Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
katibu wa bunge Thomas Kashilila amekanusha uvumi ulioenea hapa nchini kuwa posho kwa wabunge zimepanda.
Akiongea na waandishi wa habari jijini DSM leo kashilila amesema kuwa hakuna mabadiliko yoyote yaliyofanyika katika posho za wabunge na hao wanaozusha habari hizo ni sawa na radio mbao.posho za wabunge ni zile zile za zamani japo kumekuwa na mjadala mkubwa miongoni mwa wabunge wakitaka posho hizo ziongezwe.
SOUCE;Taarifa ya habari,tbc na star tv.
Akiongea na waandishi wa habari jijini DSM leo kashilila amesema kuwa hakuna mabadiliko yoyote yaliyofanyika katika posho za wabunge na hao wanaozusha habari hizo ni sawa na radio mbao.posho za wabunge ni zile zile za zamani japo kumekuwa na mjadala mkubwa miongoni mwa wabunge wakitaka posho hizo ziongezwe.
SOUCE;Taarifa ya habari,tbc na star tv.