YoungCorporate
JF-Expert Member
- Apr 30, 2010
- 391
- 113
Precision Air wanaudhi kupita maelezo, ati wameoverbook watu yaani tupo airport, flight ya Kia - Nairobi, wanasema imejaa.
Sasa jamani kwanini wanafanya hii biashara kama daladala sasa mtu ulitarajia kufika Dar leo inabidi ufike kesho, huu ni ubabaishaji wa hali ya juu. Hw can u allow watu wengi kubook kuliko capacity yenu? agghh
Sasa jamani kwanini wanafanya hii biashara kama daladala sasa mtu ulitarajia kufika Dar leo inabidi ufike kesho, huu ni ubabaishaji wa hali ya juu. Hw can u allow watu wengi kubook kuliko capacity yenu? agghh