The GreatMwai
Member
- Apr 28, 2011
- 43
- 2
Shukrani nimeipata, UBARIKIWE.
Ripoti hii ina mambo yake na ina hoja zake. Kama nilivyoahidi, baada ya hii ni sabbatical ya muda mrefu kupumzika (details in the report). Enjoy na tuwashukuru wale wote ambao wameweka mikononi mwetu mambo mazito kama haya na kutufanya sisi wengine tuwe kama vipaza sauti tu na sauti zale wasio na sauti.
Nawashukuru milele wale mashujaa ambao mabegani mwao nasimama. Wale ambao kwa pamoja tumesafiri safari hii ambayo tuzo yake ni dharau na taji yake ni kisasi. Safari ambayo imejenga marafiki wengi wa kudumu maisha yote lakini pia imejenga maadui wa kudumu. Kwa marafiki zangu asante, kwa maadui mapambano dhidi ya utawala wenu mbovu wenye kutukuza ufisadi yanaendelea kwani mmetengeneza uadui wa kudumu kati yenu na mamilioni ya Watanzania. Sauti zetu na za wale watakaokuja nyuma yetu zitakaa juu yenu mpaka msalimu amri.
Unaposoma ripoti hii enjoy na fanya uamuzi wa kubadilisha kura yako.
Yote Kwa Utukufu Mkuu wa Mungu
BONYEZA HAPA KUPATA NAKALA YAKO - LIMITED EDITION
Ukichelewa, ukikosa, Usiulize iko wapi?