Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Ivi tanzania ni dar peke yake?
Mbona apa songea hakuna umeme miaka yote ni migao ni kila siku, na hatujawahi kuona inajadiliwa mahali popote?
Ama kweli ilala ndo Tanzania na Kinondoni ndio Dar.
Ama kweli ulicho kisema ndio kila nitoapo michango yangu hata hapo PB Clouds FM huwa nauliza mbona JK na serikali yake kila maendeleo yoyote yana anzia DAR na katiba wameivunja kwani makao makuu ya nchi ni DODOMA hata mipango ya kuhamia DODOMA hawajafikilia sasa o haya siwaelewi ila kweli Kuto kufanya mabadiliko itatughalimu sana sie watanzania ndio haya sasa tuyajua kuwa KATIBA ya nchi ikibadilika kweli serikali yetu itakuwa makini sana katika uwajibikaji na utekelezaji na kuwa na wabunge wengi wa upinzani nyie mumejionea CCM wasivyopenda maendeleo waka mtoa SITTA uspika na kuweka watu wao Ana & Job ili wakidhi matakwa yao na sio ya wananchi jamani nchi inaongozwa na CCM au na serikali UCCM unatokea wapi??