Mwanafunzi rudi darasani acha utoro
Nakuja mwalimu....ngoja hilo la Teamo lipite kwanza......tukishapata binamu mpya tutasherekea...
Mwanafunzi rudi darasani acha utoro
Habari yako mkuu.....long time no see...
Nipo kamanda..... PLAN B on the move.
Orait...upo wadi gani? ya lugalo?:help:.....
Dawa ni kumwacha Invii na plan A yake iliyolala....:lol:
WAKUU,
updates ni kwamba HAKIJAELEWEKA....!to me ni zaidi ya maumivu.....
when i see the process nzima i am getting confused
kwa sasa tunazungumzia masaa 15 ya mtu akiwa labour!
IT'S SO PAINFUL!
nimetoka kidogo nipo kwa mkoloni for now
Location yangu....?
Mshiki anapata tiba sahihi, mwambieni Teamo am taking good care of her.
Tiba sahihi na huduma sahihi....
Kwani yeye Teamo anarusiwa kuingia kule chumba cha kazi (labor room)?
Kamnda ninavyoandika niko Mwanza na nimejaribu kumpigia dogo hapokei, i hope Fidel atakua karibu zaidi
bEING A FATHER FOR YEARS NOW, NAELEWA WHAT HE IS GOING THROUGH, BUT NAUMIA SANA KUSIKIA MAMA ANAKAA NA LABOR PAIN FOR 15 HOURS, NI TRAUMA YA AJABU HAKYANANI
bEING A FATHER FOR YEARS NOW, NAELEWA WHAT HE IS GOING THROUGH, BUT NAUMIA SANA KUSIKIA MAMA ANAKAA NA LABOR PAIN FOR 15 HOURS, NI TRAUMA YA AJABU HAKYANANI