JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,328
- 9,344
Kama kwenye tracking number ilisoma na mpka leo unayo kumbukumbu ulikua unatakiwa kuwasha moto sema hukujua hatua za kufuata wez sana wale nawajua
Waliwahi kunizungusha mara moja tu. Nilipojua kwamba wananizungusha na wanayosema siyo kweli, nilienda kuwasha moto wakanipa mzigo wangu wapuuzi wale. Na sijawahi sumbuliwa tena toka hapo.