Ports katika kompyuta

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Wengi wetu neno Ports katika mambo ya kompyuta linaweza lisiwe geni. Au hata kama ni geni basi ni kitu amabcho tunakitumia bila kugundua. Leo tujaribu kucheki ABCc za computer/comunication ports na wajuzi zaidi wataongezea XYZ…. Au kunisahihisha pale nilipokosea


Port (s) ni nini .
Port katka kompyuta kazi yake ni kuwezesha mawasiiano kati ya computer na computer au kifaa kingine ne (Phsycial Ports kama USB port Seria Port, etc) na ndani ya computer yeneywe Port zinatumika kuwezesha mawasiiano kati ya application mbai mbali mbai (ii.e Virtual Ports). Usione unatumia MS word au Photoshop au Internet expoer au firefox. Hizi application zote zina port maaalum inyotambulika kwa mshine/OS. Sisi binadamu tunazitambua wa majina Lakini nyuma ya pazia zenyewe kwa zeyewe na zenyewe na hardware zinatambuana na kusikilizna na kuwasiiana kwa ports
common-ports.png


Mtandao wa webopedia umejaribu kuelezea kwa lugha rafiki neno hilo . Vile vie kwenye online encyclopedia maarufu duniani Wikipedia wanaeleza kiundani kuwa kuna port number ziko reserved maalum kwa services Fulani. Ni zipi Hizo. Tazama Well-known Ports. Hapa wanaweza wasiwe sahihi 100% inawezekena wametumia Windows . Mac inaweza kuwa tofauti kidogo lakini Nao pia wana standard
So dhumuni ports ni kuwezesha mawasiiano Na ports zinaweza kuwa physical (Eg USB, SATA) au virtual ( eg TCP)

Je computer ina idadi ya ports ngapi?
Inaelezewa kwenye computerkuna ports 65535 na kati ya hizo walau 1024 ni zile reserved au zinazotumika sana . Na sometime baadhi ndio hackers na hata virus wanatumia kushambulia mashine au hata sever.

Ufafanuzi wa Ports zinafnye kazi kwa mfano na maelezo rahisi

Utaona watu hapa jamvini wanaweka Porxy lakini meble ya IP address ya proxy kuna Port number. Eg ( 192.168.0.2 :8080) Hiy port number 8080 au number yeyote kazi yake ndio kusikiliza( Listenning ) traffic zote zinazohusina na kupata huduma ya Proxy katika hiyo hiyo mashine .
Kwa hiyo muhudumiaji ( in this example Proxy server ) anawaambia "wateja"(masine zinazotaka kutumia proxy) kama wanataka hudma watume taarifa zao Exim Upanga ( in this example IP adresss) na waweke lebel kuwa ni barua za chumba number 3 ( in this example ndio Port 8080) . So pale Exim upanga wanatoa hudma nyingi...........

Je ports gani kwenye kompyuta yako ziko open /Listenning
Kwenye windows na inux Kujua ports zilizo open unaweza kutumia command za Netstat .

karibuni wadau kwa kuongeza kupunguza kupenda na kuponda.........
 
Nini Tofauti kati ya Harware computer ports na software ports.
yahoo answers said:
Computer hardware ports and software ports, both facilitate the computer to communicate with the outside world. Basically they are interfaces to the external world.

Hardware Ports:
1. Those openings you see on the back and front of your system unit.
2. They allow you to connect various peripheral devices to your computer. (eg. USB Storage Device, display unit, headphones, etc.)
3. They have addresses which are used by the operating system and system drivers to communicate with them.
4. Application software see them as devices where as the operating system handles the background process of proper addressing to the ports through the system bus and chip set on your motherboard.

Software Ports:
1. They are intangible, as in you cannot see them.
2. They allow your computer to interface with the outside world just as hardware ports.
3. These ports usually represent an opening to a network your computer is connected to.
4. Software ports usually refer to the communication ports opened up with the TCP/IP protocol suit, or any other communication protocol suit you use for networking.
5. The port range for TCP/IP (the usual software port collection) is 0-65535. (0-1023: Well known ports, 1024-49151: Registered services ports, 49152-65535: Unreserved ports)

[h=3]Source(s):
How computer hardware ports are different from Computer software ports? - Yahoo! Answers
[/h] List of TCP and UDP port numbers - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Mbona naona kuna nyingine ni Slots sasa wewe umeelezea kama ports?
Mkuu Slot ni ipi. BUt kila slot ina lead to port.atleast virtualy. Kama kompyuta au game console au hata simu ina slot ya upachika RAM au USB au VGA basi elewa nyuma ya pazai zile card/sot zinapewa au zina specific virtual port.
 
Mkuu Slot ni ipi. BUt kila slot ina lead to port.atleast virtualy. Kama kompyuta au game console au hata simu ina slot ya upachika RAM au USB au VGA basi elewa nyuma ya pazai zile card/sot zinapewa au zina specific virtual port.

Hapo nimekupata vizuri.
 
Back
Top Bottom