana peleka ndege mbili mbili hadi tatu at the same time, Jee Precision waongeza frequence ya "Dala Dala Flight" kama ndege za kwenda Zenj?. Ambapo ndege inapaki na kuweka wapiga debe ikijaa ndipo inaruka ili hiyo ndiyo iwe ndege yetu sisi waswahili badala ya kuwakerehesha abiria wao wa kimataifa kwa kuwasubirisha waswahili tunao chelewa?.
Tuwapongeze tena kwa kuzidi kukuwa na pongezi nyingine ni kuliendesha shirika kufuatana na hali halisi ya sisi Watanzania, we don't keep time!, sasa ni mpaka ndege zina subiria abiria kama daladala!.
I love Tanzania!
I love Precision Air!.
Mungu ibariki Tanzania!.
Pasco.
Naomba kuanza na pongezi kama ishara ya appreciation kwa vile Tanzania ni kama hatuna flag carrier hivyo ni ukweli usiopingika kuwa Shirika la Ndege la Precision ndio linatubeba Tanzania kama taifa hadi nje ya mipaka yetu hivyo linastahili pongezi za dhati!.
Jina la Precision lina maana ya precise, ambapo siku za nyuma ni kweli walikuwa very precise, kwa sasa linaanza kubaki ni jina tuu, hakuna tena ile precise na sana sana ni mauswahili yanaanza!.
Kuna wakati nilisafiri kwa ndege za shirika hili zikiwa ndizo pekee zinazokwenda huko. Reporting time ni saa 1:00 asubuhi ndege inaruka saa 3:30.
Nilifika saa 2:30 ikiwa nimechelewa kwa saa nzima kabla ya take off, walinigomea kucheck in eti nimechelewa sana na wameshafunga check in counter!. Niliwagomea kuwa kwenye ticket tuneandikiwa kabisa, check in counter inafungwa 40 min before take off, saa hizi ni 60min before, how can they close?!. Nililalamika mpaka basi kwa vile kwa ndege za local, saa moja kabla ya take off bado ni reasonable, waligoma kata kata!.
Kwa vile safari yangu ilikuwa ni dharura sana, nilifanya nilichokifanya ila nili board bila boarding pass!. Nilipitaje hizo security clearance zote bila boarding pass, God Knows!.
Ndani ya ndege likatolewa tangazo kuna abiria mmoja amezidi hivyo ndege haiwezi kuruka mpaka kila mtu aonyeshe boarding pass yake tena!.
Within no time nikadakwa!. Nikaombwa kistaarabu nishuke kumpisha mwenye siti yake. Niligoma kata kata na kuonyesha tiketi na kueleza niligomewa check in kwa kisingizio nimechelewa!. Mimi ndio nilikuwa abiria wa mwisho nikaambiwa dirisha lineishafungwa, huyo abiria wa mwisho katoka wapi?. Na kwavile tiketi yangu was OK, this means seat yangu ingekuwa empty!. Nikawagomea kata kata kuwa sishuki!. Na nikaeleza tena kwa sauti ya hasira kuwa nimefika 60 min before nikakuta wamefunga counter kwasababu wamefanya over booking!.
Wakaita airport security nishushwe nikawagomea labda nguvu itumike!.
Ndege ilianza kuchelewa Capt akaamuru nifanyiwe security clearance, huyo abiria akapewa jump seat tukaruka!. Japo tuliruka huku nyuma muziki wake ulikuwa mkubwa kwa jinsi airport yetu ilivyo porous!. Waka issue arrest hivyo kufika tuu, nilifikia mikononi mwa polisi kwa hoja nirudishwe na the same flight kwenda kujibu mashitaka Dar.
Baada ya kueleza kilicho nipeleka nilikubaliwa kujidhamini kwa return tiket yangu ambayo ilikuwa nirudi kesho yake!.
Kilichofuata ni history... ila the bottom line, Precision Air ili kuwa kweli ni precise!. That was then!.
Now, jana jioni nilikuwa tena abiria wa Precision nikitokea KIA kuja Dar. Ndege hiyo ilikuwa internation flight ikitojea Entebbe hivyo ndani abiria wa mataifa mbalimbali.
Abiria wote tukiwa tumeboard tunaona ndege haiwashwi!. Baada ya kusubirishwa sana bila kuambiwa chochote ndipo tukaelezwa kuna abiria anasubiriwa!. Ndege iliwashwa ikabaki ikiunguruma kwa dakika 15 nyingine huyo abiria akisubiriwa!.
Hatimaye alifika na tukaanza safari. Angalau Capt. alituomba radhi kwa uchelewaji na kuahidi to make it up for the lost time kwa cruising speed na kweli tulifika almost on time japo tulichelewa kidogo!.
Nijuavyo mimi abiria wa ndege anayesubiriwa ni yule tuu aliyekwisha check in!. Hii ndio ile ndege niliokataliwa kucheck in 1-hour before kwa kuambiwa nimechelewa lakini leo abiria wote wanamesha board halafu wanamsubiria abiria fulani aliyechelewa reporting time hadi boarding time!.
Hii inamaa kumbe siku hizi counter haifungwi tena kwa wachelewaji!. Au kuna uwezekano huyo abiria aliyekuwa anasubiriwa was "somebody"!. Akina siye tukichekewa tunazuiliwa, akina wao wanasubiriwa!. What a double standards?!.
Japo walitutangazia good news za kuanzisha safari za Lusaka na Lubumbashi 3 times per week!. Jee kuna umuhimu kwa zile routes kama za Mwanza na Kilimanjaro ambazo zina abiria wengi hivyo wana peleka ndege mbili mbili hadi tatu at the same time, Jee Precision waongeza frequence ya "Dala Dala Flight" kama ndege za kwenda Zenj?. Ambapo ndege inapaki na kuweka wapiga debe ikijaa ndipo inaruka ili hiyo ndiyo iwe ndege yetu sisi waswahili badala ya kuwakerehesha abiria wao wa kimataifa kwa kuwasubirisha waswahili tunao chelewa?.
Tuwapongeze tena kwa kuzidi kukuwa na pongezi nyingine ni kuliendesha shirika kufuatana na hali halisi ya sisi Watanzania, we don't keep time!, sasa ni mpaka ndege zina subiria abiria kama daladala!.
I love Tanzania!
I love Precision Air!.
Mungu ibariki Tanzania!.
Pasco.