PPF na NSSF

Kifai

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
816
172
habarini za asubuhi ndugu,
Mi nataka kujua tuu kama haya mashirika ya hifadhi ya mifuko ya kijamii yanatoa hela za wanachama wake au wameshasitisha tena, naomba mwenye majibu ya uhakika aniambie
 
habarini za asubuhi ndugu,
Mi nataka kujua tuu kama haya mashirika ya hifadhi ya mifuko ya kijamii yanatoa hela za wanachama wake au wameshasitisha tena, naomba mwenye majibu ya uhakika aniambie
Kutoa kwa vipi? Monthly pension au?
 
I mean wale wanaofanya kazi kwenye sekta binafsi, baada ya kukosa kazi huwa wanachukua kile walichokusanya
 
I mean wale wanaofanya kazi kwenye sekta binafsi, baada ya kukosa kazi huwa wanachukua kile walichokusanya
Mkataba ukiisha au kufukuzwa kazi ndo wanasema ukae miezi 6 baada ya mkataba au kufukuzwa kazi!

Baada ya miezi sita unapeleka termination or end of contract letter NSSF kwa ajiri ya kuomba pesa zako!

Utaandika barua yakuomba mafao yako! Baada ya hapo unaambiwa utapigiwa simu! Hiyo simu kupigiwa sasa inaweza chukua mwaka! Kwa kifupi hawa watu ni wahuni tu

Utapewa form,unapeleka kwa mwajiri wako aliyekufukuza,kuisha mkataba,akujazie! Baada ya hapo kaa nyumbani hadi wakupigie simu
 
Kila kona ya hii nchi ni stress tuuu, jasho lako kulipata tena kwa mbindeee
 
Mkataba ukiisha au kufukuzwa kazi ndo wanasema ukae miezi 6 baada ya mkataba au kufukuzwa kazi!

Baada ya miezi sita unapeleka termination or end of contract letter NSSF kwa ajiri ya kuomba pesa zako!

Utaandika barua yakuomba mafao yako! Baada ya hapo unaambiwa utapigiwa simu! Hiyo simu kupigiwa sasa inaweza chukua mwaka! Kwa kifupi hawa watu ni wahuni tu

Utapewa form,unapeleka kwa mwajiri wako aliyekufukuza,kuisha mkataba,akujazie! Baada ya hapo kaa nyumbani hadi wakupigie simu
Tatizo pesa zetu wanazifanyia maendeleo yao,kwanza huu utemi sijui utakoma lini ndio maana kuba wazee hawakutaka kabisa mambo haya,maneno meengi mazuri ya kukuvutia ili uwe mwanachama ila ukiingia unakiona cha moto
 
Tatizo pesa zetu wanazifanyia maendeleo yao,kwanza huu utemi sijui utakoma lini ndio maana kuba wazee hawakutaka kabisa mambo haya,maneno meengi mazuri ya kukuvutia ili uwe mwanachama ila ukiingia unakiona cha moto
Serikali pia inazichukua pesa nyingi sana toka hizi mifuko,inafika kipindi wanakosa pesa zakurudisha na ndo maana wanaanzisha figisu figisu!

Mpunga ni wetu kuupata hadi wajisikie! Hawa watu shida sana!
 
Serikali pia inazichukua pesa nyingi sana toka hizi mifuko,inafika kipindi wanakosa pesa zakurudisha na ndo maana wanaanzisha figisu figisu!

Mpunga ni wetu kuupata hadi wajisikie! Hawa watu shida sana!
Ipo siku na nyakati,namba itasomeka na kwao pia wanafanya haya kwa kuwa tu wamejiaminisha waTZ ni wanyonge,tunaishi kwa shida zetu
 
Back
Top Bottom