Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
Sa ivi jipange kusoma km unauhakika wa kufaulu. Mana zitatoka.
Waambie wazazi wajipange kukuandalia pesa ako ya kujikimu mapema usije ukachelewa mana zikitoka mda no mchache unapewa wa kuripoti
 
wanafunzi wenzangu wa jf hivi kweli serikali yetu iko makini kwa kile inachokifanya ama inatania, huu ni mwezi juni na bado selection hazijatoka hivi elimu ya mtanzania sini magumashi tu. Nimechokaa kukaa kitaa serikali mtoe haraka.
 
wewe ulitaka wangetoa lini na hali ukijua shule ni had term ijayo ila endelea kusubiri bn
 
wanafunzi wenzangu wa jf hivi kweli serikali yetu iko makini kwa kile inachokifanya ama inatania, huu ni mwezi juni na bado selection hazijatoka hivi elimu ya mtanzania sini magumashi tu. Nimechokaa kukaa kitaa serikali mtoe haraka.

wewe mwanafunzi wa jf, mbona unalalamika!
Wanafunzi wenzako wa jf wako wanaendelea na masomo, wewe uko wapi! Acha utoro, huzuria masomo!
 
Zinakaribia wakuu jamaa wameshamaliza kazi data nimepata kwa reliable source
 
Amakweli bora kusubili mtihani kuliko matokeo hasa Post kwani nimetulia na Eatv kwenye kurasa lakini hakuna jipya.
Hadi nimechoka.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom